Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Jun 10, 2019 03:40

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji mdogo lakini wa kistratajia ulioko kaskazini mashariki mwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.

  • Askari wa AMISOM Somalia wagawa chakula siku kuu ya Idul Fitr

    Askari wa AMISOM Somalia wagawa chakula siku kuu ya Idul Fitr

    Jun 05, 2019 22:05

    Kikosi cha kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimesema askari wake wameimarisha shughuli za kibinadamu zinazolenga kuboresha maisha ya Wasomali.

  • Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Mvua na mafuriko yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Jun 03, 2019 06:02

    Kwa akali watu tisa wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Magaidi wa Al Shabab wahujumu kituo cha jeshi la Somalia

    Magaidi wa Al Shabab wahujumu kituo cha jeshi la Somalia

    May 27, 2019 22:42

    Kundi la kigaidi la Al Shabab limeshambulia kituo cha jeshi la Somalia katika eneo la kusini mwa nchi hiyo ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa.

  • Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi

    Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi

    May 27, 2019 02:51

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kushtadi mvutano kati ya Kenya na Somalia, serikali ya Mogadishu imejibu mapigo na kufuta mikutano yake iliyotazamiwa kufanyika jijini Nairobi.

  • Kenya yasema haina mvutano wa kidiplomasia na Somalia

    Kenya yasema haina mvutano wa kidiplomasia na Somalia

    May 24, 2019 02:47

    Serikali ya Kenya imekanusha tetesi kuwa kuna mvutano wa kidiplomasia na nchi jirani ya Somalia.

  • UN yahitaji zaidi  ya dola milioni 700 kuwasaidia Wasomali wanaokumbwa na njaa

    UN yahitaji zaidi ya dola milioni 700 kuwasaidia Wasomali wanaokumbwa na njaa

    May 22, 2019 23:28

    Mashirika ya misaada ya kibinadamu yamezindua ombi la kukabiliana na ukame la dola milioni 710 kwa ajili ya msaada wa dharura wa kuwasaidia watu milioni 4.5 wanaothriwa na ukame nchini Somalia kwa kipindi kinachoanzia sasa hadi mwezi Disemba.

  • UN: Somalia imepiga hatua, lakini ipambane na ugaidi na ufisadi

    UN: Somalia imepiga hatua, lakini ipambane na ugaidi na ufisadi

    May 21, 2019 23:09

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema Somalia imepiga hatua kuelekea katika uundwaji wa dola thabiti, lakini bado ina kibarua cha kupambana na ugaidi, misimamo mikali ya kuchupa mipaka na ufisadi.

  • Kamanda mwingine mwandamizi wa al-Shabaab ajisilimisha kwa serikali Somalia

    Kamanda mwingine mwandamizi wa al-Shabaab ajisilimisha kwa serikali Somalia

    May 20, 2019 02:50

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuparaganyika kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab, kamanda mwingine mwandamizi wa kundi hilo la ukufurishaji la Somalia amejisalimisha kwa serikali.

  • UN yatahadahrisha kuwa magaidi wa Al Shabab wamebadilisha mbinu

    UN yatahadahrisha kuwa magaidi wa Al Shabab wamebadilisha mbinu

    May 19, 2019 03:26

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa magaidi wa kundi la Al Shabab sasa wamebadilisha mbinu zao ili kuwawezesha kutekeleza mashambulizi mengi na hatari zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS