-
Kesi ya kinara wa upinzani Tanzania yaendelea kusikilizwa leo
Apr 28, 2025 08:04Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Tanzania, hii leo inaendelea kusikiliza kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo Chadema, Tundu Lissu.
-
CHADEMA yataka Lissu aruhusiwe kuonana na mawakili, jamaa zake
Apr 19, 2025 06:30Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA kimevitaka vyombo vya dola vimruhusu Mwenyekiti Taifa wa chama hicho, Tundu Lissu kuonana na mawakili na jamaa zake.
-
Asasi za kiraia, wapinzani Tanzania walaani kukamatwa Tundu Lissu
Apr 11, 2025 12:32Mashirika ya kiraia, vyama vya upinzani na asasi za kutetea haki za binadamu nchini Tanzania zimekosoa vikali hatua ya kukamatwa na kushtakiwa Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo CHADEMA.
-
Tanzania yatangaza kumalizika mlipuko wa Marburg
Mar 14, 2025 02:29Tanzania jana Alkhamisi ilitangaza mwisho wa mlipuko wa virusi vya Marburg, kwani hakuna kesi yoyote mpya iliyoripotiwa nchini humo katika kipindi cha siku 42.
-
Shura ya Maimamu Tanzania yakaribisha kuachiwa huru Masheikh 12
Mar 05, 2025 13:42Shura ya Maimamu Tanzania imepokea kwa mikono miwili uamuzi wa mahakama wa kuwaachia huru Masheikh 12 waliokaa gerezani miaka 10, (2015-2025), kwa tuhuma za ugaidi. Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Mheshimiwa Arnold John Kirekiano.
-
Mufti wa Tanzania apongeza uamuzi wa Iran wa kuanzisha Akademia ya Qur'ani Dar Es Salaam
Dec 06, 2024 03:19Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uamuzi wake wa kuanzisha Akademia ya Qur'ani ya Dar al-Nur na kuahidi kutoa ushirikiano unaohitajika katika uwanja huo.
-
Siku ya Utamaduni wa Washirazi yaadhimishwa nchini Tanzania
Nov 19, 2024 11:12Balozi wa Iran nchini Tanzania ameshiriki katika Siku ya Utamaduni wa Washirazi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ili kuzidi kutia nguvu uhusiano wa kiudugu ulipo baina ya Iran na Tanzania.
-
Rais Samia: Tumepoteza wenzetu 13 Kariakoo
Nov 18, 2024 03:30Watu 13 wamethibitika kufariki dunia na wengine 84 kujeruhiwa kufuatia ajali ya kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo mkoani Dar es Salaam, iliyotokea juzi Jumamosi Novemba 16.
-
Waislamu wa Tanzania wamkumbuka na kumuenzi Sayyid Hassan Nasrullah
Nov 14, 2024 11:27Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Tanzania wamefanya kumbukumbu ya Arubaini ya Sayyid Hassan Nasrullah aliyekuwa Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi
Oct 29, 2024 07:55Makamu wa Rais wa Iran anayehusika na Masuala ya Wanawake na Familia ametangaza kuwa kikao cha tano cha Kamisheni ya pamoja ya Iran na Tanzania kimefanyika kwa kushirikisha wanawake wengi na kwa lengo la kupanua uhusiano wa kiuchumi, kibiashara, kijamii na kiutamaduni kati ya nchi hizo mbili.