-
Mbowe na viongozi wengine 11 wa Chadema wakamatwa na jeshi la Polisi Tanzania
Jul 21, 2021 03:23Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, Freeman Mbowe na wenzake zaidi ya 10 wanadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza.
-
Waandishi Tanzania watakiwa kutumia vizuri kalamu zao kutatua migogoro + Sauti
Jul 15, 2021 09:07Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kutumia vizuri kalamu zao kwa ajili ya kuimarisha amani na kutatua migogoro katika jamii ikiwemo ya wakati wa uchaguzi. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Majaliwa azichambua siku 100 za Rais Samia, amtaja kuwa ni "kiongozi wa kihistoria"
Jun 27, 2021 10:37Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amechambua utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya siku 100 zilizopita akibainisha kuwa ni "kiongozi wa kihistoria" kutokana na mambo mbalimbali anayoyatekeleza.
-
Rais Samia atahadharisha kuhusu wimbi la tatu la corona, asema limeingia Tanzania
Jun 25, 2021 09:57Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amethibitisha kwamba kuna viashiria vya wimbi la tatu la virusi vya Corona nchini humo.
-
Viongozi wa Uamsho Zanzibar wafutiwa kesi, waanza kuondoka gerezani
Jun 16, 2021 07:56Viongozi 36 wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), wakio gozwa na Sheikh Farid Hadi Ahmed na Mselem Ali Mselem waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya ugaidi, wameachiwa huru.
-
Mwinyi: Zanzibar ipo tayari kupokea chanjo ya COVID-19
Jun 04, 2021 09:40Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali iko tayari kupokea msaada wa chanjo ya COVID -19 na misaada mbalimbali ya kitabibu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO).
-
Rais Samia awatahadharisha Watanzania dhidi ya Corona
Jun 01, 2021 23:55Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuchukua tahadhari za kujikinga na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
-
Samia: Nitaongeza jitihada za kufikia usawa wa kijinsia wa 50/50 katika uongozi Tanzania
May 28, 2021 08:34Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema japo Tanzania bado haijafikia kiwango cha usawa wa kijinsia cha 50/50 katika uongozi, lakini katika kipindi chake atahakikisha anaongeza jitihada za kufikia usawa huo.
-
UN yaiomba Tanzania iwape hifadhi raia wa Msumbiji wa Cabo Delgado wanaokimbia mapigano
May 19, 2021 01:58Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UBHCR limesema lina wasiwasi mkubwa na taarifa zinazoendelea za watu wanaokimbia jimboni Cabo Delgado nchini Msumbiji kurudishwa kwa nguvu baada ya kuvuka mpaka kuelekea nchi jirani ya Tanzania.
-
BAKWATA na Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania zaungana kimsimamo kuhusu Mashekhe wanaosota magerezani
May 15, 2021 09:43Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Ponda Issa Ponda, ameungana na Baraza Kuu la Waislamu nchini humo BAKWATA kutaka kesi zinazowakabili mashekhe ziendeshwe haraka.