Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Ndejembi aapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ndejembi aapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Aug 29, 2026 10:46

    Deogratius Ndejembi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameapishwa kushika wadhifa huo mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

  • Ndejembi apitishwa kwa 100% kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ndejembi apitishwa kwa 100% kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Aug 28, 2026 14:37

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limempitisha Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kupata kura zote 324 zilizopigwa, sawa na asilimia 100.

  • Dakta Nchimbi atangaza kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania

    Dakta Nchimbi atangaza kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania

    Aug 25, 2026 13:33

    Dakta Nchimbi atangaza kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania

  • Rais Samia azindua mradi mkubwa utakaochangia nusu ya umeme unaozalishwa Tanzania

    Rais Samia azindua mradi mkubwa utakaochangia nusu ya umeme unaozalishwa Tanzania

    Aug 22, 2026 13:10

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere, hatua inayofungua rasmi kuanza kwa kazi ya mojawapo ya miradi mikubwa zaidi ya miundombinu nchini humo na mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme unaofadhiliwa na serikali.

  • Jeshi la Uingereza kufanya mazoezi Tanzania baada ya mzozo na Kenya kuhusu jinai za askari

    Jeshi la Uingereza kufanya mazoezi Tanzania baada ya mzozo na Kenya kuhusu jinai za askari

    Jul 25, 2026 03:05

    Uingereza imefuta zoezi kubwa la kijeshi nchini Kenya baada ya pande hizo mbili kushindwa kutatua mzozo kuhusu mamlaka ya Nairobi ya kuwafungulia mashtaka wanajeshi wa Uingereza wanaotuhumiwa kutenda uhalifu katika taifa hilo la Afrika Mashariki.

  • Maridhiano ya kisiasa Zanzibar yaja na matumaini mapya

    Maridhiano ya kisiasa Zanzibar yaja na matumaini mapya

    Jul 11, 2026 02:35

    Maridhiano mapya ya kisiasa kati ya vyama vikuu vya Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo, yalifikiwa rasmi jana baada ya viongozi wa pande hizo mbili kusaini tamko la pamoja.

  • Rais Samia: Russia inashiriki katika juhudi za maendeleo Afrika

    Rais Samia: Russia inashiriki katika juhudi za maendeleo Afrika

    Jun 11, 2026 03:06

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Russia ina nia ya kusaidia Afrika kujenga mpangilio mpya wa uchumi wa dunia na inaendelea kujitolea kuunga mkono maendeleo ya bara hilo.

  • UN: Wakimbizi wa Burundi walioko Tanzania wanarudi makwao kwa hiari, hawashurutishwi

    UN: Wakimbizi wa Burundi walioko Tanzania wanarudi makwao kwa hiari, hawashurutishwi

    Feb 27, 2026 03:27

    Afisa wa Uhusiano wa Nje wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR nchini Tanzania Bahia Egeh amesema, wakimbizi wa Burundi walioko nchini humo ambao wanarudi makwao, wanafanya hivyo kwa hiari wala hawashurutishwi.

  • Tanzania yatoa tahadhari ya kuongezeka maambukizi ya mafua, Covid 19 na Dengue

    Tanzania yatoa tahadhari ya kuongezeka maambukizi ya mafua, Covid 19 na Dengue

    Feb 26, 2026 00:14

    Wizara ya Afya ya Tanzania imetoa tahadhari ya afya kwa umma ya kuongezeka kwa maambukizi ya mafua na Uviko-19 na kuongezeka kwa hatari ya homa ya dengue, huku ikiwataka wananchi kuchukua hatua za haraka za kujikinga hasa katika kipindi cha msimu wa mvua.

  • Tanzania kuanza kujenga bandari yenye thamani ya dola bilioni 10 mwezi Desemba

    Tanzania kuanza kujenga bandari yenye thamani ya dola bilioni 10 mwezi Desemba

    Nov 24, 2025 11:44

    Tanzania itaanza ujenzi wa bandari mpya mashariki mwa nchi mwezi Desemba mwaka huu na hivyo kumaliza muongo mmoja wa ucheleweshaji kutokana na pingamizi la serikali kwa masharti ya awali ya kandarasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS