Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Onyo la Hizbullah ya Lebanon kwa Marekani, Israel na Saudi Arabia

    Onyo la Hizbullah ya Lebanon kwa Marekani, Israel na Saudi Arabia

    May 02, 2018 21:16

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia haziwezi kukaa kimya baada ya kushindwa njama zao katika nchi za Iraq, Syria na Lebanon.

  • Yemen yaendelea kuandamwa na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia na washirika wake

    Yemen yaendelea kuandamwa na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia na washirika wake

    May 02, 2018 00:00

    Ndege za kijeshi za muungano vamizi wa Saudi Arabia zimeendelea kutenda jinai zake dhidi ya wananchi wa Yemen baada ya kushambulia kwa mabomu maeneo mbalimbali ya mkoa wa Sa'dah kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Mwanaharakati wa Kisiasa Kuwait: Saudia ndio muharibifu wa usalama Mashariki ya Kati

    Mwanaharakati wa Kisiasa Kuwait: Saudia ndio muharibifu wa usalama Mashariki ya Kati

    May 01, 2018 09:44

    Mwanaharakati mashuhuri wa kisiasa nchini Kuwait amesambaza video inayoonyesha kuwa Saudia ndiye muhusika mkuu wa machafuko eneo la Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati kwa ujumla.

  • Saudia yawatimua wafanyakazi wa kigeni baada ya kupanda gharama za vita dhidi ya Yemen

    Saudia yawatimua wafanyakazi wa kigeni baada ya kupanda gharama za vita dhidi ya Yemen

    Apr 30, 2018 22:15

    Kufuatia gharamza kubwa za vita vyake dhidi ya watu wa Yemen, sasa Saudia imelazimika kuanza kupunguza wafanyakazi wa kigeni nchini humo.

  • Safari ya Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Saudia

    Safari ya Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Saudia

    Apr 30, 2018 22:15

    Katika safari yake ya kwanza kwa ajili ya kukutana na viongozi wa nchi washirika wa Washington, Mike Pompeo, Waziri Mpya wa Mambo ya Nje wa Marekani ametembelea Riyadh, mji mkuu wa Saudia.

  • Saudia: Tunaunga mkono kuwekewa vikwazo zaidi Iran

    Saudia: Tunaunga mkono kuwekewa vikwazo zaidi Iran

    Apr 29, 2018 22:11

    Adel al Jubeir, waziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia amesema kuwa Riyadh inaunga mkono kuwekewa vikwazo zaidi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jeshi la Yemen: Saudia iondoe watu kwenye ofisi za serikali na viwanda, tutalipa kisadi damu ya al-Sammad

    Jeshi la Yemen: Saudia iondoe watu kwenye ofisi za serikali na viwanda, tutalipa kisadi damu ya al-Sammad

    Apr 25, 2018 09:58

    Kamandi kuu ya jeshi la Yemen imetoa taarifa kufuatia kuuawa shahidi na muungano vamizi wa Saudia Saleh al-Sammad, Kiongozi wa Baraza Kuu la Kisiasa la nchi hiyo, na kusema Saudia inatakiwa kuhamisha watu haraka kutoka kwenye viituo vyote vya serikali, wizara na viwanda.

  • Kiongozi wa Baraza la Kisiasa Yemen auawa katika hujuma ya Saudia

    Kiongozi wa Baraza la Kisiasa Yemen auawa katika hujuma ya Saudia

    Apr 23, 2018 12:33

    Kiongozi wa Baraza Kuu la Kisiasa Yemen, Saleh Saleh al-Sammad ameuawa katika hujuma ya ndege za kivita za Saudia Arabia katika mkoa wa al-Hudydah.

  • Utawala wa Aal Saud wawapiga marufuku mahujaji kuzuru

    Utawala wa Aal Saud wawapiga marufuku mahujaji kuzuru "Pango la Hira"

    Apr 22, 2018 03:37

    Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imepiga marufuku mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah kuzuru maeneo ya Mlima Nuru na Pango la Hira.

  • Habari za kutatanisha zagubika tukio la milio ya risasi iliyosikika karibu na kasri la Mfalme wa Saudia

    Habari za kutatanisha zagubika tukio la milio ya risasi iliyosikika karibu na kasri la Mfalme wa Saudia

    Apr 22, 2018 03:29

    Baada ya kimya cha saa kadhaa cha maafisa na vyombo vya habari vya Saudi Arabia kuhusu milio mingi ya risasi iliyosikika jana usiku katika mji mkuu Riyadh, shirika rasmi la habari la nchi hiyo limedai kuwa ufyatuaji huo wa risasi uliotokea ulisababishwa na droni ndogo bandia iliyokuwa ikipaa karibu na kasri la mfalme wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS