Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Somalia yakata uhusiano na Guinea, yaituhumu Conakry kuingilia masuala yake ya ndani

    Somalia yakata uhusiano na Guinea, yaituhumu Conakry kuingilia masuala yake ya ndani

    Jul 05, 2019 10:44

    Serikali ya Somalia imekata uhusiano wake wote wa kidiplomasia na Guinea Conakry na kuituhumu nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kuwa inaingilia masuala yake ya ndani.

  • Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA

    Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA

    Jul 04, 2019 09:07

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu watano wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.

  • Mjumbe mpya wa UN Somalia apongeza vikosi vya AMISOM

    Mjumbe mpya wa UN Somalia apongeza vikosi vya AMISOM

    Jun 26, 2019 21:53

    Mjumbe mpya wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia James Swan amepongeza mchango uliotolewa na vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kutokana na juhudi zinazoendelea kuituliza Somalia.

  • Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Jun 15, 2019 22:52

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limetangaza kuwa limehusika na miripuko ya mabomu iliyoua watu 16 hapo jana Jumamosi katika nchi za Kenya na Somalia.

  • Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Jun 10, 2019 03:40

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji mdogo lakini wa kistratajia ulioko kaskazini mashariki mwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.

  • Askari wa AMISOM Somalia wagawa chakula siku kuu ya Idul Fitr

    Askari wa AMISOM Somalia wagawa chakula siku kuu ya Idul Fitr

    Jun 05, 2019 22:05

    Kikosi cha kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimesema askari wake wameimarisha shughuli za kibinadamu zinazolenga kuboresha maisha ya Wasomali.

  • Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Jun 03, 2019 06:02

    Kwa akali watu tisa wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Magaidi wa Al Shabab wahujumu kituo cha jeshi la Somalia

    Magaidi wa Al Shabab wahujumu kituo cha jeshi la Somalia

    May 27, 2019 22:42

    Kundi la kigaidi la Al Shabab limeshambulia kituo cha jeshi la Somalia katika eneo la kusini mwa nchi hiyo ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa.

  • Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi

    Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi

    May 27, 2019 02:51

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kushtadi mvutano kati ya Kenya na Somalia, serikali ya Mogadishu imejibu mapigo na kufuta mikutano yake iliyotazamiwa kufanyika jijini Nairobi.

  • Kenya yasema haina mvutano wa kidiplomasia na Somalia

    Kenya yasema haina mvutano wa kidiplomasia na Somalia

    May 24, 2019 02:47

    Serikali ya Kenya imekanusha tetesi kuwa kuna mvutano wa kidiplomasia na nchi jirani ya Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS