-
Sisitizo la Zarif kuhusu kusainiwa upya mapatano ya ushirikiano wa muda mrefu wa Iran na Russia
Aug 02, 2020 23:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesistiiza kuhusu umuhimu wa kutiwa saini upya mapatano ya ushirikiano wa muda mrefu baina ya Iran na Russia katika uga wa uhusiano wa kistratijia.
-
Russia yatahadharisha, dunia inarejea katika kipindi cha Vita Baridi
Aug 02, 2020 06:57Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametahadharisha kuhusu uwezekano wa dunia kurejea katika kipindi cha Vita Baridi.
-
Indhari ya Pompeo kwa Russia na madai ya kuondoka wanajeshi wa Marekani Afghanistan ifikapo Mei 2021
Aug 01, 2020 21:53Rais Donald Trump wa Marekani ameanzisha rasmi mchakato wa kuondoka wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan kabla ya wakati ulioainishwa awali, kwa kuzingatia ahadi alizotoa wakati wa kampeni za uchaguzi na mapatano iliyofikia Marekani na kundi la Taliban mwezi Februari mwaka huu. Hivi sasa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani anazungumzia kuainishwa wakati wa kukamilisha mchakato huo wa kuwaondoa wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan na wakati huo huo anatoa vitisho kwa Russia.
-
Russia yaapa kilipiza kisasi vikwazo vya Umoja wa Ulaya
Jul 31, 2020 22:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa nchi hiyo itajibu mapigo ya vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya shirika la ujasusi la Russia.
-
Maafikiano ya Uturuki na Russia kuhusu Libya na nafasi ya wahusika wakuu wa kikanda na kimataifa
Jul 24, 2020 02:40Wizara za Mambo ya Nchi za Nje za Russia na Uturuki zimetangaza kuwa, wanadiplomasia wa ngazi za juu wa nchi hizo mbili waliokutana Ankara wametoa taarifa ya pamoja kuhusu mgogoro wa Libya wakitangaza kuwa wamefikia mwafaka juu ya suala la kuunda kamati ya pamoja itakayoendeleza ushirikiano wa Moscow na Ankara katika mgogoro wa Libya.
-
Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia
Jul 17, 2020 06:08Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia sambamba na kutangaza kuunga mkono suala la kulindwa na kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na udharura wa kukabiliana na siasa za Marekani za uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wamesisitiza juu ya kustawishwa zaidi uhusiano wa Tehran na Moscow.
-
Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana
Jul 16, 2020 03:24Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani wamesisitiza kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havina umuhimu wowote.
-
Russia: Misaada ya kibinadamu nchini Syria haipaswi kuwekewa masharti ya kisiasa
Jul 14, 2020 06:41Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa misaada ya kibinadamu kwa ajili ya Syria haipaswi kuhusishwa na masuala ya kisiasa na kuzusha wasiwasi kwa baadhi ya watu.
-
Kuporomoka husiano wa Marekani na Russia
Jul 13, 2020 22:10Uhusiano wa Marekani na Russsia umekuwa na panda shuka nyingi katika kipindi cha baada ya Vita Baridi. Hata hivyo baada ya kujitokeza mgogoro wa Ukraine hapo mwaka 2014 uhusiano wa Moscow na Washington uliingia katika mporomoko mkubwa na sasa hitilafu kati ya pande hizo mbili zimepanuka zaidi na zaidi.
-
Sisitizo la Russia la kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya
Jul 11, 2020 22:03Mgogoro wa kisiasa na vita vya Libya bado vinaendelea sambamba na jitihada zinazofanyika kikanda na kimataifa kwa ajili ya kupatikana ufumbuzi wa mgogoro huo.