-
Marekani yakiri: Ni kweli tumeua raia katika shambulizi la anga Somalia
Apr 28, 2020 02:49Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika AFRICOM imekiri kuwa raia wawili wa Somalia waliuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika hujuma yake ya anga mapema mwaka jana.
-
Corona yaua mtu mmoja Somalia, Ethiopia yatangaza hali ya hatari
Apr 09, 2020 03:52Somalia jana Jumatano iliripoti kifo cha kwanza cha mgonjwa wa virusi vya corona, huku idadi ya walioambukizwa ugonjwa huo wa Covid-19 nchini humo ikiongezeka.
-
Ripoti: Mapigano ya kikoo yameua watu 70 Somalia
Apr 07, 2020 03:18Kwa akali watu 70 wameuawa katika mizozo na mapigano ya kikoo nchini Somalia tokea Disemba mwaka jana 2019 hadi sasa.
-
Kenya, Somalia zawaachilia huru wafungwa ili kuzuia kuenea corona
Apr 03, 2020 02:22Kenya na Somalia zimetangaza kuwaachilia huru wafungwa wa makosa madogo madogo ikiwa ni katika jitihada za kupunguza msongamano katika magereza katika kipindi hiki cha kuenea ugonjwa hatari wa corona au COVID-19.
-
Marekani yaendelea kuua raia katika mashambulizi yake ya anga Somalia
Apr 01, 2020 21:53Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema jeshi la Marekani linaendelea kuua raia wasio na hatia katika mashambulizi yake ya anga nchini Somalia.
-
Al Shabab yatangaza kuhusika na shambulio lililoua mtu mmoja na kujeruhi wanne Somalia
Mar 30, 2020 06:47Genge la kigaidi na ukufurishaji la al Shabab limetangaza kuhusika na shambulio lililopelekea mtu mmoja kuuawa na wengine wanne kujeruhiwa jana Jumapili. Gavana wa eneo moja ni miongoni mwa waliojeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi.
-
Jeshi la Somalia lawaua magaidi 142 wa kundi la Al-Shabab, lakomboa Janale
Mar 30, 2020 03:40Jeshi la Somalia (SNA) limetangaza kuwa limewaua magaidi wakufurishaji wapatao142 wa kundi la al-Shabaab, kuwajeruhi 29 na wengine 18 wamekamatwa kwenye operesheni iliyofanyika katika mji wa Janale, kusini mwa Somalia.
-
Al-Shabaab waibuka na jipya, wadai askari wa AU wanaeneza Corona Somalia
Mar 29, 2020 03:37Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia limekataa mwito wa kusitisha vita wakati huu wa kukabiliana na janga la Covid-19, huku likiwalaumu askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom) kwa kueneza virusi vya Corona.
-
Jeshi la Somalia laua magaidi 12 wa al-Shabaab kusini mwa Somalia
Mar 27, 2020 03:30Wanachama 12 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Bay, kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Kundi la al-Shabaab laendelea kupata pigo nchini Somalia
Mar 17, 2020 04:29Jeshi la Somalia likishirikiana na askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom) limefanikiwa kuukomboa mji wa kistrataji wa Janale ulioko kwenye eneo la Lower Shabelle, kusini mwa Somalia.