Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Ombi la Burundi kwa serikali ya Tanzania la kuwakamata wapinzani wake

    Ombi la Burundi kwa serikali ya Tanzania la kuwakamata wapinzani wake

    Feb 19, 2017 23:20

    Katika hali ambayo juhudi za kuondokana na mgogoro wa kisiasa nchini Burundi bado zinaendelea, serikali ya Bujumbura imeiomba Tanzania kuwatia mbaroni wapinzani wake ambao wanaosakwa na mahakama za nchi hiyo, ambao kwa hivi sasa wako kaskazini mwa Tanzania.

  • Burundi yaitaka serikali ya Tanzania iwatie mbaroni wapinzani

    Burundi yaitaka serikali ya Tanzania iwatie mbaroni wapinzani

    Feb 18, 2017 23:12

    Serikali ya Burundi imeitaka Tanzania iwatie mbaroni wapinzani hao ambao wanashiriki kikao cha mazungumzo ya amani huko kaskazini mwa Tanzania huku wakiwa wanatafutwa na mahakama ya nchi hiyo kwa kuhusika na mapinduzi yaliyofeli.

  • Serikali ya Burundi kutoshiriki mazungumzo ya amani, Tanzania

    Serikali ya Burundi kutoshiriki mazungumzo ya amani, Tanzania

    Feb 16, 2017 04:30

    Serikali ya Burundi imesema haitoshiriki katika mazungumzo ya kujaribu kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo yanayotazamiwa kuanza hii leo nchini Tanzania.

  • Mabaharia wa Iran waachiwa huru Tanzania, wanarejea leo nchini

    Mabaharia wa Iran waachiwa huru Tanzania, wanarejea leo nchini

    Feb 14, 2017 10:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mabaharia wa Kiirani waliokuwa wameingia kikakosa katika maji ya Tanzania na kutiwa nguvuni, wameachiwa huru.

  • Viongozi wa Kiislamu Tanzania waunga mkono vita dhidi ya mihadarati

    Viongozi wa Kiislamu Tanzania waunga mkono vita dhidi ya mihadarati

    Feb 10, 2017 04:37

    Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania Alhad Mussa Salum amesema dawa za kulevya zinateketeza nguvukazi ya taifa, jambo ambalo halipaswi kuachwa liendelee kumea.

  • Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza

    Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza

    Feb 07, 2017 11:35

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amesema duru mpya ya mazungumzo ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa mpaka wa nchi hiyo na jirani yake, Tanzania itaanza karibuni hivi.

  • Tanzania: Wakati mwingine polisi wasio waaminifu wanachangia kukwamisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya

    Tanzania: Wakati mwingine polisi wasio waaminifu wanachangia kukwamisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya

    Feb 02, 2017 18:52

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania Poul Makonda amesema kuwa, wakati mwingine juhudi za kupambana na janga la madawa ya kulevya, zinakwamishwa na maafisa wa polisi wasio waaminifu.

  • Kongamano la wafuasi wa dini kuishi kwa masikilizano lafanyika UDSM, Tanzania

    Kongamano la wafuasi wa dini kuishi kwa masikilizano lafanyika UDSM, Tanzania

    Feb 01, 2017 13:07

    Kongamano la wafuasi wa dini mbalimbali kuishi kwa masikilizano na utumiaji wa akili na mantiki kwa mtazamo wa mafundisho ya Imam Ridha (as) limefanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania.

  • Iran na Zanzibar kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Iran na Zanzibar kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Jan 24, 2017 04:47

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Utalii wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar nchini Tanzania amesema kutangazwa Mash'had kaskazini mashariki mwa Iran kuwa mji mkuu wa kiutamaduni wa ulimwengu wa Kiislamu utaandaa mazingira ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zanzibar.

  • Rais wa Uturuki yuko Tanzania, asaini mikataba kadhaa ya maelewano

    Rais wa Uturuki yuko Tanzania, asaini mikataba kadhaa ya maelewano

    Jan 24, 2017 04:07

    Rais wa Uturuki yuko nchini Tanzania katika ziara rasmi ya kiserikali inayopania kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyanja tofauti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS