-
Mkutano wa nchi za Kiarabu wamalizika Jeddah kwa wito wa kutatuliwa kadhia za Palestina, Syria
May 19, 2023 22:43Viongozi wa nchi za Kiarabu wamekamilisha mkutano wao huko Jeddah, Saudi Arabia kwa kutoa taarifa iliyosisitiza udharura wa kutatuliwa kadhia ya Palestina na mgogoro wa Syria.
-
Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni
May 15, 2023 07:11Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia umeelekea Tripoli mji mkuu wa Libya kwa ajili ya kuchuguza taratibu za kufungua tena ubalozi wa nchi hiyo nchini Libya.
-
Iran ina azma ya kurejesha uhusiano wa kibiashara, kiuchumi na Saudi Arabia
Apr 27, 2023 07:22Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda, Migodi na Kilimo cha Iran (ICCIMA) ametoa wito wa kurejeshwa kwa haraka uhusiano wa kibiashara na kiuchumi na Saudi Arabia na kukuzwa ushirikiano kati ya wafanyabiashara na wenye viwanda vya sekta binafsi za nchi hizo mbili.
-
Iran kuzindua safari za ndege za kila wiki kwenda Saudi Arabia
Apr 24, 2023 03:36Iran ina mpango wa kuzindua safari za ndege za abiria kila wiki kwenda Saudi Arabia kufuatia ombi rasmi kutoka kwa wakuu wa Saudia huku kukiwa na uboreshaji wa uhusiano wa nchi hizi mbili jirani.
-
Je, kuanguka ndege isiyo na rubani ya Israel nchini Syria kumetokana na sababu za kiufundi?
Apr 21, 2023 04:28Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuanguka kwa moja ya ndege zake zisizo na rubani wakati wa uvamizi wa anga ya Syria.
-
Ujumbe wa Hamas uko Saudi Arabia kwa mazungumzo na serikali ya Riyadh
Apr 18, 2023 08:40Ujumbe wa maafisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) uko nchini Saudi Arabia ikiwa ni safari yake ya kwanza nchini humo baada ya miaka kadhaa.
-
Safari ya Faisal al Miqdad huko Jeddah; mabadiliko katika sera za nje za Saudi Arabia
Apr 15, 2023 04:25Faisal al Miqdad Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amefanya ziara nchini Saudi Arabia kufuatia mwaliko rasmi wa mwenzake wa Saudi Arabia Faisal bin farhan.
-
Iraq yakaribisha taarifa ya pamoja ya Syria na Saudia
Apr 14, 2023 03:48Iraq imekaribisha taarifa ya pamoja ya Syria na Saudi Arabia, iliyotolewa mwishoni mwa ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Faisal al-Miqdad mjini Riyadh siku ya Jumatano.
-
Ansarullah yaitaka UAE kuondoa wanajeshi wake Yemen baada ya uamuzi wa Saudi wa kusitisha vita
Apr 08, 2023 07:30Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) unapaswa kuondoa wanajeshi wake kutoka Yemen baada ya Saudi Arabia kulifahamisha Baraza la Uongozi Yemen kuhusu uamuzi wa kuhitimisha vita vya miaka minane vilivyosababisha uharibifu mkubwa nchini humo.
-
Abdollahian: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia zina nia ya kustawisha uhusiano wa pande mbili
Apr 06, 2023 09:22Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia wana nia ya kustawisha na kuimarisha uhusiano wa pande mbili.