-
Ombi la Burundi kwa serikali ya Tanzania la kuwakamata wapinzani wake
Feb 19, 2017 23:20Katika hali ambayo juhudi za kuondokana na mgogoro wa kisiasa nchini Burundi bado zinaendelea, serikali ya Bujumbura imeiomba Tanzania kuwatia mbaroni wapinzani wake ambao wanaosakwa na mahakama za nchi hiyo, ambao kwa hivi sasa wako kaskazini mwa Tanzania.
-
Burundi yaitaka serikali ya Tanzania iwatie mbaroni wapinzani
Feb 18, 2017 23:12Serikali ya Burundi imeitaka Tanzania iwatie mbaroni wapinzani hao ambao wanashiriki kikao cha mazungumzo ya amani huko kaskazini mwa Tanzania huku wakiwa wanatafutwa na mahakama ya nchi hiyo kwa kuhusika na mapinduzi yaliyofeli.
-
Serikali ya Burundi kutoshiriki mazungumzo ya amani, Tanzania
Feb 16, 2017 04:30Serikali ya Burundi imesema haitoshiriki katika mazungumzo ya kujaribu kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo yanayotazamiwa kuanza hii leo nchini Tanzania.
-
Mabaharia wa Iran waachiwa huru Tanzania, wanarejea leo nchini
Feb 14, 2017 10:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mabaharia wa Kiirani waliokuwa wameingia kikakosa katika maji ya Tanzania na kutiwa nguvuni, wameachiwa huru.
-
Viongozi wa Kiislamu Tanzania waunga mkono vita dhidi ya mihadarati
Feb 10, 2017 04:37Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania Alhad Mussa Salum amesema dawa za kulevya zinateketeza nguvukazi ya taifa, jambo ambalo halipaswi kuachwa liendelee kumea.
-
Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza
Feb 07, 2017 11:35Rais Peter Mutharika wa Malawi amesema duru mpya ya mazungumzo ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa mpaka wa nchi hiyo na jirani yake, Tanzania itaanza karibuni hivi.
-
Tanzania: Wakati mwingine polisi wasio waaminifu wanachangia kukwamisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Feb 02, 2017 18:52Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania Poul Makonda amesema kuwa, wakati mwingine juhudi za kupambana na janga la madawa ya kulevya, zinakwamishwa na maafisa wa polisi wasio waaminifu.
-
Kongamano la wafuasi wa dini kuishi kwa masikilizano lafanyika UDSM, Tanzania
Feb 01, 2017 13:07Kongamano la wafuasi wa dini mbalimbali kuishi kwa masikilizano na utumiaji wa akili na mantiki kwa mtazamo wa mafundisho ya Imam Ridha (as) limefanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania.
-
Iran na Zanzibar kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Jan 24, 2017 04:47Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Utalii wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar nchini Tanzania amesema kutangazwa Mash'had kaskazini mashariki mwa Iran kuwa mji mkuu wa kiutamaduni wa ulimwengu wa Kiislamu utaandaa mazingira ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zanzibar.
-
Rais wa Uturuki yuko Tanzania, asaini mikataba kadhaa ya maelewano
Jan 24, 2017 04:07Rais wa Uturuki yuko nchini Tanzania katika ziara rasmi ya kiserikali inayopania kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyanja tofauti.