Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • SAUTI, Viongozi wa serikali ya awamu ya Tano Tanzania watakiwa kuweka kando tofauti zao ili kuliletea taifa maendeleo

    SAUTI, Viongozi wa serikali ya awamu ya Tano Tanzania watakiwa kuweka kando tofauti zao ili kuliletea taifa maendeleo

    Apr 10, 2017 00:15

    Viongozi wa serikali nchini Tanzania wametakiwa kuelewa umuhimu wa kuzingatia dhana ya uongozi bora ambayo ndio msingi wa maendeleo ili kufanikiwa kikamilifu katika mipango ya serikali kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kati.

  • UNICEF: Watoto 269 walio chini ya miaka mitano hufariki dunia kila siku Tanzania

    UNICEF: Watoto 269 walio chini ya miaka mitano hufariki dunia kila siku Tanzania

    Apr 07, 2017 10:05

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limesema kuwa, jumla ya watoto 269 wenye umri wa chini ya miaka mitano hufariki dunia kila siku nchini Tanzania.

  • Ethiopia kuipa Tanzania umeme wa bei nafuu, kutumia bandari ya Dar es Salaam

    Ethiopia kuipa Tanzania umeme wa bei nafuu, kutumia bandari ya Dar es Salaam

    Apr 02, 2017 03:44

    Tanzania na Ethiopia zimetiliana saini mikataba kadhaa ya ushirikiano wa kiuchumi na biashara na kuahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wa pande mbili.

  • Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania

    Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania

    Mar 31, 2017 10:33

    Mahakama ya Leba nchini Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuwaajiri mamia ya madaktari kutoka nchi jirani ya Tanzania.

  • SAUTI: Sintofahamu yaendelea kugubika Tanzania baada ya hatua ya Rais Magufuli wa Tanzania kumpiga kalamu nyekundu Waziri Nape Nnauye

    SAUTI: Sintofahamu yaendelea kugubika Tanzania baada ya hatua ya Rais Magufuli wa Tanzania kumpiga kalamu nyekundu Waziri Nape Nnauye

    Mar 23, 2017 13:41

    Baada ya uteuzi wa mawaziri wapya katika Baraza la Mawaziri uliofanywa na Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ikiambatana na kumpiga kalamu nyekundu kwenye baraza hilo Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye, uteuzi huo umetafsiriwa kwa hisia tofauti na Watanzania.

  • Rais wa Tanzania amfuta kazi Nape Nnauye

    Rais wa Tanzania amfuta kazi Nape Nnauye

    Mar 23, 2017 03:31

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania leo Alkhamisi amefanya mabadiliko mengine katika Baraza la Mawaziri.

  • Tanzania kupeleka madaktari 500 Kenya kusaidia kukabiliana na mgomo

    Tanzania kupeleka madaktari 500 Kenya kusaidia kukabiliana na mgomo

    Mar 18, 2017 12:32

    Tanzania itapeleka madaktari 500 Kenya kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na athari za mgomo wa madaktari unaoendelea katika hospitali za umma.

  • Iran yakaribishwa kuwekeza katika usindikaji bidhaa Tanzania

    Iran yakaribishwa kuwekeza katika usindikaji bidhaa Tanzania

    Mar 18, 2017 12:20

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeikaribisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwekeza katika sekta ya viwanda nchini humo, hususan katika viwanda vya kusindika bidhaa.

  • SAUTI: Ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia mazishi ya mama yake rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete na masuala mengine ya Kiislamu

    SAUTI: Ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia mazishi ya mama yake rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete na masuala mengine ya Kiislamu

    Mar 10, 2017 15:03

    Wiki hii rais mtaafu wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete alifiwa na mama yake mlezi.

  • SADC: Burundi imalize mgogoro wa kisiasa ili ipewe uanachama

    SADC: Burundi imalize mgogoro wa kisiasa ili ipewe uanachama

    Feb 28, 2017 03:51

    Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC imeitaka Burundi kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili kwa sasa, iwapo inataka kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo ya kikanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS