Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Wafungwa waliosalia wa Taliban kuachiwa, mazungumzo ya amani ya Afghanistan kuanza wiki ijayo

    Wafungwa waliosalia wa Taliban kuachiwa, mazungumzo ya amani ya Afghanistan kuanza wiki ijayo

    Aug 28, 2020 11:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Afghanistan imetangaza kuwa, karibuni hivi wafungwa waliosalia wa kundi la Taliban wataachiwa huru.

  • Sisitizo la Taliban la kufanya mazungumzo na serikali na makundi ya Kiafghani

    Sisitizo la Taliban la kufanya mazungumzo na serikali na makundi ya Kiafghani

    Aug 18, 2020 00:27

    Kundi la Taliban nchini Afghanistan limetangaza kuwa mbali na serikali ya Kabul litafanya pia mazungumzo na makundi yote ya Kiafghani.

  • Indhari ya Pompeo kwa Russia na madai ya kuondoka wanajeshi wa Marekani Afghanistan ifikapo Mei 2021

    Indhari ya Pompeo kwa Russia na madai ya kuondoka wanajeshi wa Marekani Afghanistan ifikapo Mei 2021

    Aug 02, 2020 02:23

    Rais Donald Trump wa Marekani ameanzisha rasmi mchakato wa kuondoka wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan kabla ya wakati ulioainishwa awali, kwa kuzingatia ahadi alizotoa wakati wa kampeni za uchaguzi na mapatano iliyofikia Marekani na kundi la Taliban mwezi Februari mwaka huu. Hivi sasa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani anazungumzia kuainishwa wakati wa kukamilisha mchakato huo wa kuwaondoa wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan na wakati huo huo anatoa vitisho kwa Russia.

  • Serikali ya Afghanistan: Taliban katu haitashinda vita wala haitaidhibiti nchi

    Serikali ya Afghanistan: Taliban katu haitashinda vita wala haitaidhibiti nchi

    Jul 31, 2020 02:26

    Makamu wa Pili wa Rais wa Afghanistan amesisitiza kuwa, kundi la Taliban katu halitashinda katika vita vya nchi hiyo.

  • Baadhi ya wanamgambo wa Taliban walioachiwa huru kutoka jela wamerudi tena vitani

    Baadhi ya wanamgambo wa Taliban walioachiwa huru kutoka jela wamerudi tena vitani

    Jul 25, 2020 07:19

    Msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Afghanistan amesema wafungwa kadhaa wanamgambo wa kundi la Taliban ambao wameachiwa huru kutoka jela wamerudi tena kwenye medani za vita vya ndani vya nchi hiyo.

  • Taliban lakubali kwa masharti kuanza mazungumzo ya kutafuta suluhu na amani Afghanistan

    Taliban lakubali kwa masharti kuanza mazungumzo ya kutafuta suluhu na amani Afghanistan

    Jul 24, 2020 07:36

    Kundi la Taliban limetangaza kuwa, liko tayari kwa masharti kuanza mazungumzo ya kutafuta suluhu na amani baina ya Waafghani.

  • Makamanda na wanamgambo 45 wa Taliban wauawa katika shambulio la anga la jeshi la Afghanistan

    Makamanda na wanamgambo 45 wa Taliban wauawa katika shambulio la anga la jeshi la Afghanistan

    Jul 23, 2020 04:17

    Wanachama wasiopungua 45 wa kundi la Taliban wakiwemo makamanda na wanamgambo wa kundi hilo wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na jeshi la Afghanistan katika wilaya ya Adraskan jimboni Herat magharibi mwa nchi hiyo.

  • Araqchi akanusha madai ya kuwepo ofisi ya Taliban nchini Iran

    Araqchi akanusha madai ya kuwepo ofisi ya Taliban nchini Iran

    Jul 19, 2020 14:36

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amekabidhisha vikali madai ya kipropaganda kuwa kundi la wapiganaji wa Taliban la Afghanistan lina ofisi hapa nchini. Sayyid Abbas Araqchi aidha amekanusha vikali uvumi wa uwepo wa kundi la Taliban hapa nchini Iran, kwa jina la "Baraza la Mashhad."

  • Marekani na tuhuma mpya za kuwepo uhusiano kati ya Russia na Taliban

    Marekani na tuhuma mpya za kuwepo uhusiano kati ya Russia na Taliban

    Jul 03, 2020 00:39

    Mwaka 2001 Marekani iliishambulia kijeshi na kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa kutumia kisingizio cha mashambulio ya Septemba 11 yaliyolenga sehemu kadhaa ndani ya ardhi ya Marekani. Wakati rais wa Marekani Donald Trump alipokuwa katika kampeni za uchaguzi wa urais wa mwaka 2016 na hata baada ya kuingia ikulu ya White House aliahidi kuwa atawaondoa askari wa nchi hiyo walioko Afghanistan. Hata hivyo pamoja na ahadi hiyo, askari wengi wa jeshi la Marekani wangaliko katika ardhi ya Afghanistan.

  • Mazungumzo ya kundi la Taliban na wawakilishi wa Marekani na NATO

    Mazungumzo ya kundi la Taliban na wawakilishi wa Marekani na NATO

    Jun 10, 2020 12:46

    Mullah Baradar, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya kundi la Taliban ameonana na Zalmay Khalilzad, mwakilishi maalumu wa Marekani na Jenerali Austin Scott Miller, kamanda wa wanajeshi wa Marekani na NATO nchini Afghanistan. Mazungumzo hayo yamefanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS