Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Afisa wa serikali afukuzwa kazi kwa kutaka Somalia iwe na uhusiano na Israel

    Afisa wa serikali afukuzwa kazi kwa kutaka Somalia iwe na uhusiano na Israel

    Apr 01, 2019 20:25

    Serikali ya Somalia imempiga kalamu nyekundu Mkurugenzi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo, kwa kutoa mwito wa kuwepo uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha Somalia

    Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha Somalia

    Mar 31, 2019 22:25

    Kiongozi wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la Al Shabab amejisalimishwa kwa askari wa serikali ya Somalia katika mji wa Marka katika eneo la kusni mwa nchi hiyo la Lower Shabelle.

  • Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia

    Mar 28, 2019 10:38

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini, nje ya hoteli na mikahawa katika eneo lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Kikosi cha Umoja wa Mataifa Somalia, UNSOM, chaongezewa muda wa kuhudumu

    Kikosi cha Umoja wa Mataifa Somalia, UNSOM, chaongezewa muda wa kuhudumu

    Mar 28, 2019 03:30

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuongeza muda wa kuwepo kwa Kikosi cha Kutoa Msaada cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia UNSOM hadi tarehe 31, Machi mwaka 2020.

  • Waziri ni miongoni mwa watu 15 waliouawa katika shambulizi la kigaidi Somalia

    Waziri ni miongoni mwa watu 15 waliouawa katika shambulizi la kigaidi Somalia

    Mar 23, 2019 22:42

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kigaidi la jana Jumamosi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Milipuko ya mabomu na milio ya risasi vyautikisa mji wa Mogadishu Somalia

    Milipuko ya mabomu na milio ya risasi vyautikisa mji wa Mogadishu Somalia

    Mar 23, 2019 09:45

    Duru za habari nchini Somalia zimeripoti kuwa miripuko miwili ya kutisha ya mabomu pamoja na milio ya risasi imeitikisa Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Wanajeshi wa Somalia wagoma kwa kutolipwa mishahara ya miezi minne

    Wanajeshi wa Somalia wagoma kwa kutolipwa mishahara ya miezi minne

    Mar 21, 2019 11:24

    Azma ya Somalia ya kusimamia usalama wake pasi na kutegemea uungaji mkono wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika (Amisom) imekumbwa na kizingiti, baada ya baadhi ya askari wa Somalia kufanya mgomo kulalamikia kutolipwa mishahara yao kwa miezi kadhaa sasa.

  • Amnesty International: Marekani inahusika katika kuwaua raia wa Somalia

    Amnesty International: Marekani inahusika katika kuwaua raia wa Somalia

    Mar 21, 2019 00:17

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa, jeshi la Marekani linahusika katika mauaji ya raia wa Somalia kupitia mashambulizi yake ya ndege zisizo na rubani nchini humo.

  • Magaidi 19 wa al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia

    Magaidi 19 wa al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia

    Mar 14, 2019 10:40

    Wanachama wasiopungua 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameuawa katika makabiliano baina ya kundi hilo na vikosi vya usalama katika eneo la Bar Sanguni na Jamame mkoani Lower Juba, kusini mwa Somalia.

  • Mlipuko wa bomu waua watu wanane katika soko la mnada wa mifugo Somalia

    Mlipuko wa bomu waua watu wanane katika soko la mnada wa mifugo Somalia

    Mar 14, 2019 04:37

    Kwa akali watu wanane wameuawa nchini Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika soko la kuuza na kununua mifugo kusini magharibi mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS