Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sala ya Ijumaa

  • Brigedia Salami: Jeshi la SEPAH la Iran ni ngao madhubuti kwa umma mzima wa Kiislamu

    Brigedia Salami: Jeshi la SEPAH la Iran ni ngao madhubuti kwa umma mzima wa Kiislamu

    Apr 21, 2018 03:36

    Kaimu Kamanda Mkuu wa jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, tangu jeshi hilo lilipovaa mavazi ya jihadi, limekuwa ngao imara kwa umma wote wa Kiislamu.

  • Ayatullah Khatami: Adui anafanya njama za kulivunja moyo taifa la Iran

    Ayatullah Khatami: Adui anafanya njama za kulivunja moyo taifa la Iran

    Jan 26, 2018 16:51

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa njama za maadui wa Uislamu sasa zimeelekezwa katika mitandao ya kijamii na wanafanya jitihada za kulivunja moyo na kulikosesha matumaini taifa la Iran.

  • Khatami: Fujo za Iran zimechochewa na Marekani na waitifaki wake

    Khatami: Fujo za Iran zimechochewa na Marekani na waitifaki wake

    Jan 05, 2018 15:15

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema, fujo ambazo zimeshuhudiwa siku za hivi karibuni mjini Tehran zinaashiria kuwepo uchochezi wa Marekani na vibaraka wake.

  • Serikali ya Ufaransa yawawekea Waislamu vizuizi vipya wasiweze kusali Sala ya Ijumaa katika mji wa Paris

    Serikali ya Ufaransa yawawekea Waislamu vizuizi vipya wasiweze kusali Sala ya Ijumaa katika mji wa Paris

    Nov 20, 2017 07:45

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerard Collomb amesema ni marufuku kusali Sala la Ijumaa katika eneo la Clichy kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Paris.

  • Ayatullah Kermani: Marekani ni kinara wa jinai, mipango ya Trump ni ya kipumbavu

    Ayatullah Kermani: Marekani ni kinara wa jinai, mipango ya Trump ni ya kipumbavu

    Nov 03, 2017 14:21

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo Tehran amesema Wamarekani ni wenye kuvunja ahadi na kuongeza kuwa, Marekani ni kinara wa uhaini na jinai zote duniani.

  • Iran itatoa jibu linalofaa kwa uadui wa Marekani

    Iran itatoa jibu linalofaa kwa uadui wa Marekani

    Oct 13, 2017 15:33

    Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran ameashiria kufanyika kura ya maoni ya kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq na kusema kuwa, adui amegonga mwamba katika njama yake ya kuunda kile kinachodaiwa kuwa ni 'Mashariki ya Kati Mpya.'

  • Mpango wa kujitenga Kurdistan na Iraq ni njama za Wazayuni

    Mpango wa kujitenga Kurdistan na Iraq ni njama za Wazayuni

    Sep 29, 2017 14:26

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema, kura ya maoni ya kujitenga na Iraq eneo la Kurdistan ni njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Askari wa Bahrain wazuia Swala ya Ijumaa kwa wiki ya 62 mtawalia huko al Deraz

    Askari wa Bahrain wazuia Swala ya Ijumaa kwa wiki ya 62 mtawalia huko al Deraz

    Sep 22, 2017 16:23

    Askari usalama wa Bahrain leo Ijumaa wamezuia kufanyika Swala ya Ijumaa katika eneo la al Deraz katika mji mkuu wa nchi hiyo, Manama kwa wiki ya 62 mtawalia.

  • Ayatullah Movahhedi Kermani: Mataifa ya Kiislamu yaamke dhidi ya jinai za Mabudha wa Myanmar

    Ayatullah Movahhedi Kermani: Mataifa ya Kiislamu yaamke dhidi ya jinai za Mabudha wa Myanmar

    Sep 08, 2017 18:54

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa hakuna matumaini ya kuona taasisi za kimataifa zikisaidia kuzuia mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na ameyataka mataifa ya Kiislamu kuamka na kusimama kidete dhidi ya jinai zinazofanywa na jeshi na Mabudha wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Bahrain waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa

    Utawala wa Bahrain waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa

    Sep 01, 2017 15:03

    Vikosi vya usalama nchini Bahrain leo vimewazuia tena Waislamu wa eneo la Diraz kusali Sala ya Ijumaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS