-
Virusi vya Corona vyaendelea kusambaa kwa kasi barani Afrika
Mar 17, 2020 04:27Somalia, Benin na Liberia ni nchi za hivi karibuni kabisa kuripoti kesi za ugonjwa wa Corona (Covid-19) barani Afrika, huku virusi hivyo vikiendelea kusambaa kwa kasi katika nchi za bara hilo.
-
Shambulio la anga la Marekani laua watu 6 nchini Somalia
Mar 12, 2020 04:28Watu sita wasio na hatia wameuawa nchini Somalia baada ya basi lao kushambuliwa na ndege zisizo na rubani (drone) za Marekani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika iliyoathiriwa vibaya na vita.
-
Meneja wa kampuni kubwa Somalia auawa katika shambulio la droni la Marekani
Mar 01, 2020 08:34Meneja wa shirika kubwa zaidi la mawasiliano nchini Somalia ameuawa katika shambulio la droni (ndege zisizo na rubani) za Marekani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Marekani na al-Shabaab zalaumiana kuhusu mauaji ya raia Somalia
Mar 01, 2020 04:44Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limesema zaidi ya asilimia 80 ya mashambulizi ya anga yanayofanywa na Marekani nchini Somalia yanalenga raia wasio na hatia.
-
Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia na Somalia
Feb 29, 2020 10:02Watu wasiopungua 12 wameuawa katika mapigano mapya ya kikabila katika jimbo la Gambella, magharibi mwa Ethiopia.
-
Jeshi la Somalia lapambana na wanamgambo wa Ahlu Sunnah Wal Jama’a (ASWJ)
Feb 28, 2020 09:39Jeshi la Somalia mapema leo Ijumaa limepambana na wanamgambo wa kundi moja la kikanda katika kile kinachotajwa na Wasomali kuwa ni mapigano makali zaidi baada ya misuguano ya kisiasa inayoendelea kuikwamisha nchi hiyo katika dimbwi la ghasia na machafuko.
-
Umoja wa Mataifa wawataka viongozi wa Somalia washirikiane
Feb 25, 2020 04:21Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia ametoa mwito kwa viongozi wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kufanya kazi bega kwa bega na kuwa na ushirikiano wa karibu kwa lengo la kuhakikisha kuwa amani na uthabiti vinarejea nchini humo.
-
Magaidi wa Al Shabab washambulia vituo viwili vya kijeshi Somalia
Feb 20, 2020 09:39Magaidi wa kundi la Al Shabab wametekeleza mashambulizi dhidi ya vituo viwli vya Jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle na kuua askari wasiopungua wanne.
-
Amnesty yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya waandishi wa habari nchini Somalia
Feb 15, 2020 23:23Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa anga ya machafuko na ukatili inayotawala nchini Somalia inawafanya waandishi habari waishi katika hali ya woga na wahka.
-
Ripoti: Makumi waliuawa mwaka jana katika hujuma za al-Shabaab Kenya
Feb 07, 2020 23:27Uchunguzi uliofanywa na Taasisi ya Haki za Binadamu na Sera umebainisha kuwa, watu wasiopungua 83 waliuawa nchini Kenya mwaka uliopita wa 2019 katika mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye makao makuu yake katika nchi jirani ya Somalia.