Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Ripoti: Waislamu, wahanga wakuu wa mashambulio ya al-Shabaab

    Ripoti: Waislamu, wahanga wakuu wa mashambulio ya al-Shabaab

    Jan 17, 2020 04:06

    Uchunguzi uliofanywa na shirika moja lisilo la kiserikali umefichua kuwa, Waislamu ndio wahanga wakuu wa mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia, licha ya genge hilo kudai kuwa haliwalengi Waislamu na Wasomali katika hujuma zao.

  • UN: Mazungumzo ya amani Somalia ni ishara nzuri

    UN: Mazungumzo ya amani Somalia ni ishara nzuri

    Jan 09, 2020 21:05

    Mwakilishi maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ambaye pia ni mkuu wa mpango wa umoja huo nchini humo UNSOM jana aliliutembelea mji wa Hargesa, makao makuu ya eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland nchini Somalia na kukutana na viongozi wa eneo hilo kujadili uchaguzi na maendeleo.

  • Magaidi 33 wa kundi la al-Shabab waangamizwa nchini Somalia

    Magaidi 33 wa kundi la al-Shabab waangamizwa nchini Somalia

    Jan 04, 2020 10:04

    Wanamgambo wasiopungua 33 wa kundi la kigaidi la al-Shabab wameangamizwa katika operesheni mbili tofauti za jeshi kusini magharibi mwa Somalia.

  • Al-Qaeda yakiri kuhusika na shambulizi la bomu lililoua 90 Somalia

    Al-Qaeda yakiri kuhusika na shambulizi la bomu lililoua 90 Somalia

    Dec 31, 2019 04:08

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lililojitangaza kuwa ni sehemu ya mtandao wa kigaidi wa al-Qaida limekiri kuhusika na shambulizi la bomu lililotokea mwishoni mwa wiki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

  • Baraza la Usalama la UN lalaani mripuko wa Mogadishu, Somalia

    Baraza la Usalama la UN lalaani mripuko wa Mogadishu, Somalia

    Dec 30, 2019 23:15

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani mripuko wa kigaidi uliotokea katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

  • Makumi wauawa katika mapigano ya kudhibiti kambi ya jeshi Somalia

    Makumi wauawa katika mapigano ya kudhibiti kambi ya jeshi Somalia

    Dec 24, 2019 08:40

    Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya askari wa Jeshi la Taifa la Somalia na wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na mji wa Baidoa, kusini magharibi mwa Somalia.

  • Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al Shabab dhidi ya Ikulu ya Rais mjini Mogadishu

    Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al Shabab dhidi ya Ikulu ya Rais mjini Mogadishu

    Dec 11, 2019 03:21

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wapiganaji 5 wa kundi la kigaidi la al Shabab waliojaribu kuingia na kuhujumu Ikulu ya Rais na hoteli moja iliyoko karibu na eneo hilo mjini Mogadishu.

  • Jubaland: Majeshi ya Ethiopia na Somalia yanataka kumpindua Rais Madobe

    Jubaland: Majeshi ya Ethiopia na Somalia yanataka kumpindua Rais Madobe

    Nov 17, 2019 04:16

    Serikali ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Jubaland, Kusini mwa Somalia imedai kuwa wanajeshi wa Ethiopia wanakula njama za kumpindua Rais Ahmed Madobe wa jimbo hilo.

  • OCHA: Mafuriko yameua watu 17 Somalia, 370,000 waachwa bila makazi

    OCHA: Mafuriko yameua watu 17 Somalia, 370,000 waachwa bila makazi

    Nov 06, 2019 21:44

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu wasiopungua 17 wameaga dunia baada ya kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Somalia.

  • UN yatuma misaada kufuatia maafa ya mafuriko nchini Somalia

    UN yatuma misaada kufuatia maafa ya mafuriko nchini Somalia

    Nov 03, 2019 09:12

    Umoja wa Mataifa umetuma misaada ya dharura nchini Somalia kufuatia mvua kubwa ambazo zimenyesha katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na kusababisha mafuriko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS