Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia na Somalia

    Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia na Somalia

    Feb 29, 2020 10:02

    Watu wasiopungua 12 wameuawa katika mapigano mapya ya kikabila katika jimbo la Gambella, magharibi mwa Ethiopia.

  • Jeshi la Somalia lapambana na wanamgambo wa Ahlu Sunnah Wal Jama’a (ASWJ)

    Jeshi la Somalia lapambana na wanamgambo wa Ahlu Sunnah Wal Jama’a (ASWJ)

    Feb 28, 2020 09:39

    Jeshi la Somalia mapema leo Ijumaa limepambana na wanamgambo wa kundi moja la kikanda katika kile kinachotajwa na Wasomali kuwa ni mapigano makali zaidi baada ya misuguano ya kisiasa inayoendelea kuikwamisha nchi hiyo katika dimbwi la ghasia na machafuko.

  • Umoja wa Mataifa wawataka viongozi wa Somalia washirikiane

    Umoja wa Mataifa wawataka viongozi wa Somalia washirikiane

    Feb 25, 2020 04:21

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia ametoa mwito kwa viongozi wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kufanya kazi bega kwa bega na kuwa na ushirikiano wa karibu kwa lengo la kuhakikisha kuwa amani na uthabiti vinarejea nchini humo.

  • Magaidi wa Al Shabab washambulia vituo viwili vya kijeshi Somalia

    Magaidi wa Al Shabab washambulia vituo viwili vya kijeshi Somalia

    Feb 20, 2020 09:39

    Magaidi wa kundi la Al Shabab wametekeleza mashambulizi dhidi ya vituo viwli vya Jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle na kuua askari wasiopungua wanne.

  • Amnesty yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya waandishi wa habari nchini Somalia

    Amnesty yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya waandishi wa habari nchini Somalia

    Feb 15, 2020 23:23

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa anga ya machafuko na ukatili inayotawala nchini Somalia inawafanya waandishi habari waishi katika hali ya woga na wahka.

  • Ripoti: Makumi waliuawa mwaka jana katika hujuma za al-Shabaab Kenya

    Ripoti: Makumi waliuawa mwaka jana katika hujuma za al-Shabaab Kenya

    Feb 07, 2020 23:27

    Uchunguzi uliofanywa na Taasisi ya Haki za Binadamu na Sera umebainisha kuwa, watu wasiopungua 83 waliuawa nchini Kenya mwaka uliopita wa 2019 katika mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye makao makuu yake katika nchi jirani ya Somalia.

  • Shambulio la nzige Afrika, Somalia yatangaza janga la taifa

    Shambulio la nzige Afrika, Somalia yatangaza janga la taifa

    Feb 02, 2020 23:37

    Somalia imekuwa nchi ya kwanza ya Pembe ya Afrika kutangaza kuwa, wimbi la nzige waliovamia nchi hiyo ni janga na kwamba kupambana na janga hilo ni jambo la dharura kitaifa.

  • UN: Somalia inahitaji msaada wa kibinadamu wa dola bilioni moja mwaka 2020

    UN: Somalia inahitaji msaada wa kibinadamu wa dola bilioni moja mwaka 2020

    Jan 23, 2020 08:15

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, Somalia inahitaji msaada wa zaidi ya dola bilioni moja kwa ajili ya huduma za kibinadamu katika mwaka wa 2020.

  • Shambulizi la bomu laua na kujeruhi watu 14 nchini Somalia

    Shambulizi la bomu laua na kujeruhi watu 14 nchini Somalia

    Jan 19, 2020 04:33

    Mripuko wa bomu uliolenga wafanyakazi wa mradi wa ujenzi wa Kituruki nchini Somalia umeua watu watatu na kujeruhi wengine 11.

  • Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al-Shabaab karibu na Mogadishu

    Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al-Shabaab karibu na Mogadishu

    Jan 18, 2020 04:40

    Vikosi vya jeshi la Somalia vimefanikiwa kuzima shambulizi la usiku wa kuamkia leo la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS