Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Kesi ya kinara wa upinzani Tanzania yaendelea kusikilizwa leo

    Kesi ya kinara wa upinzani Tanzania yaendelea kusikilizwa leo

    Apr 28, 2025 08:04

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Tanzania, hii leo inaendelea kusikiliza kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo Chadema, Tundu Lissu.

  • CHADEMA yataka Lissu aruhusiwe kuonana na mawakili, jamaa zake

    CHADEMA yataka Lissu aruhusiwe kuonana na mawakili, jamaa zake

    Apr 19, 2025 06:30

    Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA kimevitaka vyombo vya dola vimruhusu Mwenyekiti Taifa wa chama hicho, Tundu Lissu kuonana na mawakili na jamaa zake.

  • Asasi za kiraia, wapinzani Tanzania walaani kukamatwa Tundu Lissu

    Asasi za kiraia, wapinzani Tanzania walaani kukamatwa Tundu Lissu

    Apr 11, 2025 12:32

    Mashirika ya kiraia, vyama vya upinzani na asasi za kutetea haki za binadamu nchini Tanzania zimekosoa vikali hatua ya kukamatwa na kushtakiwa Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo CHADEMA.

  • Tanzania yatangaza kumalizika mlipuko wa Marburg

    Tanzania yatangaza kumalizika mlipuko wa Marburg

    Mar 14, 2025 02:29

    Tanzania jana Alkhamisi ilitangaza mwisho wa mlipuko wa virusi vya Marburg, kwani hakuna kesi yoyote mpya iliyoripotiwa nchini humo katika kipindi cha siku 42.

  • Shura ya Maimamu Tanzania yakaribisha kuachiwa huru Masheikh 12

    Shura ya Maimamu Tanzania yakaribisha kuachiwa huru Masheikh 12

    Mar 05, 2025 13:42

    Shura ya Maimamu Tanzania imepokea kwa mikono miwili uamuzi wa mahakama wa kuwaachia huru Masheikh 12 waliokaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa tuhuma za ugaidi. Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Mheshimiwa Arnold John Kirekiano.

  • Mufti wa Tanzania apongeza uamuzi wa Iran wa kuanzisha Akademia ya Qur'ani Dar Es Salaam

    Mufti wa Tanzania apongeza uamuzi wa Iran wa kuanzisha Akademia ya Qur'ani Dar Es Salaam

    Dec 06, 2024 03:19

    Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uamuzi wake wa kuanzisha Akademia ya Qur'ani ya Dar al-Nur na kuahidi kutoa ushirikiano unaohitajika katika uwanja huo.

  • Siku ya Utamaduni wa Washirazi yaadhimishwa nchini Tanzania

    Siku ya Utamaduni wa Washirazi yaadhimishwa nchini Tanzania

    Nov 19, 2024 11:12

    Balozi wa Iran nchini Tanzania ameshiriki katika Siku ya Utamaduni wa Washirazi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ili kuzidi kutia nguvu uhusiano wa kiudugu ulipo baina ya Iran na Tanzania.

  • Rais Samia: Tumepoteza wenzetu 13 Kariakoo

    Rais Samia: Tumepoteza wenzetu 13 Kariakoo

    Nov 18, 2024 03:30

    Watu 13 wamethibitika kufariki dunia na wengine 84 kujeruhiwa kufuatia ajali ya kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo mkoani Dar es Salaam, iliyotokea juzi Jumamosi Novemba 16.

  • Waislamu wa Tanzania wamkumbuka na kumuenzi Sayyid Hassan Nasrullah

    Waislamu wa Tanzania wamkumbuka na kumuenzi Sayyid Hassan Nasrullah

    Nov 14, 2024 11:27

    Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Tanzania wamefanya kumbukumbu ya Arubaini ya Sayyid Hassan Nasrullah aliyekuwa Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi

    Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi

    Oct 29, 2024 07:55

    Makamu wa Rais wa Iran anayehusika na Masuala ya Wanawake na Familia ametangaza kuwa kikao cha tano cha Kamisheni ya pamoja ya Iran na Tanzania kimefanyika kwa kushirikisha wanawake wengi na kwa lengo la kupanua uhusiano wa kiuchumi, kibiashara, kijamii na kiutamaduni kati ya nchi hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS