Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Feb 24, 2022 23:48

    Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amekutana na mabalozi wa Russia na China nchini Iran ambapo wametangaza kwa pamoja kupinga kutumiwa vibaya kadhia ya haki za binadamu kama chombo cha kuyashinikiza mataifa mengine.

  • Oparesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine, sababu na matokeo yake

    Oparesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine, sababu na matokeo yake

    Feb 24, 2022 07:30

    Rais Vladimir Putin wa Russia mapema Alhamisi amehutubia taifa katika televisheni na kutangaza kuwa, vikosi vya nchi yake vimeanza oparesheni maalumu ya kijeshi katika eneo la Donbass ambalo limetangaza kujitenga na Ukraine. Punde baada ya kutangaza oparesheni hiyo ya kijeshi, Putin ametaka kusitishwe 'muundo wa kijeshi' Ukraine na kuitaka nchi hiyo iweke chini silaha zake.

  • Vikwazo vya kimaonyesho vya Magharibi dhidi ya Russia kwa kisingizio cha mgogoro wa Ukraine

    Vikwazo vya kimaonyesho vya Magharibi dhidi ya Russia kwa kisingizio cha mgogoro wa Ukraine

    Feb 23, 2022 23:22

    Tangazo la Russia la kutambua rasmi uhuru wa Jamhuri za watu wa Donetsk na Luhansk huko mashariki mwa Ukraine limeibua hisia kali za nchi za Magharibi.

  • Russia yafanya mazoezi ya kijeshi ya nyuklia huku NATO ikisema haiwezi kukidhi matakwa ya Moscow

    Russia yafanya mazoezi ya kijeshi ya nyuklia huku NATO ikisema haiwezi kukidhi matakwa ya Moscow

    Feb 19, 2022 23:22

    Kwa amri ya Rais Vladimir Putin, jeshi la Russia limefanya mazoezi ya kistratejia ya kijeshi ambayo yameshirikisha vikosi vya nyuklia na makombora ya balestiki vya nchi hiyo huku hali ikiendelea kuwa tete katika mgogoro wa nchi hiyo na Ukraine.

  • Russia yamfukuza Naibu Balozi wa Marekani mjini Moscow

    Russia yamfukuza Naibu Balozi wa Marekani mjini Moscow

    Feb 17, 2022 23:37

    Russia imemtimua mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Marekani nchini humo, wakati huu ambapo nchi mbili hizo zinaendelea kuzozana kuhusu madai ya Wamagharibi kuwa serikali ya Moscow ina azma ya kuivamia kijeshi Ukraine.

  • Russia: Hatutaki vita barani Ulaya wala Ukraine

    Russia: Hatutaki vita barani Ulaya wala Ukraine

    Feb 16, 2022 03:40

    Rais wa Russia amesema kuwa nchi yake haitaki kutokee vita barani Ulaya wala nchini Ukraine na ni kwa sababu hiyo ndio maana imetoa pendekezo la kudhaminiwa usalama wa eneo hilo.

  • Zelensky adai: Russia itaishambulia Ukraine siku ya Jumatano

    Zelensky adai: Russia itaishambulia Ukraine siku ya Jumatano

    Feb 14, 2022 23:31

    Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amedai kuwa Russia itatekeleza shambulio dhidi ya Kiev siku ya Jumatano.

  • Kikao cha pande mbili cha timu za mazungumzo za Iran na Russia chafanyika Vienna

    Kikao cha pande mbili cha timu za mazungumzo za Iran na Russia chafanyika Vienna

    Feb 13, 2022 08:40

    Kikao cha pande mbili cha timu za mazungumzo za Iran na Russia kimefanyika mjini Vienna Austria kwa kuhudhuriwa pia na wakuu wa timu za mazungumzo wa Iran na Russia.

  • Kuongezeka indhari kuhusu uwezekano wa kutokea vita mashariki mwa Ulaya

    Kuongezeka indhari kuhusu uwezekano wa kutokea vita mashariki mwa Ulaya

    Feb 12, 2022 06:43

    Nchi za Magharibi zinaendelea kutoa tahadhari mbalimbali kuhusu uwezekano wa Russia kuishambulia Ukraine kufuatia kuongezeka mivutano huko Ulaya Mashariki kati ya Moscow na Kiev.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Russia wasisitiza juu ya utekezaji sahihi wa JCPOA

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Russia wasisitiza juu ya utekezaji sahihi wa JCPOA

    Feb 09, 2022 02:47

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Russia wamesisitiza juu ya udharura wa kutekelezwa kwa usahihi mapatano ya JCPOA sambamba na kuanza marhala mpya ya duru ya nane ya mazungumzo ya Vienna.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS