-
Watoto 300 waliokwama waokolewa kutoka katika kituo cha mayatima huko Sudan
Jun 09, 2023 03:16Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa Unicef limeeleza kuwa, watoto wasiopungua 300 wa rika mbalimbali wakiwemo wachanga wameokolewa kutoka katika kituo cha kulelea mayatima huko Khartoum mji mkuu wa Sudan baada ya kutelekezwa huko huku mapigano yakiendelea nchini humo.
-
DRC: Jeshi la Sudan limeua raia wetu 10 mjini Khartoum
Jun 06, 2023 03:02Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema raia kumi wa nchi hiyo wameuawa katika mashambulizi ya Jeshi la Sudan ndani ya Chuo Kikuu kimoja mjini Khartoum, huku mapigano yakishtadi nchini Sudan kati ya jeshi na wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Jeshi la Sudan limesema limesitisha mazungumzo na vikosi pinzani
May 31, 2023 22:40Msemaji wa jeshi la Sudan jana alieleza kuwa jeshi hilo limesitisha kushiriki katika mazungumzo na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) ambavyo limekuwa likipigana navyo kwa wiki kadhaa sasa kwa ajili ya kuidhibiti Sudan.
-
Umoja wa Afrika: Tunapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan
May 31, 2023 08:02Umoja wa Afrika umesisitiza kuwa, unapinga uingiliaji wa kigeni katika masuala ya Sudan na kwamba, hilo ni jambo lisilokubalika.
-
UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali
May 29, 2023 07:01Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa, mamilioni ya watu wapo katika hatari ya kufa njaa katika nchi za Sudan, Haiti, Burkina Faso, na Mali.
-
AU yasisitiza ulazima wa kusitishwa mapigano haraka huko Sudan
May 28, 2023 07:40Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) amesiistiza ulazima wa kusimamishwa vita haraka iwezekanavyo kati ya pande zinazopigana nchini Sudan.
-
Watoto 30 wameaga dunia hospitalini kutokana na mgogoro wa Sudan
May 26, 2023 06:38Makumi ya watoto wachanga wa kuzaliwa wameaga dunia wakiwa hospitalini tangu vita vipya viibuke nchini Sudan mwezi uliopita, huku mapigano hayo yakiendelea kwa wiki ya sita sasa licha ya makubaliano ya usitishaji vita.
-
Arab League yazitaka pande zinazopigana Sudan kuheshimu vipengee vya usitishaji vita
May 21, 2023 09:31Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League ametaka kutekelezwa makubaliano ya kusitisha vita huko Sudan na pande hasimu kuheshimu vipengee vya makubaliano hayo baadaya pande hizo kusaini makubaliano ya kusitisha vita.
-
Kuendelea mgogoro huko Sudan kwa kuuzuliwa Hamidti katika Baraza la Uongozi wa Mpito
May 20, 2023 08:01Mgogoro wa kisiasa na vita vingali vinaendelea huko Sudan licha ya kufanyika mazungumzo na jitihada za upatanishi nchini humo. Katika hatua ya karibuni, Jenerali Abdel Fattah al Burhan, Mkuu wa Baraza la Utawala wa Mpito la Sudan ametoa amri ya kumuuzulu Mohamed Hamdan Dagalo (Hamidti) katika nafasi ya Naibu Mkuu wa baraza hilo.
-
UN yalaani ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita Sudan, mapigano makali yaripotiwa Khartoum
May 19, 2023 07:01Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu, Martin Griffiths, amelaani kile alichokitaja kuwa ukiukwaji wa mara kwa mara na mkubwa wa makubaliano yaliyofikiwa wiki moja baina ya pande zihasimu katika mzozo wa Sudan ya kulinda maisha ya raia, harakati za misaada ya kibinadamu na miundombinu.