Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania yupo ziarani nchini Iran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania yupo ziarani nchini Iran

    Oct 11, 2017 04:50

    Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa wa Tanzania, Augustine Mahiga yupo nchini Iran kwa safari rasmi ya kikazi.

  • SAUTI, Rais John Magufuli wa Tanzania awaapisha mawaziri na manaibu wao aliowateua hivi karibuni

    SAUTI, Rais John Magufuli wa Tanzania awaapisha mawaziri na manaibu wao aliowateua hivi karibuni

    Oct 09, 2017 13:07

    Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewaapisha mawaziri na Manaibu Waziri ambao wametokana na mabadiliko madogo aliyoyafanya kwenye baraza lake la mawaziri.

  • SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu, ni bomoabomoa itakavyoathiri misikiti TZ, kupuuzwa siku ya Ijumaa Kenya nk ....

    SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu, ni bomoabomoa itakavyoathiri misikiti TZ, kupuuzwa siku ya Ijumaa Kenya nk ....

    Oct 06, 2017 13:11

    Ripoti ya matukio ya Kiislamu kuanzia nchini Tanzania ambapo Waislamu wameonyesha kusikitishwa kutokana na bomoabomoa inayoendelea jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo imekuja baada ya kuwekwa alama ya x kwenye misikiti 16 kwa ajili ya kubomolewa.

  • SAUTI, Familia ya Tundu Lissu yakosoa mwendo wa kinyonga wa polisi Tanzania katika kufuatilia sakata la kupigwa risasi ndugu yao

    SAUTI, Familia ya Tundu Lissu yakosoa mwendo wa kinyonga wa polisi Tanzania katika kufuatilia sakata la kupigwa risasi ndugu yao

    Oct 05, 2017 12:22

    Familia ya mbunge wa Singida mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Upinzani  nchini Tanzania  Tundu  Lissu, imelilalamikia jeshi la polisi la nchi hiyo kutokana na hatua yake ya kuchelewa katika kufanya uchunguzi wa tukio la kupigwa risasi ndugu yao.

  • Waislamu Tanzania washiriki kwenye maombolezo ya Imam Hussein AS

    Waislamu Tanzania washiriki kwenye maombolezo ya Imam Hussein AS

    Sep 27, 2017 00:48

    Waislamu wanajumuika katika Msikiti wa Al Ghadir mjini Dar es Salaam nchini Tanzania kwa ajili ya maombolezo ya kuuawa shahidi Imam Hussein AS katika mwezi wa Muharram.

  • Sauti, Bomoabomoa ya nyumba jijini Dar es Salaam, Tanzania yawaacha wakazi wa jiji hilo na hali ya suitafahamu bila kujua mamlaka husika

    Sauti, Bomoabomoa ya nyumba jijini Dar es Salaam, Tanzania yawaacha wakazi wa jiji hilo na hali ya suitafahamu bila kujua mamlaka husika

    Sep 20, 2017 14:08

    Bomoabomoa ambayo imekuwa ikitekelezwa na uongozi wa jiji la Dar es Salaam, Tanzania umewaacha katika hali ya suitafahamu, wakazi wa jiji hilo.

  • Sauti, Ripoti ya Matukio ya Kiislamu kuanzia Kenya, matukio ya kisiasa Tanzania, kumalizika mwaka 1438 Hijiria na nchini Myanmar

    Sauti, Ripoti ya Matukio ya Kiislamu kuanzia Kenya, matukio ya kisiasa Tanzania, kumalizika mwaka 1438 Hijiria na nchini Myanmar

    Sep 15, 2017 11:50

    Ripoti ya Matukio ya Kiislamu kuanzia sisitizo la Waislamu wa Kenya kuwa kitu kimoja na kujiepusha kununuliwa na wanasiasa katika kipindi hiki muhimu kuelekea uchaguzi wa marudio wa tarehe 17 Oktoba.

  • Tanzania na Kenya kufanya mazungumzo ya biashara Novemba

    Tanzania na Kenya kufanya mazungumzo ya biashara Novemba

    Sep 13, 2017 03:20

    Kenya na Tanzania zitafanya mazungumzo mwezi Novemba ili kuimarisha biashara kati ya pande hizo mbili.

  • SAUTI, Mashirika ya haki za binaadamu 102 nchini Tanzania yamelaani vitendo vya utumiaji mabavu, uhalifu na utekaji nyara watu

    SAUTI, Mashirika ya haki za binaadamu 102 nchini Tanzania yamelaani vitendo vya utumiaji mabavu, uhalifu na utekaji nyara watu

    Sep 12, 2017 13:47

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kwa kushirikiana na mashirika mengine 102 ya utetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania yamelaani vitendo vya uhalifu vinavyoendelea kama shambulizi la risasi kwa viongozi mbalimbali, pamoja na matukio ya utekaji nyara wa watu.

  • Tanzania: Tuna mahindi ya ziada, tutaanza kuuza Kongo DR na Sudan Kusini

    Tanzania: Tuna mahindi ya ziada, tutaanza kuuza Kongo DR na Sudan Kusini

    Sep 10, 2017 03:02

    Serikali ya Tanzania imesema mazungumzo yanaendelea ili nchi hiyo ya Afrika Mashariki ianze kuuza mahindi kwenye Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS