-
UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na baa la njaa
May 16, 2019 05:24Ukame mkubwa unaoshuhudiwa nchini Somalia huenda ukasababisha njaa kwa watu milioni 2.2 ikiwa ni takriban asilimia 18 ya watu nchini humo katika kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba.
-
Watu kadhaa wahofiwa kuuawa katika mripuko wa bomu Somalia
May 14, 2019 07:20Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini, nje ya jengo la serikali katika eneo lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Somalia yasambaratisha mtandao wa majasusi wa UAE
May 11, 2019 08:25Wakuu wa Somalia wametangaza kuusambaratisha mtandao wa majasusi ambao walikuwa wakiutumikia utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
-
Jeshi la Somalia laua magaidi 18 wa al Shabaab
May 10, 2019 03:24Jeshi la Somalia limetangaza kuwaua magaidi 18 wa al Shabaab katika mji wa Jilib uliopo mkoani Juba.
-
AMISOM yakanusha madai ya Al Shabab kuuteka mji wa kistratijia
Apr 28, 2019 23:39Kikosi cha Kijeshi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kimekanusha habari kuwa kundi la kigaidi la al-Shabab limetwaa tena mji wa Sabiid kwenye wilaya ya kusini uliokombolewa hivi karibuni.
-
Kinara wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha kwa serikali ya Somalia
Apr 24, 2019 09:53Idara ya taifa ya ujasusi ya Somalia (NISA) imesema kinara wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la al-Shabaab Aden Abdi, anayejulikana pia kama Aden Obe, ameliasi kundi la al-Shabaab na kujiunga na upande wa serikali.
-
Naibu mkuu wa ISIS eneo la Puntland, Somalia auawa katika shambulizi la anga
Apr 14, 2019 22:39Kamanda nambari mbili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) ameripotiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililofanyika katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.
-
Somalia yakumbwa na njaa, watu milioni 4.9 wanahitaji msaada
Apr 14, 2019 21:52Mamilioni ya watu nchini Somalia wanahitaji msaada wa chakula nchini Somalia kutokana na kiangazi nchini humo.
-
Marekani yasema huenda ikalazimika kubakia Somalia baada ya 2026
Apr 13, 2019 22:36Marekani imedai kuwa inatazamia kukamilisha operesheni zake nchini Somalia ndani ya miaka saba ijayo, lakini iwapo italazimu, vikosi vyake vitasalia nchini humo kwa muda zaidi.
-
Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi
Apr 04, 2019 03:36Kenya na Somalia zimesuluhisha mzozo wa kidiplomasia baina yao, uliochochewa na mgogoro kuhusu mpaka wa pamoja wa bahari.