-
SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia mashindano ya Qur'an Tanzania na ubaguzi wa kidini huko Kenya
Jun 16, 2017 13:37Ni ripoti ya matukio ya Kiislamu yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ambayo imeandaliwa na mwandishi wetu wa visiwani Zanzibar, Hassan Issa Ali.
-
Sakata la Mbunge John Mnyika kutupwa nje ya Bunge Tanzania
Jun 03, 2017 05:36Wabunge nchini Tanzania wameelezea kutofurahishwa na kitendo cha Spika wa Bunge la nchi hiyo Job Ndugai cha kumtoa kwa nguvu mbunge wa upinzani John Mnyika (CHADEMA) na kusema kuwa vitendo hivyo ni unyanyasaji dhidi ya wabunge wa upinzani na ni kuwapendelea wabunge wa chama tawala CCM. Mwandishi wa Radio Tehran na maelezo zaidi...
-
IGP mpya wa Tanzania aahidi kuzima mauaji Kibiti
May 31, 2017 12:41Awapa tahadhari wanaojihusisha na mauaji hayo kuwa chuma chao ki-motoni.
-
Rais wa Tanzania amfuta kazi waziri Muhongo
May 24, 2017 09:55Rais John Magufuli wa Tanzania ametangaza kumfuta kazi Waziri wa Nishati na Madini wa nchi hiyo, Sospeter Muhongo kutokana na kuhusika katika kashfa ya mchanga wa dhahabu uliokuwa unasafirishwa nje ya Tanzania.
-
EU yakataa ombi la Museveni na Magufuli la kuiondolea vikwazo Burundi
May 21, 2017 23:54Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania amekataa ombi la marais wa Tanzania na Uganda la kuutaka umoja huo uifutie vikwazo Burundi.
-
Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini awasili Tanzania kwa ziara rasmi
May 11, 2017 00:16Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, aliwasili nchini Tanzania jioni ya jana kwa ziara ya kikazi.
-
Ajali mbaya yaua wanafunzi 32 na walimu wao mjini Arusha Tanzania
May 06, 2017 08:08Polisi ya Tanzania imetangaza kutokea ajali mbaya iliyosababisha jumla ya wanafunzi 29, walimu wawili na dereva mmoja kufariki dunia.
-
SAUTI: Maalim Seif azungumzia miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
May 02, 2017 12:13CUF yakosoa Muungano wa Tanzania
-
Iran na Tanzania kuimarisha uhusiano wao katika uwekezaji wa nishati
Apr 29, 2017 11:33Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Tanzania zimekusudia kuimarisha uhusiano baina yao katika sekta ya uwekezaji wa nishati.
-
Polisi Tanzania yaanzisha operesheni maalum baada ya kuuawa polisi 8
Apr 15, 2017 03:15Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amelaani mauaji ya askari polisi wanane wa nchi hiyo waliouawa kwa kushambuliwa na watu wenye silaha siku ya Alhamisi katika eneo la Jaribu Mpakani, Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani nchini humo, huku polisi ikianzisha operesheni maalumu kufuatia mauaji hayo.