Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Rais wa Burundi akabiliwa na tuhuma za kukiuka haki za binadamu

    Rais wa Burundi akabiliwa na tuhuma za kukiuka haki za binadamu

    Sep 18, 2019 23:48

    Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi imetangaza kuwa, Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amekuwa akihusika katika vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo.

  • AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia

    AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia

    Sep 17, 2019 22:09

    Umoja wa Afrika umelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya askari wa kulinda amani wa Burundi waliokuwa wanahudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (Amisom).

  • Somalia yavunja majaribio mawili ya kutaka kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo

    Somalia yavunja majaribio mawili ya kutaka kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo

    Sep 15, 2019 07:57

    Waziri Mkuu wa Somalia ameokoka katika majaribio mawili ya kutaka kumuua, majaribio ambayo genge la kigaidi la al Shabab limetangaza kuhusika nayo.

  • Somaliland yasimamisha ujenzi wa kituo cha kijeshi cha Imarati

    Somaliland yasimamisha ujenzi wa kituo cha kijeshi cha Imarati

    Sep 15, 2019 03:13

    Serikali ya eneo lenye utawala wa ndani la Somaliland nchini Somalia limesimamisha ujenzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu wa kituo chake cha kijeshi katika bandari ya Berbera.

  • UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    Sep 13, 2019 22:38

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, zaidi ya Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa iwapo hawatapata misaada ya haraka wakati huu ambapo nchi za Pembe ya Afrika zinaposumbuliwa na ukame mkubwa ambao haujawahi kushuhudiwa eneo hilo tangu mwaka 2011.

  •  ICJ yaakhirisha kesi ya mzozo wa Kenya na Somalia kuhusu mpaka wa bahari

    ICJ yaakhirisha kesi ya mzozo wa Kenya na Somalia kuhusu mpaka wa bahari

    Sep 06, 2019 08:05

    Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeahirisha kwa muda wa miezi miwili kusikilizwa kesi ya mzozo wa mpaka wa baharini baina ya Somalia na Kenya.

  • Mavuno mabaya zaidi Somalia tangu 2011, watu milioni 6 wakabiliwa na njaa

    Mavuno mabaya zaidi Somalia tangu 2011, watu milioni 6 wakabiliwa na njaa

    Sep 05, 2019 00:05

    Mavuno ya nafaka nchini Somalia mwaka huu wa 2019 yamekuwa ni ya kiwango cha chini zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo tangu mwaka 2011, na hivyo kupelekea watu milioni 6.3 kuhitajia msaada wa dharura wa chakula.

  • Wanawake wa Somalia wahamasishwa kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa 2020/2021

    Wanawake wa Somalia wahamasishwa kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa 2020/2021

    Aug 31, 2019 22:13

    Watendaji wa vyombo vya habari vya Somalia na wanaharakati wa haki za binadamu wamekubaliana kufanya kampeni ya kuhamasisha umma juu ya ushiriki wa wanawake katika mchakato wa uchaguzi wa 2020/2021.

  • Al Shabab 18 wauawa nchini Somalia

    Al Shabab 18 wauawa nchini Somalia

    Aug 26, 2019 02:25

    Wanachama 18 wa kundi la kigaidi la al Shabab nchini Somalia wakiwemo makamanda wawili wa kundi hilo wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la nchi hiyo.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa kibinadamu Somalia

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa kibinadamu Somalia

    Aug 22, 2019 21:58

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia ameeleza wasiwasi wake kuhusiana na ongezeko la mgogoro wa kibinadamu katika nchi hiyo na Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS