-
UN yahitaji zaidi ya dola milioni 700 kuwasaidia Wasomali wanaokumbwa na njaa
May 22, 2019 23:28Mashirika ya misaada ya kibinadamu yamezindua ombi la kukabiliana na ukame la dola milioni 710 kwa ajili ya msaada wa dharura wa kuwasaidia watu milioni 4.5 wanaothriwa na ukame nchini Somalia kwa kipindi kinachoanzia sasa hadi mwezi Disemba.
-
UN: Somalia imepiga hatua, lakini ipambane na ugaidi na ufisadi
May 21, 2019 23:09Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema Somalia imepiga hatua kuelekea katika uundwaji wa dola thabiti, lakini bado ina kibarua cha kupambana na ugaidi, misimamo mikali ya kuchupa mipaka na ufisadi.
-
Kamanda mwingine mwandamizi wa al-Shabaab ajisilimisha kwa serikali Somalia
May 20, 2019 02:50Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuparaganyika kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab, kamanda mwingine mwandamizi wa kundi hilo la ukufurishaji la Somalia amejisalimisha kwa serikali.
-
UN yatahadahrisha kuwa magaidi wa Al Shabab wamebadilisha mbinu
May 19, 2019 03:26Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa magaidi wa kundi la Al Shabab sasa wamebadilisha mbinu zao ili kuwawezesha kutekeleza mashambulizi mengi na hatari zaidi.
-
UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na baa la njaa
May 16, 2019 05:24Ukame mkubwa unaoshuhudiwa nchini Somalia huenda ukasababisha njaa kwa watu milioni 2.2 ikiwa ni takriban asilimia 18 ya watu nchini humo katika kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba.
-
Watu kadhaa wahofiwa kuuawa katika mripuko wa bomu Somalia
May 14, 2019 07:20Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini, nje ya jengo la serikali katika eneo lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Somalia yasambaratisha mtandao wa majasusi wa UAE
May 11, 2019 08:25Wakuu wa Somalia wametangaza kuusambaratisha mtandao wa majasusi ambao walikuwa wakiutumikia utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
-
Jeshi la Somalia laua magaidi 18 wa al Shabaab
May 10, 2019 03:24Jeshi la Somalia limetangaza kuwaua magaidi 18 wa al Shabaab katika mji wa Jilib uliopo mkoani Juba.
-
AMISOM yakanusha madai ya Al Shabab kuuteka mji wa kistratijia
Apr 28, 2019 23:39Kikosi cha Kijeshi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kimekanusha habari kuwa kundi la kigaidi la al-Shabab limetwaa tena mji wa Sabiid kwenye wilaya ya kusini uliokombolewa hivi karibuni.
-
Kinara wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha kwa serikali ya Somalia
Apr 24, 2019 09:53Idara ya taifa ya ujasusi ya Somalia (NISA) imesema kinara wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la al-Shabaab Aden Abdi, anayejulikana pia kama Aden Obe, ameliasi kundi la al-Shabaab na kujiunga na upande wa serikali.