-
Shambulio la nzige Afrika, Somalia yatangaza janga la taifa
Feb 02, 2020 23:37Somalia imekuwa nchi ya kwanza ya Pembe ya Afrika kutangaza kuwa, wimbi la nzige waliovamia nchi hiyo ni janga na kwamba kupambana na janga hilo ni jambo la dharura kitaifa.
-
UN: Somalia inahitaji msaada wa kibinadamu wa dola bilioni moja mwaka 2020
Jan 23, 2020 08:15Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, Somalia inahitaji msaada wa zaidi ya dola bilioni moja kwa ajili ya huduma za kibinadamu katika mwaka wa 2020.
-
Shambulizi la bomu laua na kujeruhi watu 14 nchini Somalia
Jan 19, 2020 04:33Mripuko wa bomu uliolenga wafanyakazi wa mradi wa ujenzi wa Kituruki nchini Somalia umeua watu watatu na kujeruhi wengine 11.
-
Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al-Shabaab karibu na Mogadishu
Jan 18, 2020 04:40Vikosi vya jeshi la Somalia vimefanikiwa kuzima shambulizi la usiku wa kuamkia leo la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Ripoti: Waislamu, wahanga wakuu wa mashambulio ya al-Shabaab
Jan 17, 2020 04:06Uchunguzi uliofanywa na shirika moja lisilo la kiserikali umefichua kuwa, Waislamu ndio wahanga wakuu wa mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia, licha ya genge hilo kudai kuwa haliwalengi Waislamu na Wasomali katika hujuma zao.
-
UN: Mazungumzo ya amani Somalia ni ishara nzuri
Jan 09, 2020 21:05Mwakilishi maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ambaye pia ni mkuu wa mpango wa umoja huo nchini humo UNSOM jana aliliutembelea mji wa Hargesa, makao makuu ya eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland nchini Somalia na kukutana na viongozi wa eneo hilo kujadili uchaguzi na maendeleo.
-
Magaidi 33 wa kundi la al-Shabab waangamizwa nchini Somalia
Jan 04, 2020 10:04Wanamgambo wasiopungua 33 wa kundi la kigaidi la al-Shabab wameangamizwa katika operesheni mbili tofauti za jeshi kusini magharibi mwa Somalia.
-
Al-Qaeda yakiri kuhusika na shambulizi la bomu lililoua 90 Somalia
Dec 31, 2019 04:08Kundi la kigaidi la al-Shabaab lililojitangaza kuwa ni sehemu ya mtandao wa kigaidi wa al-Qaida limekiri kuhusika na shambulizi la bomu lililotokea mwishoni mwa wiki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.
-
Baraza la Usalama la UN lalaani mripuko wa Mogadishu, Somalia
Dec 30, 2019 23:15Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani mripuko wa kigaidi uliotokea katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.
-
Makumi wauawa katika mapigano ya kudhibiti kambi ya jeshi Somalia
Dec 24, 2019 08:40Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya askari wa Jeshi la Taifa la Somalia na wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na mji wa Baidoa, kusini magharibi mwa Somalia.