Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Rwanda yasisitiza kuhusu azma ya kustawisha uhusiano na Iran

    Rwanda yasisitiza kuhusu azma ya kustawisha uhusiano na Iran

    Jan 19, 2018 04:18

    Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema nchi yake imekusudia kustawisha uhusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanja zote.

  • Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri

    Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri

    Jan 06, 2018 00:32

    Serikali ya Rwanda imekanusha taarifa za kukubali kuwapokea maelfu ya wahajiri wa Kiafrika kama sehemu ya mpango uliofikiwa baina yake na utawala wa Kizayuni wa Israel, muda mfupi baada ya Uganda kukabidhisha madai hayo ya Tel Aviv.

  • Makumi ya Wanyarwanda wafunguliwa mashitaka ya ugaidi Uganda

    Makumi ya Wanyarwanda wafunguliwa mashitaka ya ugaidi Uganda

    Dec 29, 2017 04:35

    Habari kutoka Kampala, mji mkuu wa Uganda zinasema raia 45 wa Rwanda wanaozuiliwa katika kituo cha polisi cha Nalufenya wilayani Jinja wamefunguliwa mashitaka ya ugaidi.

  • Wanyarwanda waishio nje kama wakimbizi warejee, ukimbizi wao utafutwa na UNHCR

    Wanyarwanda waishio nje kama wakimbizi warejee, ukimbizi wao utafutwa na UNHCR

    Dec 23, 2017 23:55

    Rwanda imewahimiza raia wake wanaoishi kama wakimbizi katika mataifa mengine, kurejea nchini kabla ya Disemba 31, mwaka 2017 ambayo ni tarehe rasmi ya shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR ya kufuta ukimbizi wao.

  • Majaji wa Ufaransa wamlaumu Rais Kagame kuhusu mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Majaji wa Ufaransa wamlaumu Rais Kagame kuhusu mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Dec 23, 2017 04:04

    Majaji nchini Ufaransa wamewalaumu wapiganaji walioongozwa na Rais wa sasa wa Rwanda, Paul Kagame kwa kuilenga na kuiangusha ndege iliyokuwa imembeba Rais wa wakati huo wa taifa hilo, Juvenal Habyarimana 1994.

  • Sudan, Rwanda kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Sudan, Rwanda kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Dec 22, 2017 03:13

    Sudan na Rwanda zimekubaliana kuunganisha juhudi zao za kutafuta suluhisho la amani la changamoto zinazolikabili bara la Afrika na kupambana na ugaidi na uhalifu wa kuchupa mpaka.

  • SAUTI, Viongozi wa vyama tawala Afrika wamekosolewa kwa kuingilia uhuru wa tume za chaguzi zao

    SAUTI, Viongozi wa vyama tawala Afrika wamekosolewa kwa kuingilia uhuru wa tume za chaguzi zao

    Nov 09, 2017 13:13

    Suala la machafuo yanayotokea baada ya chaguzi mbalimbali barani Afrika, ni kati ya mada zinazoendelea kujadiliwa na wenyeviti wa tume za uchaguzi kwenye nchi za Kiafrika katika mkutano wao ulioanza Akhamisi ya leo jiji Kigali, Rwanda.

  • Rwanda yaitaka Ufaransa kubeba dhima ya kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994

    Rwanda yaitaka Ufaransa kubeba dhima ya kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994

    Oct 30, 2017 09:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda ameitaka Ufaransa kubeba dhima ya kuhusika na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya watu wa kabila la Tutsi nchini humo.

  • Rwanda yatajwa kuzuia safari ya timu ya kuzuia utesaji ya Umoja wa Mataifa

    Rwanda yatajwa kuzuia safari ya timu ya kuzuia utesaji ya Umoja wa Mataifa

    Oct 21, 2017 23:38

    Kamisheni ya Kuzuia Utesaji ya Umoja wa Mataifa imeahirisha safari ya ujumbe wa kamisheni hiyo kwenda Rwanda.

  • Rwanda yakanusha kuwatia mbaroni raia kinyume cha sheria na kuwatesa watuhumiwa

    Rwanda yakanusha kuwatia mbaroni raia kinyume cha sheria na kuwatesa watuhumiwa

    Oct 11, 2017 13:16

    Serikali ya Rwanda leo imekanusha madai ya Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch na kusema kuwa, madai hayo hanayana msingi wowote

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS