Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Rais wa Senegal amtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo 'ajifute kazi'

    Rais wa Senegal amtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo 'ajifute kazi'

    Apr 07, 2019 07:05

    Rais wa Senegal, Macky Sall ambaye alishinda muhula wa pili katika uchaguzi wa hivi karibuni amemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuzindua mageuzi ya uongozi, yanayojumuisha kufuta wadhifa wa Uwaziri Mkuu.

  • Macky Sall ashinda tena kiti cha urais Senegal kwa kupata asilimia 58 ya kura

    Macky Sall ashinda tena kiti cha urais Senegal kwa kupata asilimia 58 ya kura

    Feb 28, 2019 16:02

    Rais Macky Sall wa Senegal ameshinda tena kiti cha urais kwa kuibuka na ushindi wa asilimia 58 ya kura zilizopigwa katika uchaguzi wa Jumapili iliyopita. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya muda yaliyotangazwa leo na Tume ya Uchaguzi ya Senegal.

  • Kambi ya Rais wa Senegal: Macky Sall ameshinda Urais; upinzani wadai uchaguzi utaingia duru ya pili

    Kambi ya Rais wa Senegal: Macky Sall ameshinda Urais; upinzani wadai uchaguzi utaingia duru ya pili

    Feb 25, 2019 15:49

    Kambi ya Rais wa sasa wa Senegal Macky Sall imetangaza kuwa, mgombea wake ameibuka mshindi kufuatia uchaguzi uliofanyika jana.

  • Wasenegal wapiga kura, Sall atazamiwa kushinda muhula wa pili wa rais

    Wasenegal wapiga kura, Sall atazamiwa kushinda muhula wa pili wa rais

    Feb 24, 2019 14:32

    Rais wa Senegal, Macky Sall anatazamiwa kushinda muhula wa pili wa kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa leo, baada ya shakhsia wawili mashuhuri wa upinzani wa nchi hiyo kuzuiwa kushiriki kwenye uchaguzi huo kwa tuhuma za ufisadi.

  • Wagombea watano kuchuana katika uchaguzi wa Rais wa Senegal

    Wagombea watano kuchuana katika uchaguzi wa Rais wa Senegal

    Feb 20, 2019 14:18

    Senegal ambayo inatajwa kuwa nchi yenye demokrasia iliyoimarika zaidi magharibi mwa Afrika inajianda kwa ajili ya uchaguzi wa rais Jumapili ijayo huku rais wa sasa wa nchi hiyo Macky Sally akitazamia kuchuana kwenye kinyang'anyiro hicho na wagombea wengine wanne.

  • Serikali ya Afrika Kusini yalia na madola ya  Magharibi baada ya Rais Ramaphosa kutakiwa atokomeze rushwa

    Serikali ya Afrika Kusini yalia na madola ya Magharibi baada ya Rais Ramaphosa kutakiwa atokomeze rushwa

    Feb 04, 2019 04:38

    Serikali ya Afrika Kusini imeelezea kusikitishwa kwake baada ya Marekani na balozi nyingine za Ulaya kumuandikia barua Rais Cyril Ramaphosa zikimtaka achukue hatua zaidi za kupambana na rushwa na kuimarisha mazingira mazuri ya biashara kwa wawekezaji.

  • Benki ya Maendeleo ya Afrika yaipa Senegal msaada wa dola milioni 200

    Benki ya Maendeleo ya Afrika yaipa Senegal msaada wa dola milioni 200

    Oct 03, 2018 13:46

    Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeipa Senegal msaada wa zaidi ya dola milioni mia mbili za Kimarekani.

  • Iran na Senegal kuimarisha ushirikiano wao katika uga wa sayansi

    Iran na Senegal kuimarisha ushirikiano wao katika uga wa sayansi

    Jun 17, 2018 14:40

    Jamhuri ya Kiislamu na Iran na Senegal zimeazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyuga mbalimbali na hususan ushirikiano wao katika uga wa sayansi.

  • Tahadhari yatolewa kuhusu hatari ya kujipenyeza zaidi Wazayuni barani Afrika

    Tahadhari yatolewa kuhusu hatari ya kujipenyeza zaidi Wazayuni barani Afrika

    May 24, 2018 07:36

    Waziri wa zamani wa masuala ya kidini wa Senegal ametahadharisha kuhusu hatari ya kuzidi kujipenyeza Wazayuni barani Afrika.

  • Zarif awasili Brazil baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Senegal

    Zarif awasili Brazil baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Senegal

    Apr 10, 2018 07:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Brazil mapema leo Jumanne katika safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi kadha za Afrika na Amerika ya Latini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS