Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Sanad yalaani kuongezeka hukumu za kikatili nchini Saudi Arabia

    Sanad yalaani kuongezeka hukumu za kikatili nchini Saudi Arabia

    Oct 02, 2022 02:14

    Shirika la kutetea haki za binadamu la "Sanad" limetangaza kuwa kumeshuhudiwa ongezeko la kukamatwa wakosoaji na hukumu za kikatili na kidhalimu nchini Saudi Arabia katika kipindi cha hivi karibuni.

  • Shirika la Kimataifa la Kupambana na Mateso: Saudi Arabia ndio sababu ya ukame na njaa inayowakabili Wayamen

    Shirika la Kimataifa la Kupambana na Mateso: Saudi Arabia ndio sababu ya ukame na njaa inayowakabili Wayamen

    Sep 24, 2022 13:08

    Shirika la Kimataifa la Kupambana na Mateso limesema katika ripoti yake kwamba, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia ndio chimbuko la ukame na njaa inayowakabili wananchi wa Yemen kutokana na kuiziingira nchi nchi hiyo.

  • Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza

    Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza

    Sep 18, 2022 08:06

    Makumi ya watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London, kulaani safari ya Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman nchini Uingereza.

  • Raisi: Kuimarishwa uhusiano wa Saudi Arabia na Iran ni kwa maslahi ya usalama wa eneo

    Raisi: Kuimarishwa uhusiano wa Saudi Arabia na Iran ni kwa maslahi ya usalama wa eneo

    Aug 30, 2022 07:51

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ubunifu na hatua za Iraq katika kuboresha ushirikiano baina ya nchi za eneo bila uingiliaji wa madola ajinabi ni jambo ambalo limekuwa na taathira na kuongeza kuwa: "Kurekebishwa na kuimarishwa uhusiano wa Iran na Saudi Arabia ni kwa maslahi ya usalama wa eneo."

  • Iraq: Kikao kijacho cha Iran na Saudia mjini Baghdad kitafanyika hadharani

    Iraq: Kikao kijacho cha Iran na Saudia mjini Baghdad kitafanyika hadharani

    Jul 24, 2022 02:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema, kikao kijacho cha Saudi Arabia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Baghdad kitakuwa cha mazungumzo ya wazi kutokana na ombi lililotolewa na mrithi wa ufalme wa Saudia.

  • Iran yaipongeza Iraq kwa kushajiisha mazungumzo katika eneo

    Iran yaipongeza Iraq kwa kushajiisha mazungumzo katika eneo

    Jul 18, 2022 08:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameipongeza Iraq kwa nafasi yake athirifu na jitihada zake za kushajiisha utumiaji wa mazungumzo kwa ajili ya kujaribu kutatua matatizo na changamoto zinaolikabili eneo hili la Asia Magharibi.

  • Hizbullah yatoa msimamo kwa hatua ya Saudia kuifungulia Israel anga yake

    Hizbullah yatoa msimamo kwa hatua ya Saudia kuifungulia Israel anga yake

    Jul 17, 2022 10:58

    Hizbullah ya Lebanon imesema, hatua ya Saudi Arabia ya kuufungulia utawala haramu wa Kizayuni wa Israel mipaka ya anga yake ni sawa na kuwa mshirika wa jinai zinazofanywa na utawala huo na ni usaliti kwa umma wa Kiislamu.

  • Hamas yapinga misimamo ya Saudia ya kujikurubisha zaidi kwa wazayuni maghasibu

    Hamas yapinga misimamo ya Saudia ya kujikurubisha zaidi kwa wazayuni maghasibu

    Jul 16, 2022 02:55

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga vikali hatua ya Saudi Arabia ya kufungua anga ya nchi hiyo kwa ndege za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ndege maalumu ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad yatua Riyadh, Saudi Arabia

    Ndege maalumu ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad yatua Riyadh, Saudi Arabia

    Jul 12, 2022 03:20

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel vimeripoti kuwa, ndege maalumu ya shirika la ujasusi la utawala huo Mossad imetua katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.

  • Jaribio la Biden kuhalalisha safari yake ya Saudi Arabia

    Jaribio la Biden kuhalalisha safari yake ya Saudi Arabia

    Jul 12, 2022 01:25

    Rais Joe Biden wa Marekani amedai katika makala iliyochapishwa kwenye gazeti la Washington Post kwamba katika kipindi cha miezi 18 ya uongozi wake, eneo la Asia Magharibi limekuwa shwari na salama zaidi kuliko hapo awali. Biden ameyasema hayo katika jitihada zake za kujaribu kuhalalisha safari yake tarajiwa nchini Saud Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS