-
Rais wa Burundi akabiliwa na tuhuma za kukiuka haki za binadamu
Sep 18, 2019 23:48Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi imetangaza kuwa, Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amekuwa akihusika katika vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo.
-
AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia
Sep 17, 2019 22:09Umoja wa Afrika umelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya askari wa kulinda amani wa Burundi waliokuwa wanahudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (Amisom).
-
Somalia yavunja majaribio mawili ya kutaka kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo
Sep 15, 2019 07:57Waziri Mkuu wa Somalia ameokoka katika majaribio mawili ya kutaka kumuua, majaribio ambayo genge la kigaidi la al Shabab limetangaza kuhusika nayo.
-
Somaliland yasimamisha ujenzi wa kituo cha kijeshi cha Imarati
Sep 15, 2019 03:13Serikali ya eneo lenye utawala wa ndani la Somaliland nchini Somalia limesimamisha ujenzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu wa kituo chake cha kijeshi katika bandari ya Berbera.
-
UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa
Sep 13, 2019 22:38Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, zaidi ya Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa iwapo hawatapata misaada ya haraka wakati huu ambapo nchi za Pembe ya Afrika zinaposumbuliwa na ukame mkubwa ambao haujawahi kushuhudiwa eneo hilo tangu mwaka 2011.
-
ICJ yaakhirisha kesi ya mzozo wa Kenya na Somalia kuhusu mpaka wa bahari
Sep 06, 2019 08:05Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeahirisha kwa muda wa miezi miwili kusikilizwa kesi ya mzozo wa mpaka wa baharini baina ya Somalia na Kenya.
-
Mavuno mabaya zaidi Somalia tangu 2011, watu milioni 6 wakabiliwa na njaa
Sep 05, 2019 00:05Mavuno ya nafaka nchini Somalia mwaka huu wa 2019 yamekuwa ni ya kiwango cha chini zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo tangu mwaka 2011, na hivyo kupelekea watu milioni 6.3 kuhitajia msaada wa dharura wa chakula.
-
Wanawake wa Somalia wahamasishwa kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa 2020/2021
Aug 31, 2019 22:13Watendaji wa vyombo vya habari vya Somalia na wanaharakati wa haki za binadamu wamekubaliana kufanya kampeni ya kuhamasisha umma juu ya ushiriki wa wanawake katika mchakato wa uchaguzi wa 2020/2021.
-
Al Shabab 18 wauawa nchini Somalia
Aug 26, 2019 02:25Wanachama 18 wa kundi la kigaidi la al Shabab nchini Somalia wakiwemo makamanda wawili wa kundi hilo wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la nchi hiyo.
-
UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa kibinadamu Somalia
Aug 22, 2019 21:58Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia ameeleza wasiwasi wake kuhusiana na ongezeko la mgogoro wa kibinadamu katika nchi hiyo na Kiafrika.