Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Umoja wa Mataifa wakosoa vikali hukumu za kukatwa watu vichwa Saudi Arabia

    Umoja wa Mataifa wakosoa vikali hukumu za kukatwa watu vichwa Saudi Arabia

    Nov 23, 2022 02:39

    Mmoja wa wasemaji wanaohusika na haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa ameelezea masikitiko yake kuhusu utekelezwaji wa hukumu za vifo kwa kukata watu vichwa nchini Saudi Arabia.

  • Bin Salman ajibiwa: Kuvunjiwa heshima Haram Mbili Takatifu haliwi tena suala la ndani la Saudia

    Bin Salman ajibiwa: Kuvunjiwa heshima Haram Mbili Takatifu haliwi tena suala la ndani la Saudia

    Nov 08, 2022 07:38

    Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wamemjibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia aliyedai kwamba hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kumueleza kuwa kutusi na kuvunjia heshima nchi ambayo ndani yake kuna Haram mbili za Makka na Madina haliwi suala la ndani la Saudia.

  • Msururu wa hukumu za vifo na kunyonga watu kwa halaiki; rekodi ya jinai aliyojiwekea Bin Salman

    Msururu wa hukumu za vifo na kunyonga watu kwa halaiki; rekodi ya jinai aliyojiwekea Bin Salman

    Nov 07, 2022 09:10

    Shirika la Haki za Kibinadamu la Saudi Arabia lenye makao yake Ulaya limefichua kuwa viongozi wa utawala wa Riyadh wametoa hukumu ya kifo kwa wafungwa 15 walioshtakiwa kwa masuala ya kiitikadi, na kwamba kwa kutolewa hukumu hizo, idadi ya watu walio hatarini kunyongwa nchini humo imefika 53, wanane miongoni mwao wakiwa ni vijana chipukizi na watoto wadogo.

  • Iran yajibu uvumi wa gazeti la Marekani kuhusu kuishambulia Saudia

    Iran yajibu uvumi wa gazeti la Marekani kuhusu kuishambulia Saudia

    Nov 03, 2022 02:41

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu uvumi ulioenezwa na gazeti la Marekani la Wall Street Journal lililodai kuwa kuna uwezekano Iran ikashambulia baadhi ya maeneo ya Saudi Arabia na kusema kuwa hayo ni madai chapwa yasiyo na msingi wowote.

  • Walebanon wataka kutimuliwa balozi wa Saudi Arabia mjini Beirut

    Walebanon wataka kutimuliwa balozi wa Saudi Arabia mjini Beirut

    Nov 02, 2022 13:39

    Wananchi wa Lebanon wametoa mwito wa kutimuliwa nchini humo balozi wa Saudi Arabia wakimtuhumu kwamba, amekuwa akiingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Hizbullah: Saudia na Marekani zinakwamisha uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Hizbullah: Saudia na Marekani zinakwamisha uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Oct 25, 2022 10:59

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema balozi za Saudi Arabia na Marekani jijini Beirut zimekula njama na kuweka vizingiti vya kila aina ili kukwamisha uchaguzi wa rais, huku ikiwa imesalia wiki moja tu kabla ya kumalizika muhula wa Rais Michel Aoun wa nchi hiyo.

  • Sanders aitaka Marekani iondoe askari wake Saudia, iache kuiuzia silaha

    Sanders aitaka Marekani iondoe askari wake Saudia, iache kuiuzia silaha

    Oct 08, 2022 06:50

    Seneta wa kujitegemea aliyekuwa pia mgombea uteuzi wa kuwania urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic ametoa wito wa kuondolewa wanajeshi wa Marekani nchini Saudi Arabia na kukomeshwa kwa misaada ya kijeshi kwa Ufalme wa kihafidhina wa nchi hiyo kwa sababu ya kupunguza uzalishaji wa mafuta.

  • Yemen: Hakutakuwa na usitishaji vita hadi haki za watu wa Yemen zipatikane

    Yemen: Hakutakuwa na usitishaji vita hadi haki za watu wa Yemen zipatikane

    Oct 07, 2022 02:34

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen ameutaja muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia na Umoja wa Mataifa kuwa zinahusika katika kufeli kwa usitishaji vita huko Yemen.

  • Ujerumani yachochea vita dhidi ya Yemen kwa kuiuzia Saudia silaha

    Ujerumani yachochea vita dhidi ya Yemen kwa kuiuzia Saudia silaha

    Oct 03, 2022 09:19

    Takriban wiki moja baada ya ziara ya Kansela wa Ujerumani Olaf Schultz nchini Saudi Arabia, Berlin kwa mara nyingine tena imeanza kuiuzia Saudia Arabia silaha na zana za kivita.

  • Chama cha Kushoto cha Ujerumani chakosoa hatua ya Berlin ya kuiuzia silaha Saudia

    Chama cha Kushoto cha Ujerumani chakosoa hatua ya Berlin ya kuiuzia silaha Saudia

    Oct 02, 2022 12:07

    Chama cha mrengo wa kushoto cha Ujerumani kimekosoa vikali hatua ya serikali mpya ya muungano ya nchi hiyo ya kutoa leseni ya kuuza silaha kwa serikali ya Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS