Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wazazi wawarejesha vijana wao Somalia ili wasichomwe visu Uingereza

    Wazazi wawarejesha vijana wao Somalia ili wasichomwe visu Uingereza

    Mar 10, 2019 23:08

    Kutokana na kushtadi hujuma za visu nchini Uingereza, wazazi wa Kisomali wamewarejesha kwa wingi vijana wao nchini Somalia.

  • Timu ya AU-UN iko Somalia kutathmini kazi kikosi cha kulinda amani

    Timu ya AU-UN iko Somalia kutathmini kazi kikosi cha kulinda amani

    Mar 09, 2019 21:48

    Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Mataifa (UN) uko nchini Somalia kutathmini hatua zilizochukuliwa katika utekelezaji wa Mpango wa Mpito wa Somalia ambao lengo lake kuu ni kuhamisha majukumu ya kulinda usalama kutoka Kikosi cha Askari wa Amani cha Umoja wa Afrika huko Somalia (AMISOM) na kuyakabidhi kwa Vikosi vya Kitaifa vya Usalama nchini Somalia.

  • Shambulizi la kigaidi karibu na Ikulu ya Rais laua watu kadhaa Somalia

    Shambulizi la kigaidi karibu na Ikulu ya Rais laua watu kadhaa Somalia

    Mar 08, 2019 04:24

    Kwa akali watu saba wameuawa huku wengine tisa wakijeruhiwa katika mripuko wa bomu na hujuma ya ufayatuaji risasi iliyofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Ethiopia yatumia diplomasia kuzipatanisha Kenya na Somalia

    Ethiopia yatumia diplomasia kuzipatanisha Kenya na Somalia

    Mar 06, 2019 23:24

    Upatanishi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed katika mgogoro wa mpaka wa baharini kati ya Kenya na Somalia umezaa matunda kwa kiasi fulani, baada ya nchi mbili hizo jirani kuafikiana kupunguza taharuki iliyopo kati yao.

  • Rais wa Somalia: Vita dhidi ya ugaidi nchini haviishi karibuni

    Rais wa Somalia: Vita dhidi ya ugaidi nchini haviishi karibuni

    Mar 05, 2019 23:23

    Rais Mohammed Abdullahi Farmajo wa Somalia amekiri kuwa, vita dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab havitamalizika hivi karibuni, lakini akasisitiza kuwa genge hilo limedhoofishwa kwa kiasi kikubwa.

  • Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake

    Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake

    Mar 03, 2019 04:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeuteka mji mmoja wa kistratajia ulioko kusini magharibi mwa Somalia, baada ya jeshi la Kenya KDF kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wanaudhibiti mji huo.

  • Watu 6 wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 6 wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Mar 01, 2019 04:35

    Watu wasiopungua sita wameuawa katika shambulizi la hujuma ya kigaidi kwenye mtaa wenye pilika nyingi wa Maka Al-Mukarama katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Shambulizi la anga la Marekani ladaiwa kuua 'magaidi' 35 Somalia

    Shambulizi la anga la Marekani ladaiwa kuua 'magaidi' 35 Somalia

    Feb 26, 2019 04:13

    Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika (AFRICOM) imedai kuwa mashambulizi ya anga ya wanajeshi wake yamefanikiwa kuangamiza wanachama 35 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia.

  • Burundi inakataa kuondoa askari wake Somalia

    Burundi inakataa kuondoa askari wake Somalia

    Feb 20, 2019 04:40

    Marais wa Burundi na Somalia wameitisha kikao cha dharura cha nchi zenye askari katika Kikosi cha Umoja wa Afrika Somalia, AMISOM, kujadili agizo la kutaka askari 1,000 wa kulinda amani wa Burundi waondoke Somalia kabla ya mwisho wa mwezi huu wa Februari.

  • Jamii ya kimataifa yatakiwa itatue mgogoro wa Kenya na Somalia kuhusu bahari

    Jamii ya kimataifa yatakiwa itatue mgogoro wa Kenya na Somalia kuhusu bahari

    Feb 17, 2019 10:32

    Mwanasiasa wa ngazi za juu nchini Kenya Musalia Mudavadi ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kutatua mgogoro wa mpakani unaotokota baina ya Kenya na Somalia ili kuzuia hali kuwa mbaya zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS