-
Rwanda na Russia zafanya mazungumzo kuhusu kuongeza ushirikiano wa kijeshi
Jun 05, 2018 03:06Mawaziri wa mambo ya nje wa Russia na Rwanda wamefanya mazungumzo kuhusu njia za kuongeza ushirikiano wao katika masuala ya kijeshi.
-
Mgogoro wa Marekani na Rwanda kuhusu nguo za mtumba
Jun 02, 2018 13:23Hatua ya serikali ya Rwanda kupiga marufuku nguo za mtumba kutoka Marekani imepelekea kuibuka msuguano baina ya nchi hizo mbili.
-
Waafrika wengi hutembelea zaidi bara hilo kuliko kutoka nje yake – Ripoti
Jun 02, 2018 04:10Uchunguzi uliofanywa na wataalamu wa kimataifa kuhusu faida za wahamiaji kwa nchi wanazotembelea na wanazotoka unaonesha kuwa, asilimia kubwa ya Waafrika wanapenda kutembelea nchi za bara hilo kuliko kutoka nje ya Afrika.
-
SAUTI, Polisi ya Rwanda yawataka raia kuacha kuingia hifadhi za Tanzania kinyemela ili kuepuka matatizo
May 30, 2018 17:16Katika juhudi za kudumisha ujirani mwema kati ya Rwanda na Tanzania, serikali ya Kigali imewaonya raia wa taifa hilo hususan wale wanaoisho maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo karibu na mpaka wa Tanzania kujiepusha na vitendo vya kuvuka mpaka kuingia nchi hiyo jirani.
-
Rwanda kuanza kuzalisha na kuuza silaha (RIPOTI)
May 29, 2018 14:55Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo, bunge la Rwanda limepitisha kwa kauli moja muswada wa sheria inayoruhusu watu kutengeneza, kuuza na kumiliki silaha.
-
SAUTI, Wasomi wawakosoa vikali viongozi wa Kiafrika kwa hatua yao ya kukiuka misingi ya demokrasia
May 25, 2018 15:27Wakati Afrika ikiadhimisha siku ya 'Ukombozi wa Bara la Afrika' watafiti na wasomi mbalimbali wamekosoa utumiaji mabavu wa watawala wa nchi za bara hilo dhidi ya wananchi wanaowakosoa kutokana na uongozi wao mbovu serikalini.
-
Simu za rununu zasababisha kukua uchumi wa Afrika (SAUTI)
May 17, 2018 14:09Hii ni kwa mujibu wa utafiti wa IMF..
-
Maporomoko ya udongo yauwa watu 18 Rwanda, mvua kali zinaendelea kunyesha
May 07, 2018 15:25Maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa yameuwa watu 18 katika mikoa ya kaskazini na magharibi mwa Rwanda mwishoni mwa wiki na kuifanya idadi ya watu walioaga dunia tangu mwezi Januari mwaka huu kutokana na mvua kali nchini humo kuwa zaidi ya 200.
-
Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR
May 02, 2018 14:55Polisi ya Rwanda imewatia nguvuni wakimbizi 23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini humo, kwa tuhuma za kuwashambulia kwa mawe maafisa waandamizi wa polisi na serikali, waliotembelea kambi yao.
-
Rwanda yafunga radio ya Kikristo ya Marekani kwa kuchochea chuki
Apr 25, 2018 07:43Rwanda imeipokonya leseni kituo kimoja cha radio cha Kikristo kinachomilikiwa na Marekani, kwa kueneza chuki.