-
HAMAS: Kuwa na silaha ni haki ya kisheria ya Muqawama na kuachana nazo ni jambo lisilowezekana
Feb 25, 2025 09:46Hazem Qassem, msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ameashiria matamshi yaliyonasibishwa na kiongozi mwandamizi wa harakati hiyo Musa Abu Marzouk na kusisitiza kwamba: "Hamas inaendelea kutumia silaha za Muqawama kama haki halali na ya kisheria na haitalegeza msimamo juu ya suala hilo".
-
Waziri Mkuu wa Italia: EU isichukue msimamo unaogongana na wa Marekani katika kadhia ya Ukraine
Feb 18, 2025 13:41Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni amesema, Umoja wa Ulaya haupaswi kuchukua msimamo ambao utakinzana na sera ya Marekani kuhusu Ukraine. Hayo ni kwa mujibu wa shirika rasmi la habari la Italia ANSA.
-
Malalamiko ya taasisi 75 za Marekani dhidi ya kupewa silaha utawala wa Kizayuni
Jul 28, 2024 10:01Taasisi na mashirika 75 ya Marekani yametaka kusitishwa mara moja kutumwa silaha za nchi hiyo kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS: Kauli ya Marekani ni uongo mtupu, Wapalestina Ghaza wanauawa kwa silaha zake
Jul 26, 2024 12:59Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: "Madai ya Washington kwamba inatiwa wasiwasi na hali ya kibinadamu na inasikitishwa na machungu na mateso wanayopata watu wa Ghaza ni uongo wa Kimarekani".
-
Watu 6 wauawa katika ufyatuaji risasi Las Vegas, Marekani
Jun 26, 2024 07:12Takriban watu 6 wameuawa kwa kupigwa risasi huko Las Vegas, Nevada, huko Marekani akiwemo mshukiwa.
-
Mamia ya mashirika na taasisi za kutetea haki za binadamu zataka kusitishwa uuzaji silaha kwa Israel
Apr 13, 2024 02:45Zaidi ya mashirika na taasisi 250 za kutetea haki za binadamu kutoka nchi tofauti za dunia zimetoa wito wa kusimamisha upelekaji silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Marekani yafanya kimya kimya mauzo 100 ya silaha kwa Israel
Mar 08, 2024 03:40Ripoti mpya imefichua kuwa, Marekani imeidhinisha kimya kimya mauzo 100 ya silaha kwa Israel tangu utawala huo wa Kizayuni uanzishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza Oktoba 7, 2023.
-
Waingereza waitaka London iache kuipa silaha Israel
Feb 28, 2024 06:48Wanaharakati wa haki nchini Uingereza wamefanya maandamano makubwa ya kuitaka serikali ya nchi hiyo isitishe mauzo ya silaha kwa utawala haramu wa Israel.
-
OIC yaziomba nchi zote duniani zisiuuzie silaha utawala wa Kizayuni wa Israel
Feb 27, 2024 11:20Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) amezitaka nchi zote duniani kuacha kutuma silaha na zana za kijeshi kwa utawala unaofanya mauaji ya kimbari wa Israel.
-
Mashirika ya kiraia Uhispania yataka kusitishwa biashara ya silaha na Israel
Dec 21, 2023 11:23Wanaharakati kutoka mamia ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) nchini Uhispania wamefanya maandamano na kukusanyika nje ya Bunge la nchi hiyo wakiitaka serikali yao isimamishe bishara ya silaha na utawala haramu wa Israel.