-
Kenya: Mgogoro wa mpaka wa baharini kati yetu na Somalia utatuliwe kwa mazungumzo
Jul 20, 2019 05:00Serikali ya Kenya inaendelea kusisitiza kuwa, nchi jirani ya Somalia inapaswa kuheshimu mamlaka ya ardhi ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki, huku Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ ikitazamiwa kutoa hukumu mwezi Septemba mwaka huu, juu ya mvutano wa mpaka wa baharini kati ya nchi mbili hizo.
-
Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab waangamizwa na jeshi la Somalia
Jul 15, 2019 03:18Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika operesheni ya jeshi hilo katika siku za hivi karibuni.
-
Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia
Jul 13, 2019 08:14Idadi ya watu waliouawa katika shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia imeongezeka na kufikia watu 26. Awali Polisi ya Kismayo iliripoti kuwa waliouawa katika hujuma hiyo ya kigaidi ni watu saba.
-
Watu saba wakiwemo waandishi wa habari wameuawa katika shambulio la al-Shabab Somalia
Jul 12, 2019 23:58Kwa akali watu saba wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia.
-
Hofu ya UN kuhusu kushtadi migogoro katika majimbo ya Somalia
Jul 09, 2019 03:52Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu kuongezeka migogoro na mivutano baina ya majimbo yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia kwa upande mmoja, na majimbo hayo na serikali kuu ya Mogadishu kwa upande mwingine.
-
Mogadishu yatahadharisha kuhusu kuingiliwa masuala ya ndani ya Somalia
Jul 07, 2019 03:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia ametahadharisha kuhusu uingiliaji wa baadhi ya nchi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kukitaja kitendo hicho kuwa ni kukiuka mamlaka ya kujitawala nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Somalia yakata uhusiano na Guinea, yaituhumu Conakry kuingilia masuala yake ya ndani
Jul 05, 2019 10:44Serikali ya Somalia imekata uhusiano wake wote wa kidiplomasia na Guinea Conakry na kuituhumu nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kuwa inaingilia masuala yake ya ndani.
-
Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA
Jul 04, 2019 09:07Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu watano wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.
-
Mjumbe mpya wa UN Somalia apongeza vikosi vya AMISOM
Jun 26, 2019 21:53Mjumbe mpya wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan amepongeza mchango uliotolewa na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kutokana na juhudi zinazoendelea kuituliza Somalia.
-
Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16
Jun 15, 2019 22:52Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limetangaza kuwa limehusika na miripuko ya mabomu iliyoua watu 16 hapo jana Jumamosi katika nchi za Kenya na Somalia.