-
Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia
Jun 10, 2019 03:40Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji mdogo lakini wa kistratajia ulioko kaskazini mashariki mwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.
-
Askari wa AMISOM Somalia wagawa chakula siku kuu ya Idul Fitr
Jun 05, 2019 22:05Kikosi cha kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimesema askari wake wameimarisha shughuli za kibinadamu zinazolenga kuboresha maisha ya Wasomali.
-
Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia
Jun 03, 2019 06:02Kwa akali watu tisa wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.
-
Magaidi wa Al Shabab wahujumu kituo cha jeshi la Somalia
May 27, 2019 22:42Kundi la kigaidi la Al Shabab limeshambulia kituo cha jeshi la Somalia katika eneo la kusini mwa nchi hiyo ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa.
-
Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi
May 27, 2019 02:51Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kushtadi mvutano kati ya Kenya na Somalia, serikali ya Mogadishu imejibu mapigo na kufuta mikutano yake iliyotazamiwa kufanyika jijini Nairobi.
-
Kenya yasema haina mvutano wa kidiplomasia na Somalia
May 24, 2019 02:47Serikali ya Kenya imekanusha tetesi kuwa kuna mvutano wa kidiplomasia na nchi jirani ya Somalia.
-
UN yahitaji zaidi ya dola milioni 700 kuwasaidia Wasomali wanaokumbwa na njaa
May 22, 2019 23:28Mashirika ya misaada ya kibinadamu yamezindua ombi la kukabiliana na ukame la dola milioni 710 kwa ajili ya msaada wa dharura wa kuwasaidia watu milioni 4.5 wanaothriwa na ukame nchini Somalia kwa kipindi kinachoanzia sasa hadi mwezi Disemba.
-
UN: Somalia imepiga hatua, lakini ipambane na ugaidi na ufisadi
May 21, 2019 23:09Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema Somalia imepiga hatua kuelekea katika uundwaji wa dola thabiti, lakini bado ina kibarua cha kupambana na ugaidi, misimamo mikali ya kuchupa mipaka na ufisadi.
-
Kamanda mwingine mwandamizi wa al-Shabaab ajisilimisha kwa serikali Somalia
May 20, 2019 02:50Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuparaganyika kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab, kamanda mwingine mwandamizi wa kundi hilo la ukufurishaji la Somalia amejisalimisha kwa serikali.
-
UN yatahadahrisha kuwa magaidi wa Al Shabab wamebadilisha mbinu
May 19, 2019 03:26Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa magaidi wa kundi la Al Shabab sasa wamebadilisha mbinu zao ili kuwawezesha kutekeleza mashambulizi mengi na hatari zaidi.