Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Sheikh Naeem Qasim: Juhudi za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli

    Sheikh Naeem Qasim: Juhudi za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli

    Nov 04, 2021 04:22

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa uvamizi wa Marekani nchini Syria na juhudi za nchi hiyo za kutaka kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli na kugonga mwamba.

  • Wakurdi wa Syria wakubali kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Serikali

    Wakurdi wa Syria wakubali kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Serikali

    Nov 01, 2021 21:29

    Mjumbe wa Baraza Kuu la chama cha Umoja wa Demokrasia cha Wakurdi amesema kuwa, chama chake, mirengo tanzu na taasisi zilizoko chini chama hicho ikiwemo ile ya kupigania eneo la utawala wa ndani la Wakurdi ziko tayari kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na serikali ya Rais Bashar al Assad nchini Syria.

  • Hali mbaya zaidi ya kiuchumi na kibinaadamu wanayokabiliana nayo wananchi wa Syria

    Hali mbaya zaidi ya kiuchumi na kibinaadamu wanayokabiliana nayo wananchi wa Syria

    Oct 28, 2021 13:31

    Mgogoro wa ndani wa Syria na uungaji mkono wa mhimili wa Waarabu, Waebrania, Wamagharibi na Waturuki kwa makundi ya kigaidi, vimepelekea kushadidi hali ya ufukara na umasikini nchini humo, jambo ambalo hata Umoja wa Mataifa pia umeamua kulitolea indhari.

  • Ravanchi:Baraza la Usalama liilazimishe Israel ihitimishe kuikalia kwa mabavu Golan

    Ravanchi:Baraza la Usalama liilazimishe Israel ihitimishe kuikalia kwa mabavu Golan

    Oct 28, 2021 11:15

    Balozi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa Baraza la Usalama la umoja huo linalazimiika kutekeleze wajibu wake na kuulazimisha utawala wa Kizayuni wa Israel uache kuikalia kwa mabavu miinuko ya Golan na uvamizi dhidi ya Syria.

  • Russia: Hali ya maeneo yanayodhibitiwa na makundi ya waasi Syria inatia wasiwasi

    Russia: Hali ya maeneo yanayodhibitiwa na makundi ya waasi Syria inatia wasiwasi

    Oct 28, 2021 06:52

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa hali inayoshuhudiwa katika maeneo yanayodhibitiwa na makundi ya waasi nchini Syria ni mbaya na inatia wasiwasi mkubwa.

  • Wasyria waandamana kushinikizi kuondoka vikosi vamizi vya Uturuki

    Wasyria waandamana kushinikizi kuondoka vikosi vamizi vya Uturuki

    Oct 26, 2021 04:33

    Mamia ya wananchi wa Syria wamefanya maandamano katika mkoa wa Aleppo (Halab), kaskazini magharibi mwa nchi kulaani uwepo wa wanajeshi vamizi wa Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Dalali wa silaha za magaidi nchini Syria afilisika, Canada yampa kinga ya ukimbizi

    Dalali wa silaha za magaidi nchini Syria afilisika, Canada yampa kinga ya ukimbizi

    Oct 24, 2021 23:02

    Mmoja wa madalali aliyekuwa akiyauzia silaha magenge ya kigaidi nchini Syria likiwemo la Daesh (ISIS) amefilisika vibaya kiasi kwamba Canada imempa kinga ya ukimbizi nchini humo.

  • Shambulio la bomu laua wanajeshi 14 wa Syria katika mji mkuu Damascus

    Shambulio la bomu laua wanajeshi 14 wa Syria katika mji mkuu Damascus

    Oct 20, 2021 09:46

    Televisheni ya taifa ya Syria imetangaza kuwa askari 14 wa jeshi la nchi hiyo wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika shambulio la bomu lililolenga basi lililokuwa limebeba askari hao mapema leo.

  • Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria

    Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria

    Oct 16, 2021 03:53

    Akizungumza Jumatano mbele ya waandishi habari mjini Washington, Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema nchi hiyo haina nia ya kuunga mkono juhudi za kuboreshwa uhusiano na serikali ya Syria.

  • Vikosi vya ulinzi vya Iraq vyadhibiti kikamilifu eneo la mpaka wa nchi hiyo na Syria

    Vikosi vya ulinzi vya Iraq vyadhibiti kikamilifu eneo la mpaka wa nchi hiyo na Syria

    Oct 13, 2021 22:49

    Komandi ya Vikosi vya Gadi ya Mipakani ya Iraq imetangaza kuwa hivi sasa jeshi la nchi hiyo linalidhibiti kikamilifu eneo la mpaka wa Iraq na Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS