Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Marekani yakiri: Ni kweli tumeua raia katika shambulizi la anga Somalia

    Marekani yakiri: Ni kweli tumeua raia katika shambulizi la anga Somalia

    Apr 28, 2020 02:49

    Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika AFRICOM imekiri kuwa raia wawili wa Somalia waliuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika hujuma yake ya anga mapema mwaka jana.

  • Corona yaua mtu mmoja Somalia, Ethiopia yatangaza hali ya hatari

    Corona yaua mtu mmoja Somalia, Ethiopia yatangaza hali ya hatari

    Apr 09, 2020 03:52

    Somalia jana Jumatano iliripoti kifo cha kwanza cha mgonjwa wa virusi vya corona, huku idadi ya walioambukizwa ugonjwa huo wa Covid-19 nchini humo ikiongezeka.

  • Ripoti: Mapigano ya kikoo yameua watu 70 Somalia

    Ripoti: Mapigano ya kikoo yameua watu 70 Somalia

    Apr 07, 2020 03:18

    Kwa akali watu 70 wameuawa katika mizozo na mapigano ya kikoo nchini Somalia tokea Disemba mwaka jana 2019 hadi sasa.

  • Kenya, Somalia zawaachilia huru wafungwa ili kuzuia kuenea corona

    Kenya, Somalia zawaachilia huru wafungwa ili kuzuia kuenea corona

    Apr 03, 2020 02:22

    Kenya na Somalia zimetangaza kuwaachilia huru wafungwa wa makosa madogo madogo ikiwa ni katika jitihada za kupunguza msongamano katika magereza katika kipindi hiki cha kuenea ugonjwa hatari wa corona au COVID-19.

  • Marekani yaendelea kuua raia katika mashambulizi yake ya anga Somalia

    Marekani yaendelea kuua raia katika mashambulizi yake ya anga Somalia

    Apr 01, 2020 21:53

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema jeshi la Marekani linaendelea kuua raia wasio na hatia katika mashambulizi yake ya anga nchini Somalia.

  • Al Shabab yatangaza kuhusika na shambulio lililoua mtu mmoja na kujeruhi wanne Somalia

    Al Shabab yatangaza kuhusika na shambulio lililoua mtu mmoja na kujeruhi wanne Somalia

    Mar 30, 2020 06:47

    Genge la kigaidi na ukufurishaji la al Shabab limetangaza kuhusika na shambulio lililopelekea mtu mmoja kuuawa na wengine wanne kujeruhiwa jana Jumapili. Gavana wa eneo moja ni miongoni mwa waliojeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi.

  • Jeshi la Somalia lawaua magaidi 142 wa kundi la Al-Shabab, lakomboa Janale

    Jeshi la Somalia lawaua magaidi 142 wa kundi la Al-Shabab, lakomboa Janale

    Mar 30, 2020 03:40

    Jeshi la Somalia (SNA) limetangaza kuwa limewaua magaidi wakufurishaji wapatao142 wa kundi la al-Shabaab, kuwajeruhi 29 na wengine 18 wamekamatwa kwenye operesheni iliyofanyika katika mji wa Janale, kusini mwa Somalia.

  • Al-Shabaab waibuka na jipya, wadai askari wa AU wanaeneza Corona Somalia

    Al-Shabaab waibuka na jipya, wadai askari wa AU wanaeneza Corona Somalia

    Mar 29, 2020 03:37

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia limekataa mwito wa kusitisha vita wakati huu wa kukabiliana na janga la Covid-19, huku likiwalaumu askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom) kwa kueneza virusi vya Corona.

  • Jeshi la Somalia laua magaidi 12 wa al-Shabaab kusini mwa Somalia

    Jeshi la Somalia laua magaidi 12 wa al-Shabaab kusini mwa Somalia

    Mar 27, 2020 03:30

    Wanachama 12 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Bay, kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kundi la al-Shabaab laendelea kupata pigo nchini Somalia

    Kundi la al-Shabaab laendelea kupata pigo nchini Somalia

    Mar 17, 2020 04:29

    Jeshi la Somalia likishirikiana na askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom) limefanikiwa kuukomboa mji wa kistrataji wa Janale ulioko kwenye eneo la Lower Shabelle, kusini mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS