Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Vita vyashtadi Afghanistan huku Taliban ikiteka miji mikuu ya majimbo sita ndani ya siku nne

    Vita vyashtadi Afghanistan huku Taliban ikiteka miji mikuu ya majimbo sita ndani ya siku nne

    Aug 10, 2021 02:33

    Mapigano makali yanaendelea kuripotiwa nchini Afghanistan baina ya vikosi vya jeshi la serikali na wanamgambo wa kundi la Taliban huku kundi hilo likiripotiwa kuwa limefanikiwa kuteka miji mikuu ya majimbo sita ndani ya muda wa siku nne.

  • Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu Afghanistan

    Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu Afghanistan

    Aug 07, 2021 11:28

    Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu machafuko yanayoendelea nchini Afghanistan kilifanyika jana Ijumaa mjini New York.

  • Rais wa Afghanistan: Taliban wamezidi kuwa madhalimu na kuzidi kuwa hawana Uislamu kuliko walivyokuwa kabla

    Rais wa Afghanistan: Taliban wamezidi kuwa madhalimu na kuzidi kuwa hawana Uislamu kuliko walivyokuwa kabla

    Aug 02, 2021 03:57

    Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afghanistan amelikosoa vikali kundi la Taliban kutokana na linavyoshupalia vita na akasema: kundi hili limekuwa dhalimu zaidi na la kimamluki zaidi kuliko lilivyokuwa huko nyuma.

  • Hamu ya wanamgambo wa Taliban ya kutatuliwa matatizo ya Afghanistan kupitia njia ya mazungumzo

    Hamu ya wanamgambo wa Taliban ya kutatuliwa matatizo ya Afghanistan kupitia njia ya mazungumzo

    Jul 19, 2021 14:44

    Kundi la wanamgambo wa Taliban limetoa ujumbe kwa mnasaba wa kuwadia sikukuu ya Eidul-Haj na kuonyesha hamu na shauku lilionayo ya kupatiwa ufumbuzi matatizo ya Afghanistan kwa njia ya mazungumzo.

  • Taliban yapongeza kuondoka askari wa Marekani Bagram

    Taliban yapongeza kuondoka askari wa Marekani Bagram

    Jul 03, 2021 02:44

    Kundi la Taliban limesema Afghanistan imepiga hatua moja mbele kuelekea katika amani na uthabiti, wakati huu ambapo Marekani inawaondoa wanajeshi wake wote nchini humo.

  • Kundi la Taliban la Afghanistan lasema, halina uadui na Waislamu wa Kishia

    Kundi la Taliban la Afghanistan lasema, halina uadui na Waislamu wa Kishia

    Jun 26, 2021 07:17

    Msemaji wa kundi la Taliban la Afghanistan amesema kuwa, kundi hilo halina uadui na Waislamu wa Kishia nchini humo na halitofanya ubaguzi wowote dhidi yao.

  • Taliban wateka bwawa muhimu huku mapigano makali yakiwa yanaendelea Afghanistan

    Taliban wateka bwawa muhimu huku mapigano makali yakiwa yanaendelea Afghanistan

    May 07, 2021 02:22

    Kundi la Taliban limeteka bwawa la pili kwa ukubwa na umuhimu nchini Afghanistan katika mapigano makali na vikosi vya jeshi la serikali kwenye mkoa wa Kandahar huku jeshi vamizi la Marekani likiwa limeanza kuwaondoa askari wake tangu ilipoivamia kijeshi nchi hiyo miaka 20 iliyopita.

  • Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan

    Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan

    Apr 27, 2021 04:21

    Jenerali Austin Scott Miller, kamanda wa askari wa Marekani na wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) nchini Afghanistan alitangaza Jumapili iliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, mchakato wa kuondoka wanajeshi wa Marekani na wa NATO huko Afghanistan umeanza katika baadhi ya vituo vya kijeshi nvya nchi hiyo na kwamba, vituo vyote vya kijeshi vitakabidhiwa kwa vikosi vya Kiafghani.

  • Jeshi la Afghanistan lasema limeua wanachama 104 wa Taliban

    Jeshi la Afghanistan lasema limeua wanachama 104 wa Taliban

    Apr 07, 2021 03:25

    Wizara ya Ulinzi ya Afghanistan imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limewaua wanachama zaidi ya 100 wa kundi la Taliban ndani ya saa 24.

  • Taliban yaonya kuwa itaanzisha tena vita kamili dhidi ya Marekani nchini Afghanistan

    Taliban yaonya kuwa itaanzisha tena vita kamili dhidi ya Marekani nchini Afghanistan

    Feb 27, 2021 06:31

    Msemaji wa Taliban amesema, kundi hilo halitakubali kuangaliwa upya au kufanywa mazungumzo tena kuhusu mapatano ya Qatar iliyofikia Marekani; na endapo Marekani itayakiuka mapatano hayo, huo utakuwa ni uanzishaji wa vita vipya nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS