Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Saudi Arabia

    Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Saudi Arabia

    Sep 21, 2018 03:23

    Katika safari yake nchini Saudi Arabia Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan amekutana na kufanya mazungumzo na Mfalme Salman bin Abdul Aziz pamoja na Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo.

  • Mshikamano wa Saudia na magaidi wa MKO, fitna nyingine za Aal Saud Mashariki ya Kati

    Mshikamano wa Saudia na magaidi wa MKO, fitna nyingine za Aal Saud Mashariki ya Kati

    Sep 20, 2018 03:08

    Kiongozi mmoja mkubwa wa zamani wa genge la kigaidi la MKO lenye historia ya kufanya ugaidi, mauaji na jinai kubwa dhidi ya wananchi na viongozi wa Iran amefichua namna Saudi Arabia inavyolisaidia kifedha genge hilo.

  • Saudia yachukua mkopo wa dola bilioni 11 kugharimia vita dhidi ya Yemen

    Saudia yachukua mkopo wa dola bilioni 11 kugharimia vita dhidi ya Yemen

    Sep 18, 2018 09:38

    Wakati vita vilivyoanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen vikiwa vinaendelea, Mfuko wa Kifalme wa nchi hiyo umetangaza kuwa utawala wa Riyadh umepokea mkopo wa kwanza wa kimataifa wa dola bilioni 11 kwa ajili ya kulipia deni la nchi hiyo.

  • Viongozi wa Eritrea na Ethiopia wasaini makubaliano ya amani, uhusiano wazidi kuimarika

    Viongozi wa Eritrea na Ethiopia wasaini makubaliano ya amani, uhusiano wazidi kuimarika

    Sep 17, 2018 10:52

    Viongozi wa Ethiopia na Eritrea wametia saini makubaliano ya amani huku uhusiano wa nchi hizo mbili jirani zilizokuwa na uadui mkubwa ukizidi kuimarika siku baada ya siku.

  • Ndege za kivita za Saudia zaua watu 15 Hudaydah, Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zaua watu 15 Hudaydah, Yemen

    Sep 15, 2018 09:28

    Watu wasiopungua 15 wamepoteza maisha kufuatia hujuma ya ndege za kivita za Saudia katika barabara ya kistratijia inayounganisha mji mkuu wa Yemen, Sana'a na mji wa bandarini wa Hudaydah magharibi mwa nchi hiyo.

  • Msemaji wa Ansarullah: Vita vya Yemen ni wenzo wa kufanikisha

    Msemaji wa Ansarullah: Vita vya Yemen ni wenzo wa kufanikisha "Muamala wa Karne"

    Sep 14, 2018 19:28

    Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa vita vya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen ni kibiashara inayotumiwa na Marekani ili kuendeleza njama mpya ya Washington na Wazayuni ya "Muamala wa Karne" dhidi ya Palestina.

  • Utawala wa Aal-Saud washadidisha siasa za ubaguzi wa kimadhehebu katika mwezi Muharram

    Utawala wa Aal-Saud washadidisha siasa za ubaguzi wa kimadhehebu katika mwezi Muharram

    Sep 12, 2018 22:12

    Sambamba na kuanza mwezi wa Muharram ambao ndani yake Waislamu hufanya maombolezo ya kukumbuka tukio chungu la Ashura la kuuawa shahidi Imam Hussein (as) mjukuu wa Mtume (saw), askari wa utawala wa Aal-Saud wameanzisha ukandamizaji wa kimadhehebu katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Shia.

  • Serikali ya Saudia yampandisha kizimbani mwendesha vipindi wa TV kwa kuiunga mkono Ikhwanul Muslimin

    Serikali ya Saudia yampandisha kizimbani mwendesha vipindi wa TV kwa kuiunga mkono Ikhwanul Muslimin

    Sep 11, 2018 00:15

    Mahakama ya Jinai nchini Saudia imemsomea mashitaka mwendesha vipindi wa televisheni ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuiunga mkono harakati ya Ikhwanul Muslimin.

  • Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Sep 09, 2018 23:07

    Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Iran katika masuala ya viwanda vya kijeshi amesisitiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora."

  • Vipigo vya makombora ya Yemen dhidi ya mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Imarati

    Vipigo vya makombora ya Yemen dhidi ya mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Imarati

    Sep 05, 2018 01:40

    Jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen zimeamua kulipiza kisasi cha jinai zinazofanywa na Saudi Arabia na wavamizi wenzake, kupitia kushambulia kwa makombora mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS