-
UN: Nchi za Pembe ya Afrika zinahitaji misaada baada ya mafuriko
Oct 30, 2019 08:12Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi ya nchi za Pembe ya Afrika katika miezi michache iliyopita zimesababisha mafuriko na mahitaji ya misaada ya kibinadamu hususan nchini Ethiopia, Sudan Kusini na Somalia.
-
Athari za mvua Somalia, watu 15 wahofiwa kufa maji katika ajali ya boti
Oct 29, 2019 04:25Kwa akali watu 15 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika mji wa Beledweyn katikati ya Somalia, huku athari za mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika zikiendelea kushuhudiwa.
-
Raia 3 wa Somalia 'watoweka' kufuatia shambulizi la anga la Marekani
Oct 26, 2019 08:27Kwa akali raia watatu wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege isiyo na rubani 'drone' ya Marekani katika eneo la Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.
-
Ripoti: Mabadiliko ya tabianchi yanakwamisha jitihada za kurejesha amani Somalia
Oct 23, 2019 23:19Ripoti mpya ya Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) inaonyesha kuwa, mabadiliko ya tabianchi yamedumaza jitihada za sasa na za baadaye za kurejesha amani na utulivu nchini Somalia.
-
Wanachama 20 wa kundi la ash-Shabab, wauawa nchini Somalia
Oct 19, 2019 23:05Maafisa wa serikali ya Somalia wametangaza habari ya kuuawa wanachama 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab katika shambulizi lililolilenga gari yao katikati mwa nchi hiyo.
-
Magaidi 11 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia wakikusanya ushuru
Oct 16, 2019 04:12Askari wa Jeshi la Taifa la Somalia wamefanikiwa kuwaangamiza wanachama 11 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika operesheni ya jana Jumanne kwenye eneo la Gedo, kusini mwa nchi.
-
Al-Shabaab yateka mji wa kistratajia karibu na Mogadishu
Oct 15, 2019 23:25Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji wa kistratajia ulioko karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Al-Shabaab yadai kuua watu 6 katika shambulizi la bomu Mogadishu
Oct 14, 2019 04:28Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwa limeua watu sita katika shambulizi la bomu lililolenga ofisi kuu za Kikosi cha Pamoja cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) zilizoko mjini Mogadishu.
-
ICJ kuangalia upya ombi la Kenya juu ya mzozo wa mpaka wa bahari na Somalia
Oct 05, 2019 23:21Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) inatazamiwa wiki ijayo kuangalia upya ombi la Kenya la kutaka kuakhirishwa kwa muda wa mwaka mmoja kesi ya mzozo wa mpaka wa baharini baina ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki na Somalia.
-
Amnesty: Marekani inaua raia katika mashambulizi ya anga Somalia
Oct 01, 2019 04:34Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema jeshi la Marekani limeua raia wasio na hatia katika moja ya mashambulizi yake ya anga nchini Somalia.