Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

safari

  • Safari ya kieneo ya Mike Pompeo; juhudi za kuupa uhalali utawala wa Kizayuni wa Israel

    Safari ya kieneo ya Mike Pompeo; juhudi za kuupa uhalali utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 25, 2020 12:19

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donal Trump nchini Marekani, nchi hiyo imefanya mambo na kuchukua hatua ambazo hazijawahi kushuhudiwa huko nyuma kwa maslahi ya utawala haramu wa Israel.

  • Tanzania yazuia safari za Kenya Airways nchini humo

    Tanzania yazuia safari za Kenya Airways nchini humo

    Aug 01, 2020 04:03

    Tanzania imesimamisha shirika la ndege la Kenya (KQ) kufanya safari za kwenda Tanzania kuanzia leo tarehe Mosi Agosti, siku moja baada ya Kenya kutangaza kuwa itafungua anga zake kwa usafiri wa kimataifa isipokuwa kutoka baadhi ya nchi ikiwemo Tanzania.

  • Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa

    Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa

    May 14, 2020 03:50

    Uhusiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umepanuka sana kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani ambaye amechukua hatua nyingi za kutekeleza kivitendo matakwa haramu ya 'Israel.'

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa UK nchini Saudia, juhudi za kuisakamua Riyadh kutoka kwenye kinamasi cha Yemen

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa UK nchini Saudia, juhudi za kuisakamua Riyadh kutoka kwenye kinamasi cha Yemen

    Mar 07, 2020 06:00

    Serikali ya kihafidhina ya Uingereza ni miongoni wa waitifaki wakuu wa utawala wa kiimla wa Saudi Arabia na ina uhusiano wa kindakindaki wa kiuchumi na kisilaha na utawala huo wa kidikteta. Kama hilo halitoshi, Uingereza pia ina mchango mkubwa katika uvamizi wa nchi maskini ya Yemen unaoongozwa na Saudia.

  • Azimio la UN kwa ajili ya kuwaondolea vizuizi wanadiplomasia wa Iran nchini Marekani

    Azimio la UN kwa ajili ya kuwaondolea vizuizi wanadiplomasia wa Iran nchini Marekani

    Dec 20, 2019 06:16

    Marekani ambayi ni mwenyeji wa makao makuu ya Umoja wa Mataifa siku zore imekuwa ikitatiza na kuwekdea vizingiti wanadiplomasia na viongozi wa ngazi za juu wa nchi mbalimbali zinaopinga siasa za Washington.

  • Taarifa ya pamoja ya Kansela wa Ujerumani na Waziri Mkuu wa India kuhusu makubaliano ya JCPOA

    Taarifa ya pamoja ya Kansela wa Ujerumani na Waziri Mkuu wa India kuhusu makubaliano ya JCPOA

    Nov 03, 2019 07:51

    Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalikuwa natija ya juhudi za kidiplomasia na mazungumzo ya awamu kadhaa kati ya Iran na kundi la 5+1; hivi sasa yanakabiliwa na hatari kubwa kufuatia hatua ya Marekani ya kujitoa kwenye makubaliano hayo na kutotekeleza ahadi nchi za Ulaya; hatua iliyokabiliwa na radiamali kali ya Iran ambayo pia imeamua kupunguza hatua kwa hatua uwajibikaji wake ndani ya makubaliano hayo.

  • Raia wa Jordan waandamana kupinga safari ya mkwe wa Trump nchini kwao

    Raia wa Jordan waandamana kupinga safari ya mkwe wa Trump nchini kwao

    May 30, 2019 03:42

    Raia wa Jordan wamefanya maandamano kupinga safari ya Jared Kushner, mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi ambapo wamepiga kambi mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Amman.

  • Safari ya Trump Japan, Washington kuitumia Tokyo kuanzisha tena mazungumzo na Korea Kaskazini

    Safari ya Trump Japan, Washington kuitumia Tokyo kuanzisha tena mazungumzo na Korea Kaskazini

    May 27, 2019 02:21

    Rais Donald Trump wa Marekani anafanya safari ya siku tatu nchini Japan.

  • HAMAS yalaani safari ya Rais wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    HAMAS yalaani safari ya Rais wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Apr 02, 2019 07:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani safari ya Rais Jair Bolsonaro wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel).

  • Safari ya kushtukiza ya Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Iraq

    Safari ya kushtukiza ya Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Iraq

    Feb 13, 2019 13:00

    Baada ya baadhi ya maeneo ya Iraq kudhibitiwa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) mnamo mwezi Juni 2014, Marekani iliimarisha uwepo wake ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu sambamba na kuweka askari wake katika kambi kadhaa za kijeshi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS