Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Balozi wa Russia UN: Tuzuie kukaririwa vita vikuu vya dunia

    Balozi wa Russia UN: Tuzuie kukaririwa vita vikuu vya dunia

    Dec 03, 2020 01:12

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa Vasily Alekseevich Nebenzya ametoa wito kwa jumuiya za kimataifa na nchi za dunia kuchukua hatua za kuzuia kukaririwa tena vita vikuu vya dunia ambavyo viliandamana na mauaji ya mamilioni ya watu.

  • Zakharova: Safari ya Pompeo katika miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu huko Syria ni upuuzaji wa sheria za kimataifa

    Zakharova: Safari ya Pompeo katika miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu huko Syria ni upuuzaji wa sheria za kimataifa

    Nov 28, 2020 01:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameitaja safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani katika miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu huko Syria kuwa ni ishara ya hatua za upuuzaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na Washington.

  • Kukosolewa madola ya Magharibi kwa kufanya njama za kuzusha machafuko  Russia na Belarus

    Kukosolewa madola ya Magharibi kwa kufanya njama za kuzusha machafuko Russia na Belarus

    Nov 27, 2020 23:55

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia ameyatuhumu madola ya Magharibi mwamba, yanaingilia masuala ya ndani ya Russia na Belarus na kuyalaumu pia kwa kutekeleza vikwazo vya upande mmoja na kuwachochea wananchi wa mataifa hayo ili waanzishe vurugu na machafuko.

  • Russia yakataa kuidhinisha UN iliweke kundi la wanamgambo wa Libya katika orodha yake nyeusi

    Russia yakataa kuidhinisha UN iliweke kundi la wanamgambo wa Libya katika orodha yake nyeusi

    Nov 21, 2020 08:55

    Russia imeizuia Kamati ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuliweka katika orodha nyeusi ya umoja huo kundi moja la wanamgambo na kiongozi wa kundi hilo kwa makosa ya kukiuka haki za binadamu. Imesema kuwa inataka kwanza ipate ushahidi kwamba kundi hilo limetekeleza mauaji ya raia huko Libya.

  • Russia: Marekani inapasa kufuta vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran

    Russia: Marekani inapasa kufuta vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran

    Nov 19, 2020 04:21

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Taasisi za Kimataifa huko Vienna Austria amesema kwamba Marekani inapasa kuondoa mara moja vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wakati huohuo kuchukua hatua za kufidia makosa na ukiukaji wake dhidi ya mapatano ya kimataifa ya JCPOA na azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Mambo yasiyo na uwazi katika mpango wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Karabakh

    Mambo yasiyo na uwazi katika mpango wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Karabakh

    Nov 16, 2020 06:49

    Mambo ya kutiliwa shaka na yasiyofahamika vizuri katika mkataba wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Azerbaijan na Armenia juu ya eneo la Nagorno Karabakh, yamenyamaziwa kimya na viongozi wa Azerbaijan na Uturuki.

  • Vikosi vya kulinda amani vya Russia vyawasili katika eneo la Nagorno-Karabakh

    Vikosi vya kulinda amani vya Russia vyawasili katika eneo la Nagorno-Karabakh

    Nov 13, 2020 04:16

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa vikosi vya kulinda amani vya nchi hiyo vimeshawasili katika eneo la Nagorno-Karabakh.

  • Russia kuanzisha kambi ya jeshi nchini Sudan, itakuwa na meli za nyuklia

    Russia kuanzisha kambi ya jeshi nchini Sudan, itakuwa na meli za nyuklia

    Nov 12, 2020 06:44

    Serikali ya Russia imechapisha hati ya makubaliano yake ya Sudan yanayoiruhusu Moscow kujenga kambi ya kijeshi na misaada ya kilojestiki ya jeshi la majini la nchi hiyo nchini Sudan ambacho kitakuwa na askari na maafisa 300 wa kijeshi.

  • Kremlin yakadhibisha madai kuwa Putin anang'atuka madarakani, anasumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson

    Kremlin yakadhibisha madai kuwa Putin anang'atuka madarakani, anasumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson

    Nov 06, 2020 23:02

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia jana Ijumaa alikadhibisha madai kuwa Rais Vladimir Putin ana nia ya kujiuzulu kutokana na hali yake mbaya ya kiafya. Dmitry Peskov amesitiza kuwa Rais Putin yuko katika hali nzuri ya kiafya.

  • Putin akosoa dini kuvunjiwa heshima kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza

    Putin akosoa dini kuvunjiwa heshima kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza

    Nov 06, 2020 22:59

    Kuongezeka vitendo vya kuvunjiwa heshima Mtume Mtukufu (saw) nchini Ufaransa na kuungwa mkono vitendo hivyo na Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo kwa kisingizio cha kutetea uhuru wa kusema na kujieleza, ni jambo ambalo limeamsha hasira kubwa ya ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS