-
Tanzania na Kenya kufanya mazungumzo ya biashara Novemba
Sep 13, 2017 03:20Kenya na Tanzania zitafanya mazungumzo mwezi Novemba ili kuimarisha biashara kati ya pande hizo mbili.
-
SAUTI, Mashirika ya haki za binaadamu 102 nchini Tanzania yamelaani vitendo vya utumiaji mabavu, uhalifu na utekaji nyara watu
Sep 12, 2017 13:47Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kwa kushirikiana na mashirika mengine 102 ya utetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania yamelaani vitendo vya uhalifu vinavyoendelea kama shambulizi la risasi kwa viongozi mbalimbali, pamoja na matukio ya utekaji nyara wa watu.
-
Tanzania: Tuna mahindi ya ziada, tutaanza kuuza Kongo DR na Sudan Kusini
Sep 10, 2017 03:02Serikali ya Tanzania imesema mazungumzo yanaendelea ili nchi hiyo ya Afrika Mashariki ianze kuuza mahindi kwenye Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Sudan Kusini.
-
Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tanzania, apigwa risasi na watu wasiojulikana
Sep 07, 2017 09:43Mbunge wa Singida Mashariki, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu amevamiwa na watu wasiojulikana na kupigwa risasi kadhaa.
-
Wakimbizi 300 waanza kurejea Burundi kutoka Tanzania
Sep 07, 2017 03:16Awamu ya kwanza ya wakimbizi wa Burundi wanaorejea kwa hiari kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao leo.
-
Rais wa Tanzania asitisha zoezi la bomoa bomoa ya nyumba zaidi ya elfu 17
Aug 30, 2017 13:51Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amesitisha zoezi la bomoa bomoa ya nyumba zaidi ya elfu kumi na saba (17, 000) zilizotangazwa kubomolewa na Baraza la Hifadhi ya Mazingira (NEMC).
-
UN: Msaada wa chakula unahitajika kwa ajili ya wakimbizi nchini Tanzania
Aug 27, 2017 10:12Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umesema umepunguza mgawo wa chakula kwa wakimbizi 320,000 wanaoishi kaskazini magharibi mwa Tanzania kutokana na kupungua misaada ya kifedha.
-
Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani
Aug 04, 2017 22:11Maspika wa mabunge ya Tanzania na Madagascar na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wamekutana na kufanya mazungumzo katika nyakati tofauti na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ugonjwa wa Hepatitis B unaongoza kwa kuuwa Watanzania kuliko Ukimwi
Jul 28, 2017 09:38Serikali ya Tanzania imesema kuwa, maambukizi ya ugonjwa wa Homa ya Ini au Hepatitis B, yameongezeka mara mbili yakilinganishwa na Virusi vya Ukimwi HIV nchini humo.
-
Marais wa Tanzania na Burundi wawataka Warundi kurudi kwao, wasema kuna amani
Jul 20, 2017 23:01Marais John Pombe Magufuli wa Tanzania na Pierre Nkurunziza wa Burundi kwa pamoja wamewataka raia wa Burundi waliokimbilia Tanzania, kurudi kwao kwa hiari. Marais hao yametoa kauli hiyo Alkhamisi ya jana mji wa Ngara, mkoa wa Kagera nchini Tanzania.