-
SAUTI, Viongozi wa serikali ya awamu ya Tano Tanzania watakiwa kuweka kando tofauti zao ili kuliletea taifa maendeleo
Apr 10, 2017 00:15Viongozi wa serikali nchini Tanzania wametakiwa kuelewa umuhimu wa kuzingatia dhana ya uongozi bora ambayo ndio msingi wa maendeleo ili kufanikiwa kikamilifu katika mipango ya serikali kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kati.
-
UNICEF: Watoto 269 walio chini ya miaka mitano hufariki dunia kila siku Tanzania
Apr 07, 2017 10:05Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limesema kuwa, jumla ya watoto 269 wenye umri wa chini ya miaka mitano hufariki dunia kila siku nchini Tanzania.
-
Ethiopia kuipa Tanzania umeme wa bei nafuu, kutumia bandari ya Dar es Salaam
Apr 02, 2017 03:44Tanzania na Ethiopia zimetiliana saini mikataba kadhaa ya ushirikiano wa kiuchumi na biashara na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa pande mbili.
-
Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania
Mar 31, 2017 10:33Mahakama ya Leba nchini Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuwaajiri mamia ya madaktari kutoka nchi jirani ya Tanzania.
-
SAUTI: Sintofahamu yaendelea kugubika Tanzania baada ya hatua ya Rais Magufuli wa Tanzania kumpiga kalamu nyekundu Waziri Nape Nnauye
Mar 23, 2017 13:41Baada ya uteuzi wa mawaziri wapya katika Baraza la Mawaziri uliofanywa na Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ikiambatana na kumpiga kalamu nyekundu kwenye baraza hilo Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye, uteuzi huo umetafsiriwa kwa hisia tofauti na Watanzania.
-
Rais wa Tanzania amfuta kazi Nape Nnauye
Mar 23, 2017 03:31Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania leo Alkhamisi amefanya mabadiliko mengine katika Baraza la Mawaziri.
-
Tanzania kupeleka madaktari 500 Kenya kusaidia kukabiliana na mgomo
Mar 18, 2017 12:32Tanzania itapeleka madaktari 500 Kenya kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na athari za mgomo wa madaktari unaoendelea katika hospitali za umma.
-
Iran yakaribishwa kuwekeza katika usindikaji bidhaa Tanzania
Mar 18, 2017 12:20Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeikaribisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwekeza katika sekta ya viwanda nchini humo, hususan katika viwanda vya kusindika bidhaa.
-
SAUTI: Ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia mazishi ya mama yake rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete na masuala mengine ya Kiislamu
Mar 10, 2017 15:03Wiki hii rais mtaafu wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete alifiwa na mama yake mlezi.
-
SADC: Burundi imalize mgogoro wa kisiasa ili ipewe uanachama
Feb 28, 2017 03:51Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC imeitaka Burundi kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili kwa sasa, iwapo inataka kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo ya kikanda.