Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kenya: Mgogoro wa mpaka wa baharini kati yetu na Somalia utatuliwe kwa mazungumzo

    Kenya: Mgogoro wa mpaka wa baharini kati yetu na Somalia utatuliwe kwa mazungumzo

    Jul 20, 2019 05:00

    Serikali ya Kenya inaendelea kusisitiza kuwa, nchi jirani ya Somalia inapaswa kuheshimu mamlaka ya ardhi ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki, huku Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ ikitazamiwa kutoa hukumu mwezi Septemba mwaka huu, juu ya mvutano wa mpaka wa baharini kati ya nchi mbili hizo.

  • Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Jul 15, 2019 03:18

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika operesheni ya jeshi hilo katika siku za hivi karibuni.

  • Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia

    Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia

    Jul 13, 2019 08:14

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia imeongezeka na kufikia watu 26. Awali Polisi ya Kismayo iliripoti kuwa waliouawa katika hujuma hiyo ya kigaidi ni watu saba.

  • Watu saba wakiwemo waandishi wa habari wameuawa katika shambulio la al-Shabab Somalia

    Watu saba wakiwemo waandishi wa habari wameuawa katika shambulio la al-Shabab Somalia

    Jul 12, 2019 23:58

    Kwa akali watu saba wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia.

  • Hofu ya UN kuhusu kushtadi migogoro katika majimbo ya Somalia

    Hofu ya UN kuhusu kushtadi migogoro katika majimbo ya Somalia

    Jul 09, 2019 03:52

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu kuongezeka migogoro na mivutano baina ya majimbo yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia kwa upande mmoja, na majimbo hayo na serikali kuu ya Mogadishu kwa upande mwingine.

  • Mogadishu yatahadharisha kuhusu kuingiliwa masuala ya ndani ya Somalia

    Mogadishu yatahadharisha kuhusu kuingiliwa masuala ya ndani ya Somalia

    Jul 07, 2019 03:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia ametahadharisha kuhusu uingiliaji wa baadhi ya nchi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kukitaja kitendo hicho kuwa ni kukiuka mamlaka ya kujitawala nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia yakata uhusiano na Guinea, yaituhumu Conakry kuingilia masuala yake ya ndani

    Somalia yakata uhusiano na Guinea, yaituhumu Conakry kuingilia masuala yake ya ndani

    Jul 05, 2019 10:44

    Serikali ya Somalia imekata uhusiano wake wote wa kidiplomasia na Guinea Conakry na kuituhumu nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kuwa inaingilia masuala yake ya ndani.

  • Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA

    Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA

    Jul 04, 2019 09:07

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu watano wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.

  • Mjumbe mpya wa UN Somalia apongeza vikosi vya AMISOM

    Mjumbe mpya wa UN Somalia apongeza vikosi vya AMISOM

    Jun 26, 2019 21:53

    Mjumbe mpya wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan amepongeza mchango uliotolewa na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kutokana na juhudi zinazoendelea kuituliza Somalia.

  • Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Jun 15, 2019 22:52

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limetangaza kuwa limehusika na miripuko ya mabomu iliyoua watu 16 hapo jana Jumamosi katika nchi za Kenya na Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS