Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mapendekezo ya Amnesty International kwa Riyadh kuhusu haki za binadamu

    Mapendekezo ya Amnesty International kwa Riyadh kuhusu haki za binadamu

    Jul 11, 2022 08:21

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu lisilo la kiserikali la (Amnesty International) limetaka kusainiwa waraka ambao unamtaka Mfalme wa Salman wa Saudi Arabia aondoe marufuku ya kiholela dhidi ya safari ya wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu nchini humo.

  • Saudia inakaribia kuwanyonga vijana watano raia wa nchi hiyo

    Saudia inakaribia kuwanyonga vijana watano raia wa nchi hiyo

    Jul 04, 2022 03:32

    Utawala wa Aal Saud unaendelea kutekeleza vitendo vyake viovu na vilivyo kinyume cha sheria kwa kuwafunga jela raia kinyume cha sheria kutokana na umri wao mdogo, kwa tuhuma zisizo na msingi.

  • Iran yakamilisha oparesheni ya kuwatuma waumini kwenda Hija

    Iran yakamilisha oparesheni ya kuwatuma waumini kwenda Hija

    Jul 03, 2022 09:24

    Mkuu wa oparesheni ya kuwabeba Wairani wanaoenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu amesema oparesheni hiyo inakamilika usiku wa leo.

  • Njama mpya za Marekani na Saudi Arabia nchini Syria

    Njama mpya za Marekani na Saudi Arabia nchini Syria

    Jun 26, 2022 02:32

    Baadhi ya vyanzo vya habari vimeripoti kuwa Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha jitihada za pamoja za kuunda upya kikosi kinachojulikana kwa jina la Jaish Maghawir al-Thawra (Jeshi la Makomando wa Mapinduzi) katika kituo cha Al-Tanf kinachosimamiwa na Marekani kilichoko kwenye mpaka wa Jordan, Syrian na Iraq.

  • Iran yatuma ujumbe wa watu sita katika ubalozi wake mdogo nchini Saudia

    Iran yatuma ujumbe wa watu sita katika ubalozi wake mdogo nchini Saudia

    May 31, 2022 07:38

    Iran imetuma wajumbe wake sita wa ubalozi mdogo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kwenda kutoa huduma kwa raia wa Iran wakati wa ibada za Hija mwaka huu.

  • Jeshi la Yemen latungua droni ya ujasusi yenye silaha ya Saudia

    Jeshi la Yemen latungua droni ya ujasusi yenye silaha ya Saudia

    May 04, 2022 07:56

    Msemaji wa jeshi la Yemen amesema kuwa jeshi hilo limeitungua droni ya ujasusi yenye slaha ya Saudi Arabia katika anga ya mkoa wa Hajjah huko Yemen.

  • Wasiwasi wa Shirika la Haki za Wahamiaji kuhusu hali ya wafanyakazi wa kigeni katika magereza ya Saudi Arabia

    Wasiwasi wa Shirika la Haki za Wahamiaji kuhusu hali ya wafanyakazi wa kigeni katika magereza ya Saudi Arabia

    May 02, 2022 04:09

    Shirika la Haki za Wahamiaji limeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kusikitisha ya wafanyakazi wa kigeni wanaozuiliwa katika magereza ya Saudia.

  • Wademokrati wataka kuangaliwa upya uhusiano wa Marekani na Saudi Arabia

    Wademokrati wataka kuangaliwa upya uhusiano wa Marekani na Saudi Arabia

    Apr 14, 2022 07:54

    Wademokrati wa Kongresi ya Marekani wanasema, kuiunga mkono Saudi Arabia ni "kinyume" na maslahi ya Marekani.

  • Kukabidhiwa Saudi Arabia faili la mauaji ya kigaidi ya Khashoggi

    Kukabidhiwa Saudi Arabia faili la mauaji ya kigaidi ya Khashoggi

    Apr 09, 2022 02:24

    Huku mzozo wa kiuchumi wa serikali ya Ankara na changamoto za kifedha zikizidi kuongezeka, matatizo ya maisha ya watu wa Uturuki hatimaye yameipelekea serikali ya Recep Tayyip Erdogan kwa mara nyingine tena kushirikiana na utawala haramu wa Israel, Marekani, Misri na tawala nyingine vibaraka za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.

  • Mamia ya Waethiopia warudishwa kwao kutoka Saudia baada ya mateso makubwa

    Mamia ya Waethiopia warudishwa kwao kutoka Saudia baada ya mateso makubwa

    Mar 31, 2022 10:58

    Mamia ya raia wa Ethiopia jana Jumatano waliwasili Addis Ababa mji mkuu wa nchi hiyo, hilo likiwa kundi la kwanza la raia wapatao 100,000 kurejeshwa nyumbani wakitokea Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS