Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yacheza ngoma ya Wazayuni, yatwaa mali za harakati ya Hamas

    Sudan yacheza ngoma ya Wazayuni, yatwaa mali za harakati ya Hamas

    Sep 23, 2021 22:47

    Serikali ya Sudan imefuata nyayo za utawala katili wa Israel na kuchukua hatua ya kutwaa mali na milki za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.

  • Waziri Mkuu wa Sudan: Wapangaji wa mapinduzi walikuwa ndani na nje ya jeshi

    Waziri Mkuu wa Sudan: Wapangaji wa mapinduzi walikuwa ndani na nje ya jeshi

    Sep 21, 2021 08:55

    Waziri Mkuu wa Sudan Abdallah Hamdok amesema leo Jumanne kuwa jaribio lililoshindwa la mapinduzi liliandaliwa na watu ndani na nje ya jeshi la nchi hiyo.

  • Jaribio la kuipindua serikali ya Sudan lazimwa

    Jaribio la kuipindua serikali ya Sudan lazimwa

    Sep 21, 2021 03:27

    Serikali ya Sudan imetangaza kuwa imetibua na kuzima jaribio la mapinduzi la kuiangusha serikali hiyo na kutoa mwito kwa wananchi kuwa watulivu sambamba na kuwahakikishia kuwa inadhibiti hali ya mambo.

  • Russia na Sudan kusaini mkataba wa kijeshi hivi karibuni

    Russia na Sudan kusaini mkataba wa kijeshi hivi karibuni

    Sep 14, 2021 02:26

    Balozi mdogo wa Sudan nchini Russia ameashiria baadhi ya marekebisho katika makubaliano ya kijeshi kati ya nchi yake na Russia na kukadhibisha madai kwamba Khartoum itapokea msaada wa kiuchumi kutoka Moscow na akasema: makubaliano ya kijeshi ya Sudan na Russia yatasaniwa muda si mrefu ujao.

  • Jeshi la Sudan lakadhibisha kuwepo juhudi za kufanya mapinduzi nchini humo

    Jeshi la Sudan lakadhibisha kuwepo juhudi za kufanya mapinduzi nchini humo

    Sep 12, 2021 22:37

    Jeshi la Sudan limetoa taarifa na kukanusha kuwepo jitihada za aina yoyote za kufanya mapinduzi nchini humo.

  • Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit

    Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit

    Sep 08, 2021 07:20

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imemwita kwa ajili ya kumsaili balozi wa Ethiopia mjini Khartoum baada ya miili 29 inayosadikiwa kuwa ni ya Watigray kupatikana katika Mto wa Setit.

  • Sudan yakanusha tuhuma za kuwaunga mkono waasi wa Tigray kwa ajili ya kushambulia Bwawa la Renaissance

    Sudan yakanusha tuhuma za kuwaunga mkono waasi wa Tigray kwa ajili ya kushambulia Bwawa la Renaissance

    Sep 05, 2021 03:16

    Msemaji wa Kamandi ya Jeshi la Sudan amekadhibisha madai yaliyotolewa na Jeshi la Ethiopia kwamba Khartoum inawasaidia waasi wa Tigray kwa ajili ya kushambulia Bwawa la Renaissance.

  • Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kufungua ofisi Sudan

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kufungua ofisi Sudan

    Aug 13, 2021 19:29

    Sudan na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake huko Hague, Uholanzi zimesaini makubaliano ya ushirikiano kama hatua moja mbele katika jitihada za kushughulikia kesi ya dikteta wa zamani wa Sudan, Omar Hassan al Bashir ambaye anakabiliwa na kesi ya mauaji ya kimbari katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • Watu 1,500 wakimbia machafuko Darfur, Sudan

    Watu 1,500 wakimbia machafuko Darfur, Sudan

    Aug 12, 2021 08:13

    Kamisheni Kuu ya Misaada ya Kibinadamu ya Sudan imetangaza kuwa, wakazi elfu moja na mia tano wa Darfur wamelazimika kukimbilia katika kambi za wakimbizi zilioko kaskazini mwa eneo hilo la magharibi mwa Sudan kutokana na ghasia na machafuko yanaoendelea katika eneo hilo.

  • Sudan kumkabidhi al Bashir kwa mahakama ya ICC

    Sudan kumkabidhi al Bashir kwa mahakama ya ICC

    Aug 11, 2021 21:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amesema kuwa, viongozi wa nchi hiyo wamechukua uamuzi wa kumkabidhi rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar Hassan al Bashir na makamu wake wawili kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) huko Hague nchini Uholanzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS