Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Zitto Kabwe: Mungu aliamua niingie mahabusu ili nijionee mateso wanayopata wananchi wenzangu Tanzania

    Zitto Kabwe: Mungu aliamua niingie mahabusu ili nijionee mateso wanayopata wananchi wenzangu Tanzania

    Feb 23, 2018 11:48

    Mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini, magharibi mwa Tanzania kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amesema kuwa, inawezekana Mungu aliamua yeye akamatwe jana na polisi na kisha apelekwe mahabusu ili aweze kushuhudia mateso wanayoyapata watu wanaozuiliwa korokoroni kinyume cha sheria.

  • Viongozi wa dini na wanasiasa wapanga kuonana na Rais Magufuli wa Tanzania

    Viongozi wa dini na wanasiasa wapanga kuonana na Rais Magufuli wa Tanzania

    Feb 22, 2018 04:42

    Viongozi wa dini na wanasiasa nchini Tanzania wamekusudia kwenda kumuona Rais John Magufuli wa nchi hiyo kwa ajili ya kuwasilisha pendekezo la kutaka kukamilishwa mchakato wa kupatikana Katiba Mpya.

  • Hali ya kisiasa nchini Tanzania na wito wa asasi za kiraia wa kuundwa tume ya uchunguzi

    Hali ya kisiasa nchini Tanzania na wito wa asasi za kiraia wa kuundwa tume ya uchunguzi

    Feb 22, 2018 04:15

    Licha ya serikali ya awamu ya tano ya Tanzania chini ya Rais John Pombe Magufuli kusifika kwa mapambano yake dhidi ya ufisadi na pia kulinda raslimali ya nchi hiyo, lakini imekuwa ikikosolewa na wapinzani kutokana na miamala yake kuvilenga vyama vya upinzani nchini.

  • Asasi za kiraia Tanzania zataka kuundwa tume ya kuchunguza mauaji

    Asasi za kiraia Tanzania zataka kuundwa tume ya kuchunguza mauaji

    Feb 21, 2018 11:51

    Makundi ya kiraia nchini Tanzania yametoa wito wa kuundwa tume huru ya kuchunguza vifo ambavyo vimekuwa vikitokea nchini humo katika mazingira ya kutatanisha hasa katika siku za hivi karibuni.

  • CCM yatwaa majimbo ya Kinondoni na Siha, askari 6 wakamatwa mauaji ya mwanachuo

    CCM yatwaa majimbo ya Kinondoni na Siha, askari 6 wakamatwa mauaji ya mwanachuo

    Feb 18, 2018 12:15

    Chama cha Mapinduzi (CCM) huko nchini Tanzania kimetangazwa mshindi wa chaguzi ndogo za majimbo ya Siha mkoani Kilimanjaro na Kinondoni jijini Dar es Salaam ambayo kabla ya kujiuzulu wabunge wake yalikuwa mikononi mwa vyama vya upinzani.

  • Uchaguzi mdogo Tanzania wagubikwa na machafuko; CCM yaelekea kushinda

    Uchaguzi mdogo Tanzania wagubikwa na machafuko; CCM yaelekea kushinda

    Feb 17, 2018 13:47

    Polisi nchini Tanzania imethibitisha kuwa mtu mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi katika vurugu zilizohusiana na uchaguzi mdogo wa bunge uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni lililoko katika mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam.

  • Chaguzi ndogo zenye mchuano mkali zafanyika Tanzania

    Chaguzi ndogo zenye mchuano mkali zafanyika Tanzania

    Feb 17, 2018 05:21

    Habari kutoka nchini Tanzania zinasema kuwa zoezi kupiga kura katika chaguzi ndogo za ubunge na udiwani katika baadhi ya maeneo, Tanzania Bara limeanza rasmi asubuhi ya leo Jumamosi tarehe Februari 17, 2018.

  • Tanzania yamkabidhi kiongozi wa waasi wa Kongo DR kwa serikali ya nchi hiyo

    Tanzania yamkabidhi kiongozi wa waasi wa Kongo DR kwa serikali ya nchi hiyo

    Feb 05, 2018 13:08

    John Tshibangu, Kanali mwasi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyetishia kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo Joseph Kabila amehamishwa kutoka Tanzania na kukabidhiwa kwa serikali ya DRC ambako atashtakiwa kwa kufanya uasi.

  • Jitihada za Kudhibiti Homa ya Chikungunya Kenya na Tanzania

    Jitihada za Kudhibiti Homa ya Chikungunya Kenya na Tanzania

    Jan 20, 2018 03:59

    Serikali Kenya na Tanzania ziko mbioni kudhibiti ugonjwa wa Homa ya Chikungunya ambao huambukizwa na mbu aina ya aedes na hauna tiba mahsusi wala kinga.

  • Sakata la meli zinazobeba mihadarati zikiwa na bendera ya TZ, lamlazimu Rais Magufuli kusitisha usajili wa meli

    Sakata la meli zinazobeba mihadarati zikiwa na bendera ya TZ, lamlazimu Rais Magufuli kusitisha usajili wa meli

    Jan 20, 2018 01:16

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ameagiza kusitishwa mara moja usajili wa meli mpya nchini humo kufuatia kukamatwa dawa za kulevya na bidhaa nyingine zilizopigwa marufuku kimataifa ndani ya meli zinazopeperusha bendera ya Tanzania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS