Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Serikali ya Tanzania yatakiwa itoe taarifa kuhusu aliko Polepole

    Serikali ya Tanzania yatakiwa itoe taarifa kuhusu aliko Polepole

    Oct 07, 2025 06:09

    Wanaharakati na mawakili nchini Tanzania wametoa wito kwa mamlaka za usalama nchini humo kutumia rasilimali zote kuhakikisha hali ya usalama wa Balozi mstaafu Humphrey Polepole inafahamika na kuwekwa wazi kwa umma, kufuatia taarifa zinazosambaa zikidai kuwa mwanasiasa huyo ametekwa.

  • Kenya yawahakikishia raia wake wanaofanya biashara Tanzania: Hamtaguswa na agizo jipya la leseni

    Kenya yawahakikishia raia wake wanaofanya biashara Tanzania: Hamtaguswa na agizo jipya la leseni

    Oct 03, 2025 10:35

    Serikali ya Kenya imewahakikishia raia wake wanaofanya biashara nchini Tanzania kwamba hawataguswa na agizo jipya la leseni lililotolewa hivi karibuni na serikali ya Tanzania.

  • Tanzania yatilia mkazo katika mkutano wa UNGA dai la Afrika kuwa na viti viwili vya kudumu katika UNSC

    Tanzania yatilia mkazo katika mkutano wa UNGA dai la Afrika kuwa na viti viwili vya kudumu katika UNSC

    Sep 27, 2025 02:24

    Makamu wa Rais wa Tanzania Philip Mpango amesisitiza msimamo wa muda mrefu wa bara la Afrika wa kudai kuwa na angalau viti viwili vya kudumu vyenye kura ya turufu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kwa mujibu wa Makubaliano ya Ezulwini.

  • Majaliwa: Rais Samia anatambua mchango wa madhehebu ya dini katika kuendeleza maarifa

    Majaliwa: Rais Samia anatambua mchango wa madhehebu ya dini katika kuendeleza maarifa

    Sep 21, 2025 06:51

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa amesema kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini likiwemo Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) na wadau wote wa elimu katika kuimarisha maadili, kuendeleza maarifa na kuleta mshikamano wa kitaifa kupitia elimu.

  • Dira ya 2050 kuigeuza Tanzania nchi ya Uchumi wa $Trilioni 1

    Dira ya 2050 kuigeuza Tanzania nchi ya Uchumi wa $Trilioni 1

    Jul 17, 2025 14:52

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Julai 17 imezindua rasmi Dira ya Taifa ya 2050 katika hafla maalumu iliyohudhuriwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.

  • Nembo ya ‘Made in Tanzania' yazinduliwa katika Maonesho ya Sabasaba 2025

    Nembo ya ‘Made in Tanzania' yazinduliwa katika Maonesho ya Sabasaba 2025

    Jul 08, 2025 12:39

    Tanzania imezindua rasmi nembo ya ‘Made in Tanzania’ kwa lengo la kutangaza bidhaa zinazotengenezwa nyumbani kimataifa na kuitangaza Tanzania kama nchi ambayo inatengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu, ubunifu na hasa zenye asili ya Kiafrika.

  • Tanzania: Jamii ya kimataifa idhibiti vyanzo vya migogoro duniani

    Tanzania: Jamii ya kimataifa idhibiti vyanzo vya migogoro duniani

    Jun 04, 2025 06:00

    Tanzania imeiasa jamii ya kimataifa kuweka mikakati madhubuti ikiwemo kuwashirikisha wanawake katika masuala ya amani na usalama, ili kudhibiti migogoro ambayo vyanzo vyake vikuu ni ukabila, ubaguzi wa rangi, itikadi kali na migogoro kuhusu maliasili na mipaka.

  • Kesi ya kinara wa upinzani Tanzania yaendelea kusikilizwa leo

    Kesi ya kinara wa upinzani Tanzania yaendelea kusikilizwa leo

    Apr 28, 2025 08:04

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Tanzania, hii leo inaendelea kusikiliza kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo Chadema, Tundu Lissu.

  • CHADEMA yataka Lissu aruhusiwe kuonana na mawakili, jamaa zake

    CHADEMA yataka Lissu aruhusiwe kuonana na mawakili, jamaa zake

    Apr 19, 2025 06:30

    Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA kimevitaka vyombo vya dola vimruhusu Mwenyekiti Taifa wa chama hicho, Tundu Lissu kuonana na mawakili na jamaa zake.

  • Asasi za kiraia, wapinzani Tanzania walaani kukamatwa Tundu Lissu

    Asasi za kiraia, wapinzani Tanzania walaani kukamatwa Tundu Lissu

    Apr 11, 2025 12:32

    Mashirika ya kiraia, vyama vya upinzani na asasi za kutetea haki za binadamu nchini Tanzania zimekosoa vikali hatua ya kukamatwa na kushtakiwa Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo CHADEMA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS