Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jamii ya Kimataifa yataka uchaguzi Jubaland, Somalia uwe wa Amani

    Jamii ya Kimataifa yataka uchaguzi Jubaland, Somalia uwe wa Amani

    Aug 17, 2019 21:53

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetoa wito wa kufanyika uchaguzi wa amani na wa haki huko Jubaland, Kusini mwa Somalia, wakisema uchaguzi uliopangwa kufanyika Agosti 24 ni muhimu kwa utulivu katika nchi hiyo.

  • AU: Kupungua kwa maelewano ya kijamii ni chanzo cha hali mbaya ya kibinadamu Somalia

    AU: Kupungua kwa maelewano ya kijamii ni chanzo cha hali mbaya ya kibinadamu Somalia

    Aug 13, 2019 02:51

    Umoja wa Afrika umesema, kupungua kwa masikilizano kati ya jamii kunachangia katika hali mbaya ya kibinadamu katika maeneo mbalimbali nchini Somalia.

  • Familia ya binti Msomali-Muingereza aliyegharikishwa yataka haki

    Familia ya binti Msomali-Muingereza aliyegharikishwa yataka haki

    Aug 13, 2019 02:59

    Familia ya binti Msomali mwenye uraia wa Uingereza aliyegharikishwa imetaka haki na uadilifu baada ya kubainika kuwa alipoteza maisha kwa njia ya kutatanisha.

  • Watu 17 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia, Al Shabaab latangaza kuhusika

    Watu 17 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia, Al Shabaab latangaza kuhusika

    Jul 23, 2019 03:06

    Watu wasiopungua 17 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa nchini Somalia wakati bomu liliporipuka nje ya hoteli moja karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa ulioko kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Kenya: Mgogoro wa mpaka wa baharini kati yetu na Somalia utatuliwe kwa mazungumzo

    Kenya: Mgogoro wa mpaka wa baharini kati yetu na Somalia utatuliwe kwa mazungumzo

    Jul 20, 2019 05:00

    Serikali ya Kenya inaendelea kusisitiza kuwa, nchi jirani ya Somalia inapaswa kuheshimu mamlaka ya ardhi ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki, huku Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ ikitazamiwa kutoa hukumu mwezi Septemba mwaka huu, juu ya mvutano wa mpaka wa baharini kati ya nchi mbili hizo.

  • Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Jul 15, 2019 03:18

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika operesheni ya jeshi hilo katika siku za hivi karibuni.

  • Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia

    Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia

    Jul 13, 2019 08:14

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia imeongezeka na kufikia watu 26. Awali Polisi ya Kismayo iliripoti kuwa waliouawa katika hujuma hiyo ya kigaidi ni watu saba.

  • Watu saba wakiwemo waandishi wa habari wameuawa katika shambulio la al-Shabab Somalia

    Watu saba wakiwemo waandishi wa habari wameuawa katika shambulio la al-Shabab Somalia

    Jul 12, 2019 23:58

    Kwa akali watu saba wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia.

  • Hofu ya UN kuhusu kushtadi migogoro katika majimbo ya Somalia

    Hofu ya UN kuhusu kushtadi migogoro katika majimbo ya Somalia

    Jul 09, 2019 03:52

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu kuongezeka migogoro na mivutano baina ya majimbo yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia kwa upande mmoja, na majimbo hayo na serikali kuu ya Mogadishu kwa upande mwingine.

  • Mogadishu yatahadharisha kuhusu kuingiliwa masuala ya ndani ya Somalia

    Mogadishu yatahadharisha kuhusu kuingiliwa masuala ya ndani ya Somalia

    Jul 07, 2019 03:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia ametahadharisha kuhusu uingiliaji wa baadhi ya nchi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kukitaja kitendo hicho kuwa ni kukiuka mamlaka ya kujitawala nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS