IGP mpya wa Tanzania aahidi kuzima mauaji Kibiti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i29860-igp_mpya_wa_tanzania_aahidi_kuzima_mauaji_kibiti
Awapa tahadhari wanaojihusisha na mauaji hayo kuwa chuma chao ki-motoni.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
May 31, 2017 12:41 UTC

Awapa tahadhari wanaojihusisha na mauaji hayo kuwa chuma chao ki-motoni.

Baada ya kushamiri kwa kipindi kirefu mauaji ya viongozi wa serikali, polisi na raia, katika maeneo ya mkoa wa  pwani nchini Tanzania bila kupatikana ufumbuzi, hatimae hii leo jeshi la polisi nchini humo kupitia kwa mkuu mpya wa  jeshi hilo IGP SIMON SIRRO limeweka bayana kuwa litafanya kila liwezalo kuhakikisha linawatia nguvuni wanaohusika na mauaji hayo ya mfululizo.

Kwa taarifa zaidi tujiunge na na mwandishi wetu wa Dar, OMAR MANJI