Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al Shabab dhidi ya Ikulu ya Rais mjini Mogadishu

    Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al Shabab dhidi ya Ikulu ya Rais mjini Mogadishu

    Dec 11, 2019 03:21

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wapiganaji 5 wa kundi la kigaidi la al Shabab waliojaribu kuingia na kuhujumu Ikulu ya Rais na hoteli moja iliyoko karibu na eneo hilo mjini Mogadishu.

  • Jubaland: Majeshi ya Ethiopia na Somalia yanataka kumpindua Rais Madobe

    Jubaland: Majeshi ya Ethiopia na Somalia yanataka kumpindua Rais Madobe

    Nov 17, 2019 04:16

    Serikali ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Jubaland, Kusini mwa Somalia imedai kuwa wanajeshi wa Ethiopia wanakula njama za kumpindua Rais Ahmed Madobe wa jimbo hilo.

  • OCHA: Mafuriko yameua watu 17 Somalia, 370,000 waachwa bila makazi

    OCHA: Mafuriko yameua watu 17 Somalia, 370,000 waachwa bila makazi

    Nov 06, 2019 21:44

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu wasiopungua 17 wameaga dunia baada ya kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Somalia.

  • UN yatuma misaada kufuatia maafa ya mafuriko nchini Somalia

    UN yatuma misaada kufuatia maafa ya mafuriko nchini Somalia

    Nov 03, 2019 09:12

    Umoja wa Mataifa umetuma misaada ya dharura nchini Somalia kufuatia mvua kubwa ambazo zimenyesha katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na kusababisha mafuriko.

  • UN: Nchi za Pembe ya Afrika zinahitaji misaada baada ya mafuriko

    UN: Nchi za Pembe ya Afrika zinahitaji misaada baada ya mafuriko

    Oct 30, 2019 08:12

    Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi ya nchi za Pembe ya Afrika katika miezi michache iliyopita zimesababisha mafuriko na mahitaji ya misaada ya kibinadamu hususan nchini Ethiopia, Sudan Kusini na Somalia.

  • Athari za mvua Somalia, watu 15 wahofiwa kufa maji katika ajali ya boti

    Athari za mvua Somalia, watu 15 wahofiwa kufa maji katika ajali ya boti

    Oct 29, 2019 04:25

    Kwa akali watu 15 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika mji wa Beledweyn katikati ya Somalia, huku athari za mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika zikiendelea kushuhudiwa.

  • Raia 3 wa Somalia 'watoweka' kufuatia shambulizi la anga la Marekani

    Raia 3 wa Somalia 'watoweka' kufuatia shambulizi la anga la Marekani

    Oct 26, 2019 08:27

    Kwa akali raia watatu wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege isiyo na rubani 'drone' ya Marekani katika eneo la Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.

  • Ripoti: Mabadiliko ya tabianchi yanakwamisha jitihada za kurejesha amani Somalia

    Ripoti: Mabadiliko ya tabianchi yanakwamisha jitihada za kurejesha amani Somalia

    Oct 23, 2019 23:19

    Ripoti mpya ya Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) inaonyesha kuwa, mabadiliko ya tabianchi yamedumaza jitihada za sasa na za baadaye za kurejesha amani na utulivu nchini Somalia.

  • Wanachama 20 wa kundi la ash-Shabab, wauawa nchini Somalia

    Wanachama 20 wa kundi la ash-Shabab, wauawa nchini Somalia

    Oct 19, 2019 23:05

    Maafisa wa serikali ya Somalia wametangaza habari ya kuuawa wanachama 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab katika shambulizi lililolilenga gari yao katikati mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 11 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia wakikusanya ushuru

    Magaidi 11 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia wakikusanya ushuru

    Oct 16, 2019 04:12

    Askari wa Jeshi la Taifa la Somalia wamefanikiwa kuwaangamiza wanachama 11 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika operesheni ya jana Jumanne kwenye eneo la Gedo, kusini mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS