-
Naibu mkuu wa ISIS eneo la Puntland, Somalia auawa katika shambulizi la anga
Apr 14, 2019 22:39Kamanda nambari mbili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) ameripotiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililofanyika katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.
-
Somalia yakumbwa na njaa, watu milioni 4.9 wanahitaji msaada
Apr 14, 2019 21:52Mamilioni ya watu nchini Somalia wanahitaji msaada wa chakula nchini Somalia kutokana na kiangazi nchini humo.
-
Marekani yasema huenda ikalazimika kubakia Somalia baada ya 2026
Apr 13, 2019 22:36Marekani imedai kuwa inatazamia kukamilisha operesheni zake nchini Somalia ndani ya miaka saba ijayo, lakini iwapo italazimu, vikosi vyake vitasalia nchini humo kwa muda zaidi.
-
Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi
Apr 04, 2019 03:36Kenya na Somalia zimesuluhisha mzozo wa kidiplomasia baina yao, uliochochewa na mgogoro kuhusu mpaka wa pamoja wa bahari.
-
Afisa wa serikali afukuzwa kazi kwa kutaka Somalia iwe na uhusiano na Israel
Apr 01, 2019 20:25Serikali ya Somalia imempiga kalamu nyekundu Mkurugenzi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo, kwa kutoa mwito wa kuwepo uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha Somalia
Mar 31, 2019 22:25Kiongozi wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la Al Shabab amejisalimishwa kwa askari wa serikali ya Somalia katika mji wa Marka katika eneo la kusni mwa nchi hiyo la Lower Shabelle.
-
Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia
Mar 28, 2019 10:38Kwa akali watu 15 wameuawa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini, nje ya hoteli na mikahawa katika eneo lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Kikosi cha Umoja wa Mataifa Somalia, UNSOM, chaongezewa muda wa kuhudumu
Mar 28, 2019 03:30Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuongeza muda wa kuwepo kwa Kikosi cha Kutoa Msaada cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia UNSOM hadi tarehe 31, Machi mwaka 2020.
-
Waziri ni miongoni mwa watu 15 waliouawa katika shambulizi la kigaidi Somalia
Mar 23, 2019 22:42Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kigaidi la jana Jumamosi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Milipuko ya mabomu na milio ya risasi vyautikisa mji wa Mogadishu Somalia
Mar 23, 2019 09:45Duru za habari nchini Somalia zimeripoti kuwa miripuko miwili ya kutisha ya mabomu pamoja na milio ya risasi imeitikisa Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.