Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Naibu mkuu wa ISIS eneo la Puntland, Somalia auawa katika shambulizi la anga

    Naibu mkuu wa ISIS eneo la Puntland, Somalia auawa katika shambulizi la anga

    Apr 14, 2019 22:39

    Kamanda nambari mbili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) ameripotiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililofanyika katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Somalia yakumbwa na njaa, watu milioni 4.9 wanahitaji msaada

    Somalia yakumbwa na njaa, watu milioni 4.9 wanahitaji msaada

    Apr 14, 2019 21:52

    Mamilioni ya watu nchini Somalia wanahitaji msaada wa chakula nchini Somalia kutokana na kiangazi nchini humo.

  • Marekani yasema huenda ikalazimika kubakia Somalia baada ya 2026

    Marekani yasema huenda ikalazimika kubakia Somalia baada ya 2026

    Apr 13, 2019 22:36

    Marekani imedai kuwa inatazamia kukamilisha operesheni zake nchini Somalia ndani ya miaka saba ijayo, lakini iwapo italazimu, vikosi vyake vitasalia nchini humo kwa muda zaidi.

  • Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi

    Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi

    Apr 04, 2019 03:36

    Kenya na Somalia zimesuluhisha mzozo wa kidiplomasia baina yao, uliochochewa na mgogoro kuhusu mpaka wa pamoja wa bahari.

  • Afisa wa serikali afukuzwa kazi kwa kutaka Somalia iwe na uhusiano na Israel

    Afisa wa serikali afukuzwa kazi kwa kutaka Somalia iwe na uhusiano na Israel

    Apr 01, 2019 20:25

    Serikali ya Somalia imempiga kalamu nyekundu Mkurugenzi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo, kwa kutoa mwito wa kuwepo uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha Somalia

    Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha Somalia

    Mar 31, 2019 22:25

    Kiongozi wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la Al Shabab amejisalimishwa kwa askari wa serikali ya Somalia katika mji wa Marka katika eneo la kusni mwa nchi hiyo la Lower Shabelle.

  • Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia

    Mar 28, 2019 10:38

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini, nje ya hoteli na mikahawa katika eneo lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Kikosi cha Umoja wa Mataifa Somalia, UNSOM, chaongezewa muda wa kuhudumu

    Kikosi cha Umoja wa Mataifa Somalia, UNSOM, chaongezewa muda wa kuhudumu

    Mar 28, 2019 03:30

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuongeza muda wa kuwepo kwa Kikosi cha Kutoa Msaada cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia UNSOM hadi tarehe 31, Machi mwaka 2020.

  • Waziri ni miongoni mwa watu 15 waliouawa katika shambulizi la kigaidi Somalia

    Waziri ni miongoni mwa watu 15 waliouawa katika shambulizi la kigaidi Somalia

    Mar 23, 2019 22:42

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kigaidi la jana Jumamosi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Milipuko ya mabomu na milio ya risasi vyautikisa mji wa Mogadishu Somalia

    Milipuko ya mabomu na milio ya risasi vyautikisa mji wa Mogadishu Somalia

    Mar 23, 2019 09:45

    Duru za habari nchini Somalia zimeripoti kuwa miripuko miwili ya kutisha ya mabomu pamoja na milio ya risasi imeitikisa Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS