-
Mapendekezo ya Amnesty International kwa Riyadh kuhusu haki za binadamu
Jul 11, 2022 08:21Shirika la Kutetea Haki za Binadamu lisilo la kiserikali la (Amnesty International) limetaka kusainiwa waraka ambao unamtaka Mfalme wa Salman wa Saudi Arabia aondoe marufuku ya kiholela dhidi ya safari ya wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu nchini humo.
-
Saudia inakaribia kuwanyonga vijana watano raia wa nchi hiyo
Jul 04, 2022 03:32Utawala wa Aal Saud unaendelea kutekeleza vitendo vyake viovu na vilivyo kinyume cha sheria kwa kuwafunga jela raia kinyume cha sheria kutokana na umri wao mdogo, kwa tuhuma zisizo na msingi.
-
Iran yakamilisha oparesheni ya kuwatuma waumini kwenda Hija
Jul 03, 2022 09:24Mkuu wa oparesheni ya kuwabeba Wairani wanaoenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu amesema oparesheni hiyo inakamilika usiku wa leo.
-
Njama mpya za Marekani na Saudi Arabia nchini Syria
Jun 26, 2022 02:32Baadhi ya vyanzo vya habari vimeripoti kuwa Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha jitihada za pamoja za kuunda upya kikosi kinachojulikana kwa jina la Jaish Maghawir al-Thawra (Jeshi la Makomando wa Mapinduzi) katika kituo cha Al-Tanf kinachosimamiwa na Marekani kilichoko kwenye mpaka wa Jordan, Syrian na Iraq.
-
Iran yatuma ujumbe wa watu sita katika ubalozi wake mdogo nchini Saudia
May 31, 2022 07:38Iran imetuma wajumbe wake sita wa ubalozi mdogo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kwenda kutoa huduma kwa raia wa Iran wakati wa ibada za Hija mwaka huu.
-
Jeshi la Yemen latungua droni ya ujasusi yenye silaha ya Saudia
May 04, 2022 07:56Msemaji wa jeshi la Yemen amesema kuwa jeshi hilo limeitungua droni ya ujasusi yenye slaha ya Saudi Arabia katika anga ya mkoa wa Hajjah huko Yemen.
-
Wasiwasi wa Shirika la Haki za Wahamiaji kuhusu hali ya wafanyakazi wa kigeni katika magereza ya Saudi Arabia
May 02, 2022 04:09Shirika la Haki za Wahamiaji limeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kusikitisha ya wafanyakazi wa kigeni wanaozuiliwa katika magereza ya Saudia.
-
Wademokrati wataka kuangaliwa upya uhusiano wa Marekani na Saudi Arabia
Apr 14, 2022 07:54Wademokrati wa Kongresi ya Marekani wanasema, kuiunga mkono Saudi Arabia ni "kinyume" na maslahi ya Marekani.
-
Kukabidhiwa Saudi Arabia faili la mauaji ya kigaidi ya Khashoggi
Apr 09, 2022 02:24Huku mzozo wa kiuchumi wa serikali ya Ankara na changamoto za kifedha zikizidi kuongezeka, matatizo ya maisha ya watu wa Uturuki hatimaye yameipelekea serikali ya Recep Tayyip Erdogan kwa mara nyingine tena kushirikiana na utawala haramu wa Israel, Marekani, Misri na tawala nyingine vibaraka za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.
-
Mamia ya Waethiopia warudishwa kwao kutoka Saudia baada ya mateso makubwa
Mar 31, 2022 10:58Mamia ya raia wa Ethiopia jana Jumatano waliwasili Addis Ababa mji mkuu wa nchi hiyo, hilo likiwa kundi la kwanza la raia wapatao 100,000 kurejeshwa nyumbani wakitokea Saudi Arabia.