-
Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu: Sehemu kubwa ya Madaesh wa kujiripua wameingia Iraq kutokea Syria
Feb 22, 2021 23:14Mkuu wa Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu katika mkoa wa Diyala nchini Iraq amesema kuwa, sehemu kubwa ya magaidi wa Daesh (ISIS) wa kujiripua kwa mabomu wameingia nchini Iraq wakitokea Syria.
-
Mbunge: Marekani inaunga mkono magaidi katika nchi za Syria na Iraq
Feb 06, 2021 23:12Mbunge mmoja wa Syria amesema kuwa serikali ya Marekani inahusika katika ongezeko la hujuma za kigaidi nchini Syria na Iraq.
-
Kamati ya Katiba ya Syria yamaliza kikao chake cha tano bila mafanikio
Feb 03, 2021 05:05Kikao cha Tano cha Kamati ya Kuandika Katiba ya Syria kimemalizika baada ya kufanyika kwa muda wa siku tano bila kufikia natija yoyote ya maana huko Geneva, Uswisi.
-
Marekani yaingiza shehena ya zana za kijeshi mashariki mwa Syria
Feb 01, 2021 23:30Duru mbalimbali za habari zimearifu kuwa, silaha na zana za kilojistiki za wanajaeshi magaidi wa Marekani zimeonekana zikiingizwa katika maidani ya mafuta huko Koniko kaskazini mashariki mwa Deir Zor.
-
Syria yasisitiza ulazima wa kuweko umoja kwa ajili ya kukabilianan na ugaidi
Jan 22, 2021 04:48Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imelaani mashambulio ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Iraq Baghdad na kusisitiza ulazima wa kuweko umoja na mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi.
-
Mbali na mafuta, Marekani sasa inaiba mazao ya mashamba ya Wasyria
Jan 18, 2021 08:26Sambamba na kuendelea wizi wa mafuta ya Syria unaofanywa na wanajeshi magaidi wa Marekani, askari hao vamizi sasa wameanza kupora mazao ya mashamba ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mshauri wa Rais wa Syria: Qassem Suleimani alikuwa kamanda wa nyoyo na mpamabanaji wa njia ya ukombozi
Jan 07, 2021 23:12Mshauri maalumu wa Rais Bashar al Assad wa Syria amesema, shahidi Qassem Suleimani alikuwa mpigania uadilifu kwa ajili ya wanadamu na mpambanaji wa njia ya ukombozi.
-
Marekani inaunda 'ISIS 2' katika nchi za Syria na Iraq
Dec 27, 2020 20:50Ushahidi mpya umefichua kuwa, vyombo vya usalama vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel vipo mbioni kuzalisha kizazi kipya cha genge la kigaidi katika eneo hili la Asia Magharibi.
-
Kupitishwa maazimio 17 ya Baraza la Kuu la UN dhidi ya Israel katika mwaka 2020
Dec 26, 2020 23:02Utawala wa Kizayuni ni utawala pekee uliolaaniwa na Umoja wa Mataifa mara tatu zaidi ya nchi nyingine zote duniani katika mwaka huu wa 2020. Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha jumla ya maazimio 17 dhidi ya Israel katika mwaka huu wa 2020.
-
Syria yataka Baraza la Usalama lizuie hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 26, 2020 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema imekosoa uungaji mkono wa baadhi ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel na imetaka baraza hilo lichukue hatua za kivitendo kuzuia hujuma hizo za utawala wa Kizayuni.