-
Matamshi ya Rais wa Marekani kuhusu kufaidika Taliban na uwepo wa askari wa Marekani nchini humo
May 20, 2020 06:52Rais wa Marekani amesema uwepo wa askari wa nchi yake huko Afghanistan ni kwa faida ya Taliban na hivyo kundi hilo halitaki askari wa Marekani waondoke.
-
Taliban yatishia kuendeleza mashambulio ya kijeshi dhidi ya vikosi vya serikali ya Afghanistan
May 15, 2020 07:24Msemaji wa kundi la Taliban ametishia kuwa, kundi hilo litaendeleza mashambulio ya kijeshi dhidi ya askari na taasisi za serikali ya Afghanistan.
-
Ombi la Rais Ashraf Ghani la kutaka Taleban washinikizwe ili wakubali kusitisha vita nchini Afghanistan
May 08, 2020 09:26Katika kikao cha Kundi la Mawasiliano la Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM kilichofanyika kwa njia ya mawasiliano ya intaneti, Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afghanistan ameiomba jumuiya hiyo ilishinikize kundi la Taleban, likubali kusitisha vita nchini humo.
-
Kuwa tayari timu ya Uthabiti na Utangamano kwa ajili ya mazungumzo na Ashraf Ghani
May 06, 2020 04:05Timu ya uchaguzi ya “Uthabiti na Utangamano” inayoongozwa na Abdulllah Abdullah imetangaza kuwa, iko tayari kufanya mazungumzo na Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afghanistan kwa shabaha ya kuzuia kupunguzwa misaada ya kimataifa na kuendesha vita dhidi ya ugaidi.
-
Onyo la Taliban dhidi ya kutoheshimu Marekani makubaliano ya amani
Apr 14, 2020 02:28Kundi la wanamgambo wa Taliban limeonya kuwa, kutoheshimu Marekani hati ya makubaliano ya amani ya Doha Qatar kutakuwa sababu ya kuendelea vita nchini Afghanistan na kwamba, Washington ndio itakayobeba dhima ya hilo.
-
Kutokuwa na irada wanamgambo wa Taliban kwa ajili ya amani nchini Afghanistan
Mar 17, 2020 12:44Baraza la Usalama wa Taifa nchini Afghanistan limetangaza kuwa, kundi la wanamgambo wa Taliban halina irada na azma ya kweli kwa ajili ya kupatikana amani na kudhaminiwa usalama katika nchi hiyo.
-
Agizo la kuachiliwa huru wafungwa wa kundi la wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan
Mar 12, 2020 04:43Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afganistan ametoa amri ya kuachiliwa huru kutoka gerezani wafungwa ambao ni wanachama wa kundi la wanamgambo wa Taliban.
-
Taleban: Madai kwamba tunakusudia kuvunja makubaliano si ya kweli
Mar 08, 2020 11:54Msemaji wa Ofisi ya Kisiasa ya Kundi la Taleban ametupilia mbali ripoti za vyombo vya habari kwamba kundi hilo linakusudia kutofungamana na makubaliano yake na Marekani.
-
Ukosoaji wa Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan kuhusu kutowekwa wazi makubaliano ya Marekani na Taleban
Mar 08, 2020 10:33Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afghanistan amesema kuwa makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marekani na kundi la Taleban hayajulikani vyema.
-
Hatimaye serikali ya Afghanistan na kundi la Taleban zakubaliana kuanza mazungumzo ya amani
Feb 29, 2020 17:15Duru za habari nchini Afghanistan zimearifu kwamba serikali ya Kabul na kundi la Taleban zimekubaliana kuanza mazungumzo ya amani baina yao.