-
Iran na Senegal zaazimia kuimarisha uhusiano baina yao
Apr 10, 2018 02:50Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Senegal zimesisitiza juu ya azma ziliyonayo ya kuimarisha zaidi ushirikiano baina yao zikiwa nchi mbili wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC.
-
Zarif asisitiza kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Iran na Senegal
Apr 09, 2018 07:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria nyanja za ushirikiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Senegal na kusisitizia kuimarishwa na kustawishwa uhusiano wa pande mbili hizo.
-
Kiongozi wa upinzani Senegal ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela
Mar 30, 2018 15:00Mahakama moja nchini Senegal imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Khalifa Sall, kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.
-
Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo
Mar 11, 2018 07:17Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika pamoja na raia wengi wa Italia wameandamana katika mji wa Florence kaskazini mwa Italia kupinga vitendo vya ubaguzi wa rangi nchini humo.
-
Mkutano wa Senegal wahimiza kushirikishwa Waislamu wote katika masuala ya Hija
Feb 26, 2018 07:29Mkutano wa kimataifa wa Senegal umehimiza kushirikishwa nchi zote za Kiislamu katika usimamiaji wa amali ya Hija.
-
Senegal yapongeza uungaji mkono wa Iran kwa Waislamu duniani
Jan 27, 2018 07:55Balozi wa Senegal nchini Iran amepongeza uungaji mkono na mchango wa Jamhuri ya Kiislamu kwa Waislamu kote duniani.
-
Rais wa Iran alaani matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya watu wa Afrika
Jan 16, 2018 14:33Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali maneno ya matusi ambayo Rais Donald Trump wa Marekani aliyatumia dhidi ya mataifa ya Afrika.
-
Jeshi: Vijana 13 wauawa kwa kufyatuliwa risasi kusini mwa Senegal
Jan 07, 2018 07:56Jeshi la Senegal limetangaza habari ya kuuawa vijana 13 kwa kufyatuliwa risasi na genge la wabeba silaha, kusini mwa nchi.
-
Senegal yasisitiza kuunga mkono kikosi cha pamoja cha nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika
Oct 14, 2017 15:26Rais Macky Sall wa Senegal amesisitiza juu ya msimamo wa nchi yake wa kuunga mkono kikosi cha pamoja cha nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika.
-
Gambia na Senegal kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi
Aug 23, 2017 04:20Mawaziri wa Mambo ya Ndani wa nchi za Senegal na Gambia wametilia mkazo umuhimu wa kushirikiana nchi zao katika vita dhidi ya ugaidi.