-
SAUTI, Nchi za Afrika zashauriwa kuacha kuiga nchi zilizoendelea, na badala yake zitumie ubunifu wao zenyewe
Jun 08, 2018 11:34Watafiti wa bara la Afrika waliokutana mjini Kigali Rwanda, wameziomba serikali za Kiafrika kuacha kuiga stratijia za mataifa yaliyoendelea, na badala yake watumie ujuzi wazo wenyewe katika uwanja huo.
-
Rwanda yachukua hatua kali zaidi dhidi ya vyombo vya plastiki + Sauti
Jun 05, 2018 13:26Wakati dunia ikiadhimisha siku ya mazingira, serikali ya Rwanda imepiga hatua nyingine mbele ya kukomesha matumizi ya aina yoyote ya vifaa vya plastiki kwa sababu vinahatarisha maisha ya viumbe hai.
-
Rwanda na Russia zafanya mazungumzo kuhusu kuongeza ushirikiano wa kijeshi
Jun 04, 2018 22:36Mawaziri wa mambo ya nje wa Russia na Rwanda wamefanya mazungumzo kuhusu njia za kuongeza ushirikiano wao katika masuala ya kijeshi.
-
Mgogoro wa Marekani na Rwanda kuhusu nguo za mtumba
Jun 02, 2018 08:53Hatua ya serikali ya Rwanda kupiga marufuku nguo za mtumba kutoka Marekani imepelekea kuibuka msuguano baina ya nchi hizo mbili.
-
Waafrika wengi hutembelea zaidi bara hilo kuliko kutoka nje yake – Ripoti
Jun 01, 2018 23:40Uchunguzi uliofanywa na wataalamu wa kimataifa kuhusu faida za wahamiaji kwa nchi wanazotembelea na wanazotoka unaonesha kuwa, asilimia kubwa ya Waafrika wanapenda kutembelea nchi za bara hilo kuliko kutoka nje ya Afrika.
-
SAUTI, Polisi ya Rwanda yawataka raia kuacha kuingia hifadhi za Tanzania kinyemela ili kuepuka matatizo
May 30, 2018 12:46Katika juhudi za kudumisha ujirani mwema kati ya Rwanda na Tanzania, serikali ya Kigali imewaonya raia wa taifa hilo hususan wale wanaoisho maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo karibu na mpaka wa Tanzania kujiepusha na vitendo vya kuvuka mpaka kuingia nchi hiyo jirani.
-
Rwanda kuanza kuzalisha na kuuza silaha (RIPOTI)
May 29, 2018 10:25Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo, bunge la Rwanda limepitisha kwa kauli moja muswada wa sheria inayoruhusu watu kutengeneza, kuuza na kumiliki silaha.
-
SAUTI, Wasomi wawakosoa vikali viongozi wa Kiafrika kwa hatua yao ya kukiuka misingi ya demokrasia
May 25, 2018 10:57Wakati Afrika ikiadhimisha siku ya 'Ukombozi wa Bara la Afrika' watafiti na wasomi mbalimbali wamekosoa utumiaji mabavu wa watawala wa nchi za bara hilo dhidi ya wananchi wanaowakosoa kutokana na uongozi wao mbovu serikalini.
-
Simu za rununu zasababisha kukua uchumi wa Afrika (SAUTI)
May 17, 2018 09:39Hii ni kwa mujibu wa utafiti wa IMF..
-
Maporomoko ya udongo yauwa watu 18 Rwanda, mvua kali zinaendelea kunyesha
May 07, 2018 10:55Maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa yameuwa watu 18 katika mikoa ya kaskazini na magharibi mwa Rwanda mwishoni mwa wiki na kuifanya idadi ya watu walioaga dunia tangu mwezi Januari mwaka huu kutokana na mvua kali nchini humo kuwa zaidi ya 200.