-
Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tanzania, apigwa risasi na watu wasiojulikana
Sep 07, 2017 09:43Mbunge wa Singida Mashariki, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu amevamiwa na watu wasiojulikana na kupigwa risasi kadhaa.
-
Wakimbizi 300 waanza kurejea Burundi kutoka Tanzania
Sep 07, 2017 03:16Awamu ya kwanza ya wakimbizi wa Burundi wanaorejea kwa hiari kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao leo.
-
Rais wa Tanzania asitisha zoezi la bomoa bomoa ya nyumba zaidi ya elfu 17
Aug 30, 2017 13:51Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amesitisha zoezi la bomoa bomoa ya nyumba zaidi ya elfu kumi na saba (17, 000) zilizotangazwa kubomolewa na Baraza la Hifadhi ya Mazingira (NEMC).
-
UN: Msaada wa chakula unahitajika kwa ajili ya wakimbizi nchini Tanzania
Aug 27, 2017 10:12Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umesema umepunguza mgawo wa chakula kwa wakimbizi 320,000 wanaoishi kaskazini magharibi mwa Tanzania kutokana na kupungua misaada ya kifedha.
-
Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani
Aug 04, 2017 22:11Maspika wa mabunge ya Tanzania na Madagascar na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wamekutana na kufanya mazungumzo katika nyakati tofauti na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ugonjwa wa Hepatitis B unaongoza kwa kuuwa Watanzania kuliko Ukimwi
Jul 28, 2017 09:38Serikali ya Tanzania imesema kuwa, maambukizi ya ugonjwa wa Homa ya Ini au Hepatitis B, yameongezeka mara mbili yakilinganishwa na Virusi vya Ukimwi HIV nchini humo.
-
Marais wa Tanzania na Burundi wawataka Warundi kurudi kwao, wasema kuna amani
Jul 20, 2017 23:01Marais John Pombe Magufuli wa Tanzania na Pierre Nkurunziza wa Burundi kwa pamoja wamewataka raia wa Burundi waliokimbilia Tanzania, kurudi kwao kwa hiari. Marais hao yametoa kauli hiyo Alkhamisi ya jana mji wa Ngara, mkoa wa Kagera nchini Tanzania.
-
Tanzania yakanusha kupendelea upinzani katika uchaguzi wa Kenya
Jul 18, 2017 11:31Serikali ya Tanzania imekanusha madai ya kuunga mkono muungano wa upinzani nchini Kenya katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 8.
-
Mkuu wa Polisi Tanzania kuzungumzia mauaji ya mkoani Pwani
Jul 05, 2017 10:05Inspekta Jenerali wa Polisi Tanzania, Simon Sirro amesema hivi karibuni atazungumza kuhusu suala la mauaji yanayotokea mkoani Pwani.
-
SAUTI, Wanachama wa CUF wanaomuunga mkono Profesa Lipumba wamefurahishwa na ufutaji kesi wa jana
Jun 22, 2017 11:46Wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF wanaomuunga mkono Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa zamani wa chama aliyevuliwa nafasi hiyo na katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Hamad, wameonyesha kufurahishwa na uamuzi wa kufuta kesi zote uliofanywa jana.