-
Kongamano la Kimataifa la Haki za Binadamu lafunguliwa Tehran
Apr 15, 2017 07:31Kongamano la Kimataifa la Kiislamu kuhusu Haki za Binadamu linafanyika hapa nchini Iran katika Chuo Kikuu cha Tehran.
-
Ayatullah Siddiqi: Hujuma ya Marekani huko Syria, ni kinyume cha sheria za kimataifa
Apr 14, 2017 15:05Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa, shambulizi la Marekani nchini Syria siku ya Ijumaa iliyopita, linakinzana na sheria zote za kimataifa.
-
Ayatullah Kashani: Waungaji mkono wa magaidi, ndio waliotekeleza mashambulizi ya kemikali huko Syria
Apr 07, 2017 13:02Imamu wa Muda wa Sala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani na waungaji mkono wa magaidi katika eneo wanayapatia silaha na mada za kemikali makundi ya kigaidi huko Syria.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran awataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao
Mar 24, 2017 16:24Imamu wa Muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesisitiza udharura wa wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi ujao wa Rais na mabaraza ya miji ya vijiji uliopangwa kufanyika tarehe 19 mwezi Mei mwaka huu na kueleza kuwa, kushiriki idadi kubwa ya wananchi katika uchaguzi ujao kutaimarisha utambulisho wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah Kermani: Kimya cha taasisi za kimataifa mbele ya ukiukwaji wa haki za binadamu kimeharibu hadhi ya taasisi hizo
Mar 17, 2017 16:24Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika jiji la Tehran amesema kuwa kimya cha taasisi za kimataifa mkabala na mauaji ya Waislamu duniani yakiwemo mauaji ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar na jinai za Saudi Arabia huko Yemen, kimezifanya taasisi hizo za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zipoteza heshima na hadhi yao.
-
Ayatullah Kermani: Kadhia ya Palestina; kipaumbele cha Iran na Ulimwengu wa Kiislamu
Feb 24, 2017 14:07Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesema kuwa kadhia ya Palestina inapewa uzito katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni kipaumbele cha Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Balozi wa Palestina Tehran: Tunaishukuru sana Iran kwa kuiunga mkono Paletina
Feb 23, 2017 13:37Balozi wa Palestina mjini Tehran sambamba na kuashiria umuhimu wa mkutano wa 6 wa kimataifa kwa ajili ya kuunga mkono Intifadha ya Palestina uliofanyika hapa mjini Tehran Jumanne na jana Jumatano, ambao uliionyesha dunia dhulma na ukatili wanaofanyiwa Wapalestina, amesema kuwa mkutano huo ulikuwa muhimu sana katika kufichua njama chafu za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Makombora ya Iran ni dhihirisho la nguvu za taifa
Feb 03, 2017 14:05Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema majaribio ya makombora yaliyofanywa hivi karibuni na majeshi ya Iran ni maonyesho ya nguvu za taifa hilo duniani.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa awasili Tehran
Jan 31, 2017 07:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amewasili mjini Tehran akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi kwa shabaha ya kukutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah Siddiqi: Utawala wa kifalme Bahrain umepoteza uhalali wake
Jan 20, 2017 16:04Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, kunyongwa vijana watatu Waislamu wa Kishia nchini Bahrain kumeufanya utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa upoteze uhalali wake.