Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mwanaharakati wa Saudia: Sina amani, naandamwa na makachero wa Bin Salman

    Mwanaharakati wa Saudia: Sina amani, naandamwa na makachero wa Bin Salman

    Feb 28, 2022 13:14

    Wakati vyombo vya habari vya Saudia na makampuni ya mahusiano ya umma katika nchi za Magharibi, yaliajiriwa na serikali ya Riyadh yakiendelea kusafisha na kupendezesha sura ya mrithi wa ufalme wa Saudia, Mohammed bin Salman, iliyochafuliwa na mauaji ya mwanahabari Jamal Khashoggi, mwanaharakati wa Kisaudia Alya Alhwaiti anayeishi London, amelipua bomu baada ya kufichua kwamba alipokea vitisho vya kuuawa.

  • Jenerali Saree: Mashambulio ya anga ya Saudi dhidi ya watu wa kawaida wa Yemen yatajibiwa

    Jenerali Saree: Mashambulio ya anga ya Saudi dhidi ya watu wa kawaida wa Yemen yatajibiwa

    Feb 15, 2022 13:10

    Msemaji wa Jeshi la Yemen amekanusha vikali madai kwamba Jeshi la Yemen na washirika wake wanatumia majengo na vituo vya raia kwa malengo ya kijeshi, akisisitiza kwamba madai hayo yanatolewa ili kuhalalisha uhalifu unaofanywa na muungano wa kivita unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • Khatibzadeh: Iran inasubiri majibu ya Wamagharibi katika mazungumzo ya Vienna

    Khatibzadeh: Iran inasubiri majibu ya Wamagharibi katika mazungumzo ya Vienna

    Feb 14, 2022 10:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, hakuna mkwamo wowote katika mazungumzo ya Vienna na kilichopo ni kwamba hivi sasa Iran inasubiri majibu kutoka kwa nchi za Magharibi zinazoshiriki kwenye mazungumzo hayo.

  • HRW: Kila saa moja Myemen mmoja anauawa au anajeruhiwa

    HRW: Kila saa moja Myemen mmoja anauawa au anajeruhiwa

    Feb 12, 2022 06:51

    Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa ripoti mpya na kusema kuwa, katika mwezi ulioisha wa Januari, kwa kila saa moja kwa uchache Myemen mmoja alikuwa anauawa au anajeruhiwa. Hao ni raia wa kawaida wa Yemen ambao hawahusiki kivyovyote na masuala ya kijeshi.

  • Denmark yawapata na hatia magaidi wafanya ujajusi wa Saudia

    Denmark yawapata na hatia magaidi wafanya ujajusi wa Saudia

    Feb 05, 2022 04:40

    Mahakama moja nchini Denmark imewapata na hatia ya kufanya ujasusi kwa niaba ya Saudi Arabia wanachama wa kundi la kigaidi la Ahvaziyyah, na kuunga mkono harakati za ugaidi nchini Iran.

  • Bin Salman aanzisha mradi wa ujasusi akishirikiana na Israel

    Bin Salman aanzisha mradi wa ujasusi akishirikiana na Israel

    Feb 03, 2022 08:17

    Duru za habari zimetangaza kuwa, utawala wa Saudi Arabia meanzisha mradi mkubwa zaidi wa ujasusi na kunasa sauti na mazungumzo simu za mkononi kwa ushirikiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Khatibzadeh: Uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na kufanya mauaji

    Khatibzadeh: Uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na kufanya mauaji

    Jan 31, 2022 11:42

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uhai wa utawala vamizi wa Quds unafungamana na ukandamizaji na kufanya mauaji.

  • Saudia yaua raia wa Yemen, ikiwemo familia nzima, katika hujuma dhidi ya Sana'a

    Saudia yaua raia wa Yemen, ikiwemo familia nzima, katika hujuma dhidi ya Sana'a

    Jan 19, 2022 03:02

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema muungano wa kivita wa Saudi Arabia umetekeleza mashambulizi dhidi ya mji mkuu wa Yemen, Sana'a, ambapo raia 20, ikiwemo familia moja wameuawa.

  • Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon

    Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon

    Jan 16, 2022 02:44

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbuullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon.

  • Balozi za Iran na Saudia kufunguliwa tena karibuni

    Balozi za Iran na Saudia kufunguliwa tena karibuni

    Jan 15, 2022 12:12

    Mwanachama wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Saudia upo katika mkondo wa kuhuishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS