Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na baa la njaa

    UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na baa la njaa

    May 16, 2019 05:24

    Ukame mkubwa unaoshuhudiwa nchini Somalia huenda ukasababisha njaa kwa watu milioni 2.2 ikiwa ni takriban asilimia 18 ya watu nchini humo katika kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba.

  • Watu kadhaa wahofiwa kuuawa katika mripuko wa bomu Somalia

    Watu kadhaa wahofiwa kuuawa katika mripuko wa bomu Somalia

    May 14, 2019 07:20

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini, nje ya jengo la serikali katika eneo lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Somalia yasambaratisha mtandao wa majasusi wa UAE

    Somalia yasambaratisha mtandao wa majasusi wa UAE

    May 11, 2019 08:25

    Wakuu wa Somalia wametangaza kuusambaratisha mtandao wa majasusi ambao walikuwa wakiutumikia utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Jeshi la Somalia laua magaidi 18 wa al Shabaab

    Jeshi la Somalia laua magaidi 18 wa al Shabaab

    May 10, 2019 03:24

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwaua magaidi 18 wa al Shabaab katika mji wa Jilib uliopo mkoani Juba.

  • AMISOM yakanusha madai ya Al Shabab kuuteka mji wa kistratijia

    AMISOM yakanusha madai ya Al Shabab kuuteka mji wa kistratijia

    Apr 28, 2019 23:39

    Kikosi cha Kijeshi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kimekanusha habari kuwa kundi la kigaidi la al-Shabab limetwaa tena mji wa Sabiid kwenye wilaya ya kusini uliokombolewa hivi karibuni.

  • Kinara wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha kwa serikali ya Somalia

    Kinara wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha kwa serikali ya Somalia

    Apr 24, 2019 09:53

    Idara ya taifa ya ujasusi ya Somalia (NISA) imesema kinara wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la al-Shabaab Aden Abdi, anayejulikana pia kama Aden Obe, ameliasi kundi la al-Shabaab na kujiunga na upande wa serikali.

  • Naibu mkuu wa ISIS eneo la Puntland, Somalia auawa katika shambulizi la anga

    Naibu mkuu wa ISIS eneo la Puntland, Somalia auawa katika shambulizi la anga

    Apr 14, 2019 22:39

    Kamanda nambari mbili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) ameripotiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililofanyika katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Somalia yakumbwa na njaa, watu milioni 4.9 wanahitaji msaada

    Somalia yakumbwa na njaa, watu milioni 4.9 wanahitaji msaada

    Apr 14, 2019 21:52

    Mamilioni ya watu nchini Somalia wanahitaji msaada wa chakula nchini Somalia kutokana na kiangazi nchini humo.

  • Marekani yasema huenda ikalazimika kubakia Somalia baada ya 2026

    Marekani yasema huenda ikalazimika kubakia Somalia baada ya 2026

    Apr 13, 2019 22:36

    Marekani imedai kuwa inatazamia kukamilisha operesheni zake nchini Somalia ndani ya miaka saba ijayo, lakini iwapo italazimu, vikosi vyake vitasalia nchini humo kwa muda zaidi.

  • Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi

    Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi

    Apr 04, 2019 03:36

    Kenya na Somalia zimesuluhisha mzozo wa kidiplomasia baina yao, uliochochewa na mgogoro kuhusu mpaka wa pamoja wa bahari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS