Apr 14, 2022 09:53
Vurugu zinazotokana na uhuru wa kubeba silaha na mauaji ya kikatili zinaendelea nchini Marekani, ambapo hivi karibuni watu 29 walijeruhiwa kwa risasi, baadhi yao wakiwa katika hali mbaya, zilizofyatuliwa Jumanne asubuhi katika kituo cha njia ya treni ya chini kwa chini huko Brooklyn mjini New York.