Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Jeshi la Syria latungua makombora ya utawala haramu wa Israeli

    Jeshi la Syria latungua makombora ya utawala haramu wa Israeli

    Oct 10, 2021 04:17

    Mfumo wa ngao ya makombora wa Syria umefanikiwa kutungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mkoa wa Homs, katikati mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Amir-Abdollahian: Iran ipo pamoja na Syria kwa nguvu zake zote

    Amir-Abdollahian: Iran ipo pamoja na Syria kwa nguvu zake zote

    Oct 09, 2021 22:59

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili lipo pamoja na bega kwa bega na Syria na kuitaja nchi hiyo ya Kiarabu kama mshirika wa kistratijia wa Iran.

  • Interpol yairejeshea Syria uanachama wake

    Interpol yairejeshea Syria uanachama wake

    Oct 05, 2021 04:28

    Syria imerejeshewa uanachama wake katika shirika la Polisi ya Kimataifa (Interpol).

  • Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria

    Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria

    Oct 04, 2021 22:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuna tishio la kigaidi katika mkoa wa Idlib kaskazini mwa Syria na kwamba tishio hilo linaongezeka pia katika baadhi ya maeneo nchini humo.

  • Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria

    Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria

    Oct 02, 2021 08:52

    Msemaji wa rais wa Uturuki amedai kuwa, nchi hiyo, kama zilivyo Russia na Marekani, ina haki ya kuwepo kijeshi katika ardhi ya Syria.

  • Al Miqdadi: Marekani ikomeshe kuwepo kwake haramu kijeshi katika ardhi ya Syria

    Al Miqdadi: Marekani ikomeshe kuwepo kwake haramu kijeshi katika ardhi ya Syria

    Sep 25, 2021 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitiza kuwa, kuwepo kijeshi Marekani nchini humo ni haramu na kinyume cha sheria na inapasa Washington iondoke katika ardhi ya nchi hiyo haraka iwezekanavyo.

  • Meli ya pili ya mafuta kutoka Iran kwa ajili ya Lebanon yatia nanga Baniyas

    Meli ya pili ya mafuta kutoka Iran kwa ajili ya Lebanon yatia nanga Baniyas

    Sep 24, 2021 04:13

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa meli kubwa ya pili ya mafuta kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetia nanga katika bandari ya Baniyas nchini Syria.

  • Msafara mpya wa malori ya mafuta kutoka Iran yamewasili Lebanon

    Msafara mpya wa malori ya mafuta kutoka Iran yamewasili Lebanon

    Sep 22, 2021 04:02

    Televisheni ya al Mayadeen imetangaza kuwa msafara mwingine wa malori yenye shehena ya mafufa kutoka Iran umewasili Lebanon baada ya kuvuka mpaka wa Syria.

  • Syria yalaani chokochoko na uvamizi wa Uturuki

    Syria yalaani chokochoko na uvamizi wa Uturuki

    Sep 20, 2021 22:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imelaani hatua za Uturuki za kukiuka mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa Syria ina haki ya kujibu chokochoko hizo.

  • Wamarekani waiba shehena nyingine ya mafuta ya Syria

    Wamarekani waiba shehena nyingine ya mafuta ya Syria

    Sep 15, 2021 01:51

    Wanajeshi magaidi na wavamizi wa Marekani wameiba shehena nyingine ya mafuta ya wananchi wa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS