Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kikao cha AU, UN kuhusu vita dhidi ya ugaidi Somalia

    Kikao cha AU, UN kuhusu vita dhidi ya ugaidi Somalia

    Sep 30, 2019 23:19

    Maafisa wa ngazi za juu wa Tume ya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM na Umoja wa Mataifa wamekutana Jumatatu mjini Mogadishu ili kubaini ramani ya njia ya kurefusha muda wa shughuli na operesheni za AMISOM kutoka mwaka 2019 hadi 2021.

  • Kituo cha jeshi cha Marekani na msafara wa askari wa Italia washambuliwa Somalia; Al Shabab latangaza kuhusika

    Kituo cha jeshi cha Marekani na msafara wa askari wa Italia washambuliwa Somalia; Al Shabab latangaza kuhusika

    Sep 30, 2019 10:03

    Mashambulio mawili tofauti yamelenga kituo cha jeshi cha Marekani kilichoko kwenye mji wa Baledogle na msafara wa askari wa Italia katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Magaidi 30 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Lower Shabelle

    Magaidi 30 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Lower Shabelle

    Sep 26, 2019 08:48

    Makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle, kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Wanachama wa al-Shabaab wakamatwa wakipanga mashambulizi Ethiopia

    Wanachama wa al-Shabaab wakamatwa wakipanga mashambulizi Ethiopia

    Sep 22, 2019 04:15

    Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wakila njama za kutekeleza mashambulizi katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Mateka Muirani aachiwa huru na maharamia wa Somalia

    Mateka Muirani aachiwa huru na maharamia wa Somalia

    Sep 22, 2019 04:11

    Raia wa Iran ambaye amekuwa akishikiliwa mateka na maharamia wa Somalia kwa miaka kadhaa sasa hatimaye ameachiwa huru.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la bomu Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la bomu Somalia

    Sep 19, 2019 09:11

    Watu watatu wamethibitishwa kupoteza maisha katika shambulizi la bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Rais wa Burundi akabiliwa na tuhuma za kukiuka haki za binadamu

    Rais wa Burundi akabiliwa na tuhuma za kukiuka haki za binadamu

    Sep 18, 2019 23:48

    Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi imetangaza kuwa, Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amekuwa akihusika katika vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo.

  • AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia

    AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia

    Sep 17, 2019 22:09

    Umoja wa Afrika umelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya askari wa kulinda amani wa Burundi waliokuwa wanahudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (Amisom).

  • Somalia yavunja majaribio mawili ya kutaka kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo

    Somalia yavunja majaribio mawili ya kutaka kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo

    Sep 15, 2019 07:57

    Waziri Mkuu wa Somalia ameokoka katika majaribio mawili ya kutaka kumuua, majaribio ambayo genge la kigaidi la al Shabab limetangaza kuhusika nayo.

  • Somaliland yasimamisha ujenzi wa kituo cha kijeshi cha Imarati

    Somaliland yasimamisha ujenzi wa kituo cha kijeshi cha Imarati

    Sep 15, 2019 03:13

    Serikali ya eneo lenye utawala wa ndani la Somaliland nchini Somalia limesimamisha ujenzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu wa kituo chake cha kijeshi katika bandari ya Berbera.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS