Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Mvua na maporomoko ya ardhi yaendelea kusababisha maafa nchini Rwanda

    Mvua na maporomoko ya ardhi yaendelea kusababisha maafa nchini Rwanda

    Apr 25, 2018 07:30

    Serikali ya Rwanda imesema watu wengine 18 wamefariki dunia kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini humo.

  • SAUTI, Mafuriko yaendelea kuyakumba maeneo yote ya Afrika Mashariki, Rwanda yapoteza watu 42

    SAUTI, Mafuriko yaendelea kuyakumba maeneo yote ya Afrika Mashariki, Rwanda yapoteza watu 42

    Apr 17, 2018 16:34

    Serikali ya Rwanda imethibitisha vifo vya watu 41 waliofariki dunia kutokana na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini humo.

  • Trump aelekeza vita vya kibiashara Afrika, Rwanda yajibu mapigo

    Trump aelekeza vita vya kibiashara Afrika, Rwanda yajibu mapigo

    Apr 12, 2018 14:48

    Baada ya kuanzisha vita vya kibiashara dhidi ya nchi za Asia na Ulaya na kupata jibu kali, sasa Rais wa Marekani Donald Trump anaonekena kueelekeza vita hivyo kwa nchi za Afrika.

  • SAUTI. Waislamu nchini Rwanda wapinga vikali hatua ya serikali kupiga marufuku adhana, wasema ni njama za kufunga misikiti

    SAUTI. Waislamu nchini Rwanda wapinga vikali hatua ya serikali kupiga marufuku adhana, wasema ni njama za kufunga misikiti

    Mar 15, 2018 16:40

    Kwa mara nyingine tena Rwanda imepiga marufuku ya matumizi ya dhana kwenye misikiti ya Waislamu nchini humo.

  • Watu 16 wauawa kwa kupigwa na radi kanisani nchini Rwanda

    Watu 16 wauawa kwa kupigwa na radi kanisani nchini Rwanda

    Mar 11, 2018 16:25

    Kwa akali watu 16 wamepoteza maisha baada ya kupigwa na radi wakiwa kanisani huko kusini mwa Rwanda, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Burundi.

  • Maelfu ya wakimbizi wa Burundi wahamia Rwanda kutoka Congo DR

    Maelfu ya wakimbizi wa Burundi wahamia Rwanda kutoka Congo DR

    Mar 08, 2018 08:18

    Wakimbizi elfu mbili na mia tano wa Burundi wameingia katika nchi ya Rwanda wakitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • SAUTI, Serikali ya Rwanda yaanzisha sensa ya kuwaorodhesha wakimbizi na kuwapatia vitambulisho

    SAUTI, Serikali ya Rwanda yaanzisha sensa ya kuwaorodhesha wakimbizi na kuwapatia vitambulisho

    Feb 11, 2018 07:54

    Serikali ya Rwanda imeanza zoezi la kufanya sensa ya kuwaorodhesha wakimbizi wote wanaoishi nchi hiyo.

  • SAUTI, Mahusiano ya Rwanda na Uganda huwenda yakaharibika kutokana na raia wa Rwanda kteswa Uganda

    SAUTI, Mahusiano ya Rwanda na Uganda huwenda yakaharibika kutokana na raia wa Rwanda kteswa Uganda

    Jan 31, 2018 19:00

    Huwenda mzozo wa Uganda na Rwanda ukaingia hatua mpya kutokana na baadhi ya Wanyarwanda kuendelea kutiwa mbaroni na askari wa Uganda na kurejeshwa baadaye nchini Rwanda.

  • Rwanda yasisitiza kuhusu azma ya kustawisha uhusiano na Iran

    Rwanda yasisitiza kuhusu azma ya kustawisha uhusiano na Iran

    Jan 19, 2018 07:48

    Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema nchi yake imekusudia kustawisha uhusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanja zote.

  • Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri

    Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri

    Jan 06, 2018 04:02

    Serikali ya Rwanda imekanusha taarifa za kukubali kuwapokea maelfu ya wahajiri wa Kiafrika kama sehemu ya mpango uliofikiwa baina yake na utawala wa Kizayuni wa Israel, muda mfupi baada ya Uganda kukabidhisha madai hayo ya Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS