-
Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu: Kuna udharura wa kukabiliana na uhalifu wa Saudia
Mar 17, 2022 05:23Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu Duniani amelaani jinai ya Saudi Arabia ya kuwanyonga watu 81 na ametoa wito wa kuwepo umoja wa Waislamu na Ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na vitendo hivyo visivyo vya kibinadamu.
-
Safari ya Johnson Saudi Arabia; mafuta mhimili wa mazungumzo
Mar 16, 2022 03:45Wakati vita vya Russia na Ukraine vikiendelea na bei ya mafuta duniani kuendelea kupanda pia, Boris Johnson Waziri Mkuu wa Uingereza anaelekea Saudi Arabia kwa ajili ya kujadili suala la kupewa mafuta kwa bei rahisi.
-
Ayatullah Makarem Shirazi: Unyongaji wa umati wa Saudia umezijeruhi nyoyo za Waislamu wote huru
Mar 15, 2022 21:07Ayatullah Naser Makarem Shirazi, mmoja wa Marjaa Taqlidi wa mjini Qum nchini Iran amesema kuwa, hatua ya kuwanyonga makumi ya vijana Waislamu tena kwa sura ya kinyama na ya kikatili imezihunisha nyoyo za Waislamu wote huru ulimwenguni.
-
Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa UN alaani mauaji makubwa ya wafungwa Saudi Arabia
Mar 15, 2022 04:46Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet ametoa maoni yake kuhusu kunyongwa kwa watu 81 nchini Saudi Arabia.
-
Ansarullah ya Yemen imefanya operesheni kubwa ya mashambulio ndani kabisa ya ardhi ya Saudia
Mar 12, 2022 03:28Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen ametoa ufafanuzi wa shambulio la ndege zisizo na rubani lililofanywa na jeshi la nchi hiyo ndani kabisa ya ardhi ya Saudi Arabia kujibu uchokozi na hujuma za kila leo wanazofanyiwa raia wa Yemen na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na utawala wa Riyadh.
-
Mwanaharakati wa Saudia: Sina amani, naandamwa na makachero wa Bin Salman
Feb 28, 2022 09:44Wakati vyombo vya habari vya Saudia na makampuni ya mahusiano ya umma katika nchi za Magharibi, yaliajiriwa na serikali ya Riyadh yakiendelea kusafisha na kupendezesha sura ya mrithi wa ufalme wa Saudia, Mohammed bin Salman, iliyochafuliwa na mauaji ya mwanahabari Jamal Khashoggi, mwanaharakati wa Kisaudia Alya Alhwaiti anayeishi London, amelipua bomu baada ya kufichua kwamba alipokea vitisho vya kuuawa.
-
Jenerali Saree: Mashambulio ya anga ya Saudi dhidi ya watu wa kawaida wa Yemen yatajibiwa
Feb 15, 2022 09:40Msemaji wa Jeshi la Yemen amekanusha vikali madai kwamba Jeshi la Yemen na washirika wake wanatumia majengo na vituo vya raia kwa malengo ya kijeshi, akisisitiza kwamba madai hayo yanatolewa ili kuhalalisha uhalifu unaofanywa na muungano wa kivita unaoongozwa na Saudi Arabia.
-
Khatibzadeh: Iran inasubiri majibu ya Wamagharibi katika mazungumzo ya Vienna
Feb 14, 2022 07:28Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, hakuna mkwamo wowote katika mazungumzo ya Vienna na kilichopo ni kwamba hivi sasa Iran inasubiri majibu kutoka kwa nchi za Magharibi zinazoshiriki kwenye mazungumzo hayo.
-
HRW: Kila saa moja Myemen mmoja anauawa au anajeruhiwa
Feb 12, 2022 03:21Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa ripoti mpya na kusema kuwa, katika mwezi ulioisha wa Januari, kwa kila saa moja kwa uchache Myemen mmoja alikuwa anauawa au anajeruhiwa. Hao ni raia wa kawaida wa Yemen ambao hawahusiki kivyovyote na masuala ya kijeshi.
-
Denmark yawapata na hatia magaidi wafanya ujajusi wa Saudia
Feb 05, 2022 01:10Mahakama moja nchini Denmark imewapata na hatia ya kufanya ujasusi kwa niaba ya Saudi Arabia wanachama wa kundi la kigaidi la Ahvaziyyah, na kuunga mkono harakati za ugaidi nchini Iran.