Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Jeshi la Afghanistan laua wanachama 153 wa Taliban

    Jeshi la Afghanistan laua wanachama 153 wa Taliban

    Feb 13, 2021 11:10

    Wizara ya Ulinzi ya Afghanistan imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limewaua wanachama zaidi ya 150 wa kundi la Taliban katika kipindi cha saa 24 zilizopita.

  • Marekani yakataa kuondoa kikamilifu wanajeshi wake walioko Afghanistan

    Marekani yakataa kuondoa kikamilifu wanajeshi wake walioko Afghanistan

    Jan 31, 2021 02:51

    Marekani imetazama upya aghalabu ya sera na hatua za serikali iliyotangulia ya Trump baada ya kuingia madarakani serikali mpya ya Joe Biden. Siasa za Washington kuhusu Afghanistan na kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini humo ni kati ya masuala hayo.

  • Majaji wawili wanawake wauawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul

    Majaji wawili wanawake wauawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul

    Jan 18, 2021 04:48

    Watu wenye silaha wasiojulikana wamewaua kwa kuwapiga risasi majaji wawili wanawake katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Kukosoa serikali ya Afghanistan hatua ya Taliban ya kuwalenga wananchi katika mashambulio yake

    Kukosoa serikali ya Afghanistan hatua ya Taliban ya kuwalenga wananchi katika mashambulio yake

    Dec 30, 2020 02:47

    Serikali ya Afghanistan imekosoa vikali hatua ya kundi la wanamgambo wa Taliban ya kuwalenga kwa mashambulio wanaharakati wa kiraia, shakhsia mbalimbali na wanahabari na kueleza kwamba, hicho ni kilele cha udhalili wa kundi hilo.

  • Safari ya Miller Afghanistan; juhudi za Marekani za kutaka kuendelea kuwepo kijeshi nchini humo

    Safari ya Miller Afghanistan; juhudi za Marekani za kutaka kuendelea kuwepo kijeshi nchini humo

    Dec 24, 2020 03:32

    Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani juzi Jumanne alielekea mji mkuu wa Afghanistan Kabul katika safari ya ghafla ambayo haikutangazwa kabla na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo Muhammad Ashraf Ghani.

  • Kuanza tena mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Afghanistan na Taliban nchini Qatar

    Kuanza tena mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Afghanistan na Taliban nchini Qatar

    Oct 14, 2020 16:14

    Wawakilishi wa serikali ya Afghanistan na wa kundi la Taliban wameanza tena mazungumzo yao nchini Qatar ya kutafuta suluhu na kurejesha amani nchini Afghanistan. Pande hizo mbili zinakutana mara hii kujadili tofauti zilizopo baina yao ili kuweza kufikia mwafaka.

  • Ahadi mpya za Trump za kuondoa wanajeshi Afghanistan; ahadi chapwa za kiuchaguzi

    Ahadi mpya za Trump za kuondoa wanajeshi Afghanistan; ahadi chapwa za kiuchaguzi

    Oct 09, 2020 10:35

    Uchaguzi wa Rais nchini Marekani unazidi kukaribia huku hali ya kisiasa ya rais wa nchi hiyo, Donald Trump si nzuri mbele ya mpinzani wake Joe Biden. Ikulu ya White House na hasa Trump mwenyewe wanazidi kufanya lolote liwezekanalo, hata kutoa ahadi za maneno tena zenye migongano, ili kuvutia wapiga kura.

  • Serikali ya Afghanistan: Taliban inatumia mbinu ya kupoteza muda katika mazungumzo

    Serikali ya Afghanistan: Taliban inatumia mbinu ya kupoteza muda katika mazungumzo

    Sep 27, 2020 13:41

    Mjumbe wa timu ya wawakilishi wa serikali ya Afghanistan katika mazungumzo ya amani ya Doha amelituhumu kundi la Taliban kuwa linatumia mbinu ya kupoteza muda katika mazungumzo hayo.

  • Abdullah Abdullah: Mazungumzo ya amani na Taliban ni magumu

    Abdullah Abdullah: Mazungumzo ya amani na Taliban ni magumu

    Sep 19, 2020 04:28

    Mkuu wa Baraza la Maslahi ya Taifa la Afghanistan amesema, mazungumzo ya amani baina ya Waafghani wanayofanya wao na kundi la Taliban ni magumu.

  • Mazungumzo ya Wafghani yaendelea Doha, Taliban yakataa ombi la serikali la kusitisha vita

    Mazungumzo ya Wafghani yaendelea Doha, Taliban yakataa ombi la serikali la kusitisha vita

    Sep 17, 2020 13:03

    Msemaji wa ofisi ya kisiasa ya kundi la Taliban nchini Qatar amelikataa ombi la serikali ya Afghanistan la kusitisha vita, wakati pande hizo mbili zinaendelea na mazungumzo ya amani katika mji mkuu wa Qatar, Doha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS