-
Watu 145 washtakiwa kwa uhaini wakidaiwa kuhusika katika maandamano ya vurugu Tanzania
Nov 08, 2025 04:07Waendesha mashtaka nchini Tanzania jana Ijumaa wamewashtaki takriban watu 145 kwa kosa la uhaini madai ya kuhusika katika maandamano ya vurugu yaliyozuka wakati wa uchaguzi wa rais na bunge wiki iliyopita.kulingana na faili za mahakama zilizoonekana na Reuters.
-
Kenya yataka majibu kwa Tanzania kuhusu raia wake waliokumbwa na misukosuko ya baada ya uchaguzi
Nov 07, 2025 11:51Kenya imeitaka Tanzania itoe majibu kuhusu hali ya raia wake waliojipata kwenye mzozo wa baada ya uchaguzi, huku ikishinikiza serikali ya nchi hiyo ihakikishe usalama wao na kuchukua hatua dhidi ya ukiukaji wa haki zao.
-
Waangalizi wa AU: Uchaguzi wa Tanzania haukukidhi viwango vya kimataifa
Nov 06, 2025 11:12Ujumbe wa waangalizi wa Umoja wa Afrika katika uchaguzi mkuu wa wiki iliyopita nchini Tanzania uliogubikwa na ghasia umeeleza kuwa uchaguzi huo haukukidhi viwango vya kimataifa vya kidemokrasia.
-
Wananchi wa Tanzania wanaendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi
Oct 30, 2025 13:01Wananchi wa Tanzania wanaendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana Jumatano na kutawaliwa na maandamano ya hapa na pale huku hali ya mambo ikianza kurejea katika hali ya kawaida.
-
Serikali ya Tanzania yatakiwa itoe taarifa kuhusu aliko Polepole
Oct 07, 2025 06:09Wanaharakati na mawakili nchini Tanzania wametoa wito kwa mamlaka za usalama nchini humo kutumia rasilimali zote kuhakikisha hali ya usalama wa Balozi mstaafu Humphrey Polepole inafahamika na kuwekwa wazi kwa umma, kufuatia taarifa zinazosambaa zikidai kuwa mwanasiasa huyo ametekwa.
-
Kenya yawahakikishia raia wake wanaofanya biashara Tanzania: Hamtaguswa na agizo jipya la leseni
Oct 03, 2025 10:35Serikali ya Kenya imewahakikishia raia wake wanaofanya biashara nchini Tanzania kwamba hawataguswa na agizo jipya la leseni lililotolewa hivi karibuni na serikali ya Tanzania.
-
Tanzania yatilia mkazo katika mkutano wa UNGA dai la Afrika kuwa na viti viwili vya kudumu katika UNSC
Sep 27, 2025 02:24Makamu wa Rais wa Tanzania Philip Mpango amesisitiza msimamo wa muda mrefu wa bara la Afrika wa kudai kuwa na angalau viti viwili vya kudumu vyenye kura ya turufu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kwa mujibu wa Makubaliano ya Ezulwini.
-
Majaliwa: Rais Samia anatambua mchango wa madhehebu ya dini katika kuendeleza maarifa
Sep 21, 2025 06:51Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa amesema kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini likiwemo Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) na wadau wote wa elimu katika kuimarisha maadili, kuendeleza maarifa na kuleta mshikamano wa kitaifa kupitia elimu.
-
Dira ya 2050 kuigeuza Tanzania nchi ya Uchumi wa $Trilioni 1
Jul 17, 2025 14:52Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Julai 17 imezindua rasmi Dira ya Taifa ya 2050 katika hafla maalumu iliyohudhuriwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.
-
Nembo ya ‘Made in Tanzania' yazinduliwa katika Maonesho ya Sabasaba 2025
Jul 08, 2025 12:39Tanzania imezindua rasmi nembo ya ‘Made in Tanzania’ kwa lengo la kutangaza bidhaa zinazotengenezwa nyumbani kimataifa na kuitangaza Tanzania kama nchi ambayo inatengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu, ubunifu na hasa zenye asili ya Kiafrika.