-
AU: Uchaguzi wa bunge la Rwanda ulikuwa huru na wa haki
Sep 07, 2018 14:25Mkuu wa Timu ya uangalizi wa uchaguzi ya Umoja wa Afrika Bi. Aichatou Mindaoudou Souleymane, amesema kuwa, uchaguzi wa bunge la Rwanda umefanyika kwa uhuru na haki.
-
SAUTI, Kura za uchaguzi wa bunge uliofanyika nchini Rwanda leo, zimeanza kuhesabiwa, chama tawala kinaongoza
Sep 03, 2018 16:28Zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa bunge uliofanyika mapema leo nchini Rwanda limeanza na chama ambapo chama tawala cha RPF kinaonekana kuongoza matokeo.
-
Uchaguzi wa bunge waanza Rwanda, RPF yatabiriwa ushindi
Sep 02, 2018 13:16Wananchi wa Rwanda wameanza kupiga kura katika uchaguzi wa bunge ambao unatazamiwa kukipa ushindi chama tawala cha Rwanda Patriotic Front (RPF).
-
Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu
Aug 23, 2018 16:46Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika amesema viongozi wa kiafrika wana kila sababu ya kuwafanya kusimama kidete kukomesha tatizo la uhamiaji haramu wa vijana wa kiafrika wanaokufa maji wakijaribu kukimbilia mataifa ya ulaya. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…
-
SAUTI, Marais wastaafu wa Kiafrika wazitaka nchi za bara hilo kuacha tabia ya kuombaomba misaada
Aug 03, 2018 07:57Marais saba wa zamani wa nchi za Kiafrika, walianza jana kikao cha siku mbili mjini Kigali, Rwanda ambapo wamesema kwamba serikali zilizoko madarakani barani Afrika zinahitaji mfumo bora wa ukusanyaji mapato.
-
SAUTI, Zaidi ya vijana 2000 kutoka nchi za Afrika wanakutana nchini Rwanda kujadili umuhimu wa kuenzi tamaduni bora
Jul 26, 2018 16:22Zaidi ya vijana 2000 kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanakutana mjini Kigali Rwanda katika kujadili masuala muhimu yenye lengo la kuzishauri serikali za mataifa hayo kujiepusha na ukoloni mamboleo.
-
SAUTI, Rais Xi Jin Ping wa China: Beijing imeazimia kuimarisha uhusiano mwema na nchi za bara la Afrika
Jul 23, 2018 15:31Rais wa China Xi Jin Ping amesema kuwa, nchi yake imejizatiti kuzidisha ushirikiano wake na bara la Afrika kutoka na hatua ya maendeleo yanayoendelea kuonekana barani humo.
-
Rwanda haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani kuhusu mitumba
Jun 23, 2018 13:47Rwanda imesema haitasalimu amri mbele ya Marekani kuhusu uamuzi wake wa kupiga marufuku nguo za mitumba.
-
SAUTI, Nchi za Afrika zashauriwa kuacha kuiga nchi zilizoendelea, na badala yake zitumie ubunifu wao zenyewe
Jun 08, 2018 16:04Watafiti wa bara la Afrika waliokutana mjini Kigali Rwanda, wameziomba serikali za Kiafrika kuacha kuiga stratijia za mataifa yaliyoendelea, na badala yake watumie ujuzi wazo wenyewe katika uwanja huo.
-
Rwanda yachukua hatua kali zaidi dhidi ya vyombo vya plastiki + Sauti
Jun 05, 2018 17:56Wakati dunia ikiadhimisha siku ya mazingira, serikali ya Rwanda imepiga hatua nyingine mbele ya kukomesha matumizi ya aina yoyote ya vifaa vya plastiki kwa sababu vinahatarisha maisha ya viumbe hai.